Mwanamke mmoja nchini Mali amejifungua watoto tisa katika hali ambayo sio ya kawaida.
Halima Cisse, 25, alijifungua watoto wa kike watano na wavulana wanne katika hospitali ya Morocco siku ya Jumanne ambako alikuwa amelazwa, Waziri wa Mali Fanta Siby alisema katika taarifa. Alijifungua kupitia...