Upo hapa kwa muda mfupi sana

Upo hapa kwa muda mfupi sana

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,343
Reaction score
859,922
wanadamu ni mafupi na yenye mahangaiko mengi, na hakuna jipya chini ya jua.

Hapo utaona mambo matatu Mwanadamu, Maisha, na Mahangaiko.

Tumesema hapo juu kuwa maisha ni mafupi sana, kwa uzoefu mdogo utaona kuwa umepitia utoto, baadaye ujana, na huenda kwa sasa wewe ni mzee. Kesho huenda ukawa marehemu. Kumbe upo katika mapito tu.

Hapa jifunze kuishi katika ukamilifu katika kila eneo. Mathalani, unapokuwa kazini, fanya kazi kwa shauku na upendo mkubwa. Kila siku ona kuwa ndiyo mara yako ya kwanza kufanya kazi hiyo.

Unapokuwa katika maeneo ya starehe, mathalani unaangalia mpira, unaangalia movie, unakunywa kinywaji, na kadhalika, fanya hivyo kwa upendo na furaha sana, wala usijilaumu kufanya hivyo, kwa kuwa ndiyo muda wake. Hutaweza kupata wasaa kama huo tena.

Kuna watu ambao huwa wanajilaumu sana kwa maisha yao ya nyuma. Utamwona mtu anajilaumu sana kwa kufuja fedha kutokana na matumizi mabaya ya fedha, mathalani kwa kununua magari ya kifahari na kujenga nyumba za kisasa, badala ya kufanya uwekezaji mkubwa wa mashamba na biashara. Lakini kumbe si kweli kuwa ukiwekeza sana ndiyo utafurahia maisha. Kila jambo lina wakati wake na nafasi yake.

Unapougua sana magonjwa makubwa na kubaki kitandani, tambua ni wakati wako sahihi wa kupata uzoefu huo wa magonjwa. Hivyo unapaswa kuendelea kushukuru sana, na ukishukuru, maana yake utapokea zawadi ya kupona.

Somo la Leo jifunze kuishi kwa kutumia ufahamu wako wa ndani, na elewa kuwa kila jambo linalokutokea lilipaswa litokee, na kuna somo fulani unajifunza. Usihukumu wala kulaumu kwa chochote.

Maisha ni mapito. Kila jambo lipo, na litapita.
 
wanadamu ni mafupi na yenye mahangaiko mengi, na hakuna jipya chini ya jua.

Hapo utaona mambo matatu Mwanadamu, Maisha, na Mahangaiko.

Tumesema hapo juu kuwa maisha ni mafupi sana, kwa uzoefu mdogo utaona kuwa umepitia utoto, baadaye ujana, na huenda kwa sasa wewe ni mzee. Kesho huenda ukawa marehemu. Kumbe upo katika mapito tu.

Hapa jifunze kuishi katika ukamilifu katika kila eneo. Mathalani, unapokuwa kazini, fanya kazi kwa shauku na upendo mkubwa. Kila siku ona kuwa ndiyo mara yako ya kwanza kufanya kazi hiyo.

Unapokuwa katika maeneo ya starehe, mathalani unaangalia mpira, unaangalia movie, unakunywa kinywaji, na kadhalika, fanya hivyo kwa upendo na furaha sana, wala usijilaumu kufanya hivyo, kwa kuwa ndiyo muda wake. Hutaweza kupata wasaa kama huo tena.

Kuna watu ambao huwa wanajilaumu sana kwa maisha yao ya nyuma. Utamwona mtu anajilaumu sana kwa kufuja fedha kutokana na matumizi mabaya ya fedha, mathalani kwa kununua magari ya kifahari na kujenga nyumba za kisasa, badala ya kufanya uwekezaji mkubwa wa mashamba na biashara. Lakini kumbe si kweli kuwa ukiwekeza sana ndiyo utafurahia maisha. Kila jambo lina wakati wake na nafasi yake.

Unapougua sana magonjwa makubwa na kubaki kitandani, tambua ni wakati wako sahihi wa kupata uzoefu huo wa magonjwa. Hivyo unapaswa kuendelea kushukuru sana, na ukishukuru, maana yake utapokea zawadi ya kupona.

Somo la Leo jifunze kuishi kwa kutumia ufahamu wako wa ndani, na elewa kuwa kila jambo linalokutokea lilipaswa litokee, na kuna somo fulani unajifunza. Usihukumu wala kulaumu kwa chochote.

Maisha ni mapito. Kila jambo lipo, na litapita.
sure, ndio maana huwa ninakipenda sana kitabu cha MHUBIRI
 
Kaka jicho langu la chini kulia linacheza tangia jana what does it mean
Kiroho, kucheza kwa jicho la kulia kunawakilisha kuchochewa kwa nishati ya vitendo, maono ya mbeleni, na ulinzi. Jicho lako kucheza tangu jana ni ishara kwamba nafsi yako ipo macho na inajaribu kuhisi mambo yaliyofichika katika ulimwengu wa roho kabla hayajadhihirika kimwili.
 
wanadamu ni mafupi na yenye mahangaiko mengi, na hakuna jipya chini ya jua.

