Habari za Chrismas wana JamiiForums leo nadhani ni hamsha hamsha kila sehemu nami nikaona isiwe tabu ngoja nianzie church KKKT UKONGA
Wakati naingia jua lilikuwa kali na km Unavyojua sisi wengine hatuendag church nahis leo hata shetan alishangaa maana laiti wangejua mambo ninayofanya na mbeleko zangu huku jamii forum wangenizuia nisiingie
Basi bwana nikazama kishikaji neno la kanisa ninalojua ni moja tu haleluyah dah niko ndan ya kanisa gafla bomba la wingu jeusi mvua kubwa duh ni hatar tupu yan kwa waliosali KKKT madafu nadhan waliona io mvua nahis mm ndio nimesababisha mniwie radh
SIKUKUU NJEMA
Wakati naingia jua lilikuwa kali na km Unavyojua sisi wengine hatuendag church nahis leo hata shetan alishangaa maana laiti wangejua mambo ninayofanya na mbeleko zangu huku jamii forum wangenizuia nisiingie
Basi bwana nikazama kishikaji neno la kanisa ninalojua ni moja tu haleluyah dah niko ndan ya kanisa gafla bomba la wingu jeusi mvua kubwa duh ni hatar tupu yan kwa waliosali KKKT madafu nadhan waliona io mvua nahis mm ndio nimesababisha mniwie radh
SIKUKUU NJEMA