Josephat Sanga
Senior Member
- Aug 29, 2016
- 151
- 97
Asante mama asante sana kilikuwa ni kilio cha watumishi wa umma miaka mingi ila umetenda Mungu akubariki
Mshahara wa June 2021 umepata ?Asante mama asante sana kilikuwa ni kilio cha watumishi wa umma miaka mingi Ila umetenda mungu akubaliki
Stop generalization !!! Waliopanda ni wachache sana aiseekitu tayari na madaraja juu,hakika hakuna kama mama.
Ukishatukana ndio unapanda daraja? Si uweke tu hoja zako mezani?Uongo mtupu Nani kapata hela ya daraja mpya?????? Natamani nitukane but
Ukishatukana ndio unapanda daraja? Si uweke tu hoja zako mezani?
Kama we haujapanda wengine wamepanda...
Hapana sipo Mwanza my dear....Baby bado upo Mwanza?
Hahahaaaaa fanya kazi zenye tija ng'ombe wewe!Stop generalization !!! Waliopanda ni wachache sana aisee
Nimezimiss mno zile chachandu zako za JLW na akina madame BHapana sipo Mwanza my dear....