Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Najua humu wapo wanaJF waliowahi kukutana na aina hii ya wanawake ambao wenye vi tabia vya kiburi, dharau, kujisikia na majivuno either kutokana uzuli wao, kazi au anayoifanya n.k vinavyomfanya awe hivyo.
Hebu tupeane ni jinsi gani ya kudeal na aina hii ya wanawake ambao hutupa changamoto mpka mtu unatamani kukimbia nyumba umwachie kila Kitu au muachane tuu ili ubaki na amani.
Hebu tupeane ni jinsi gani ya kudeal na aina hii ya wanawake ambao hutupa changamoto mpka mtu unatamani kukimbia nyumba umwachie kila Kitu au muachane tuu ili ubaki na amani.