Hapo utaona mambo matatu Mwanadamu, Maisha, na Mahangaiko.

Tumesema hapo juu kuwa maisha ni mafupi sana, kwa uzoefu mdogo utaona kuwa umepitia utoto, baadaye ujana, na huenda kwa sasa wewe ni mzee. Kesho huenda ukawa marehemu. Kumbe upo katika mapito tu.

Hapa jifunze kuishi katika ukamilifu katika kila eneo. Mathalani, unapokuwa kazini, fanya kazi kwa shauku na upendo mkubwa. Kila siku ona kuwa ndiyo mara yako ya kwanza kufanya kazi hiyo.

Unapokuwa katika maeneo ya starehe, mathalani unaangalia mpira, unaangalia movie, unakunywa kinywaji, na kadhalika, fanya hivyo kwa upendo na furaha sana, wala usijilaumu kufanya hivyo, kwa kuwa ndiyo muda wake. Hutaweza kupata wasaa kama huo tena.

Kuna watu ambao huwa wanajilaumu sana kwa maisha yao ya nyuma. Utamwona mtu anajilaumu sana kwa kufuja fedha kutokana na matumizi mabaya ya fedha, mathalani kwa kununua magari ya kifahari na kujenga nyumba za kisasa, badala ya kufanya uwekezaji mkubwa wa mashamba na biashara. Lakini kumbe si kweli kuwa ukiwekeza sana ndiyo utafurahia maisha. Kila jambo lina wakati wake na nafasi yake.

Unapougua sana magonjwa makubwa na kubaki kitandani, tambua ni wakati wako sahihi wa kupata uzoefu huo wa magonjwa. Hivyo unapaswa kuendelea kushukuru sana, na ukishukuru, maana yake utapokea zawadi ya kupona.

Somo la Leo jifunze kuishi kwa kutumia ufahamu wako wa ndani, na elewa kuwa kila jambo linalokutokea lilipaswa litokee, na kuna somo fulani unajifunza. Usihukumu wala kulaumu kwa chochote.

Maisha ni mapito. Kila jambo lipo, na litapita.
Ujumbe murua sana, ahsante mkuu!
 
Kiroho, kucheza kwa jicho la kulia kunawakilisha kuchochewa kwa nishati ya vitendo, maono ya mbeleni, na ulinzi. Jicho lako kucheza tangu jana ni ishara kwamba nafsi yako ipo macho na inajaribu kuhisi mambo yaliyofichika katika ulimwengu wa roho kabla hayajadhihirika kimwili.
Katika ubora wako mzee wa kilinge
 
wanadamu ni mafupi na yenye mahangaiko mengi, na hakuna jipya chini ya jua.

Hapo utaona mambo matatu Mwanadamu, Maisha, na Mahangaiko.

Tumesema hapo juu kuwa maisha ni mafupi sana, kwa uzoefu mdogo utaona kuwa umepitia utoto, baadaye ujana, na huenda kwa sasa wewe ni mzee. Kesho huenda ukawa marehemu. Kumbe upo katika mapito tu.

Hapa jifunze kuishi katika ukamilifu katika kila eneo. Mathalani, unapokuwa kazini, fanya kazi kwa shauku na upendo mkubwa. Kila siku ona kuwa ndiyo mara yako ya kwanza kufanya kazi hiyo.

Unapokuwa katika maeneo ya starehe, mathalani unaangalia mpira, unaangalia movie, unakunywa kinywaji, na kadhalika, fanya hivyo kwa upendo na furaha sana, wala usijilaumu kufanya hivyo, kwa kuwa ndiyo muda wake. Hutaweza kupata wasaa kama huo tena.

Kuna watu ambao huwa wanajilaumu sana kwa maisha yao ya nyuma. Utamwona mtu anajilaumu sana kwa kufuja fedha kutokana na matumizi mabaya ya fedha, mathalani kwa kununua magari ya kifahari na kujenga nyumba za kisasa, badala ya kufanya uwekezaji mkubwa wa mashamba na biashara. Lakini kumbe si kweli kuwa ukiwekeza sana ndiyo utafurahia maisha. Kila jambo lina wakati wake na nafasi yake.

Unapougua sana magonjwa makubwa na kubaki kitandani, tambua ni wakati wako sahihi wa kupata uzoefu huo wa magonjwa. Hivyo unapaswa kuendelea kushukuru sana, na ukishukuru, maana yake utapokea zawadi ya kupona.

Somo la Leo jifunze kuishi kwa kutumia ufahamu wako wa ndani, na elewa kuwa kila jambo linalokutokea lilipaswa litokee, na kuna somo fulani unajifunza. Usihukumu wala kulaumu kwa chochote.

Maisha ni mapito. Kila jambo lipo, na litapita.
Shukrani kwa somo zuri la kuamka nalo asubuh lenye kutukumbusha kuwa maisha ni sasa wala si badae
 
Back
Top Bottom