KANUNI YA 3; USIMUAIBISHE MUNGU.
Na, Robert Heriel
ANGALIZO;
Makala hii, isomwe na mtu mwenye umri kuanzia miaka 18.
Nisihesabike sehemu ya hatia endapo mtu yeyote ambaye yupo chini ya hapo ataamua kusoma. Makala hii, kwa sehemu ndogo itatumia lugha ngumu hivyo kama hupendi kusoma lugha ngumu...