GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,383
- 108,441
Mkoa wa Kipolisi Kinondoni wanamshikilia Mfanyakazi za Ndani , Happiness Sela (24) kwa tuhuma za kumchoma kisu Ezekiel Nyamuko (24) kwa kile kinachodaiwa kuwa alipatwa na hasira baada ya kuambiwa na mtu huyo kuwa ana roho mbaya kama sura yake ndio maana haolewi.
Chanzo: HabariLeo
Sasa tayari umeshamdhalilisha kuwa ana Roho Mbaya ukaona haitoshi ukaongezea tena Sura yake iko hivyo ndiyo maana haoelewi kwanini unadhani nae asiamue sasa kukuonyesha Mubashara na kwa Vitendo zaidi kuwa ni kweli ana Roho Mbaya tena iliyotukuka kwa Kukupa Jeraha la Kudumu ambalo kile ukiwa unaliona tu unakumbuka tukio zima ambalo Wewe ndiyo ulikuwa Kisababishi?
Chanzo: HabariLeo
Sasa tayari umeshamdhalilisha kuwa ana Roho Mbaya ukaona haitoshi ukaongezea tena Sura yake iko hivyo ndiyo maana haoelewi kwanini unadhani nae asiamue sasa kukuonyesha Mubashara na kwa Vitendo zaidi kuwa ni kweli ana Roho Mbaya tena iliyotukuka kwa Kukupa Jeraha la Kudumu ambalo kile ukiwa unaliona tu unakumbuka tukio zima ambalo Wewe ndiyo ulikuwa Kisababishi?