SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Ninampenda sana Rais wetu Mama Samia ila ninaomba kumsahihisha kuwa rais ni binadamu huwa anakosea.
Tukianzia kwa Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Marehemu na yeye mama mwenyewe tukisema tuorodheshe mazuri na mabaya yao jamiiforums server haitatosha.
Ushauri kwa mama: Achape kazi tunampenda ila awe makini sana na kauli zitakazomshushia heshima mbele ya jamii. Tunakumbuka hata kauli zake wakati wa kampeni kuwa askari wa CCM huwa hawakosi risasi. Pia tangu aingie ameshafanya makosa kibao hasa kwenye teuzi zake mfano Mwesiga wa TPDC na yule RAS wa Simiyu.
Rais anakosea!
Tukianzia kwa Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Marehemu na yeye mama mwenyewe tukisema tuorodheshe mazuri na mabaya yao jamiiforums server haitatosha.
Ushauri kwa mama: Achape kazi tunampenda ila awe makini sana na kauli zitakazomshushia heshima mbele ya jamii. Tunakumbuka hata kauli zake wakati wa kampeni kuwa askari wa CCM huwa hawakosi risasi. Pia tangu aingie ameshafanya makosa kibao hasa kwenye teuzi zake mfano Mwesiga wa TPDC na yule RAS wa Simiyu.
Rais anakosea!