my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Mimi nashangaa tu ndio mnaita mapenzi ya kweli? Mimi naona kutumika vibaya tu. Mtu unaishi vipi na mwanamme hana maendeleo, hata mipango yake kuhusu maisha hovyo kila anachofanya kina fail. Kuna watu wana huruma kweli ningekuwa mimi nimeshamwachia mbali.
Dada wa watu anazidi kukonda tu kwa stress watu wanamshauri amuache hataki. Mwanamme mwenywe sijui ana gundu kila anachofanya kinafail na hasara juu.
Sasa mwanamme kama huyu wa nini jamani kujitia stress tu ufe kabla siku si zako. Mwisho na wewe akutie gundu tu hata kuonekana usionekane. Angalieni na wanaume wa kuwa nao unateseka nini na gundu la mtu si bora umwachie mbali akacheze na wenye gundu wezake huko.
Mwanamme maendeleo
Dada wa watu anazidi kukonda tu kwa stress watu wanamshauri amuache hataki. Mwanamme mwenywe sijui ana gundu kila anachofanya kinafail na hasara juu.
Sasa mwanamme kama huyu wa nini jamani kujitia stress tu ufe kabla siku si zako. Mwisho na wewe akutie gundu tu hata kuonekana usionekane. Angalieni na wanaume wa kuwa nao unateseka nini na gundu la mtu si bora umwachie mbali akacheze na wenye gundu wezake huko.
Mwanamme maendeleo