Maramla
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 581
- 642
Na Mwamba wa Kaskazini
Nianze kwa kongole kwa Mbunge wangu kipenzi Halima Mdee na wenzake waliokubali kutimiza haki yao ya kikatiba leo kwa kukubali kuapishwa kuwa wabunge wa Viti Maalum (CHADEMA) kwenye Bunge la JMT.
Wabunge hao takribani 19 wa CHADEMA wameapishwa leo wakati mambo mawili yakitokea; mosi, Chama chao kikiwa kimefura wao kuapishwa (Katibu Mkuu wao Mnyika anasema hatambui wakati kina Mdee wenyewe wakikenua) lakini haya yanakuja wakati majamaa mawili ya Chama hicho yakiwa yanalelewa huko Ulaya!
Majamaa hayo Tundu Lissu na Godbless Lema yamekiuka kile wadada wa CHADEMA walichokienzi cha kufanya kazi ili wale kwa wao kwenda kukimbilia Kwenye Balozi na Mataifa ya Ulaya kulishwa bureeee kwa visingizio visivyokuwepo.
Kwa kifupi nasema Kongole kwa Mdee na wenzako, kwa kutimiza maandiko kuwa asiyefanyakazi na asile, kachapeni kazi sasa, msimamie hoja sio vioja, mtaendelea kula.
Nianze kwa kongole kwa Mbunge wangu kipenzi Halima Mdee na wenzake waliokubali kutimiza haki yao ya kikatiba leo kwa kukubali kuapishwa kuwa wabunge wa Viti Maalum (CHADEMA) kwenye Bunge la JMT.
Wabunge hao takribani 19 wa CHADEMA wameapishwa leo wakati mambo mawili yakitokea; mosi, Chama chao kikiwa kimefura wao kuapishwa (Katibu Mkuu wao Mnyika anasema hatambui wakati kina Mdee wenyewe wakikenua) lakini haya yanakuja wakati majamaa mawili ya Chama hicho yakiwa yanalelewa huko Ulaya!
Majamaa hayo Tundu Lissu na Godbless Lema yamekiuka kile wadada wa CHADEMA walichokienzi cha kufanya kazi ili wale kwa wao kwenda kukimbilia Kwenye Balozi na Mataifa ya Ulaya kulishwa bureeee kwa visingizio visivyokuwepo.
Kwa kifupi nasema Kongole kwa Mdee na wenzako, kwa kutimiza maandiko kuwa asiyefanyakazi na asile, kachapeni kazi sasa, msimamie hoja sio vioja, mtaendelea kula.