Nawaamkia kwa maamkizi wote watoto na wavyele.
Huu ni muendelezo wa pale nilipoishia katika mada zangu kuwahusu hawa wenzetu, wenzetu ambao ni mama zetu, dada zetu, jirani zetu, watoto wetu na wake zetu pia.
Kila siku tunasikia mikutano, matamasha, makongamano na sherehe pia ya kuwa Mwanamke...