muda gani

Iskandar Muda (1583? – 27 December 1636) was the twelfth Sulṭān of Acèh Darussalam, under whom the sultanate achieved its greatest territorial extent, and was the strongest power and wealthiest state in the western Indonesian archipelago and the Strait of Malacca. "Iskandar Muda" literally means "young Alexander," and his conquests were often compared to those of Alexander the Great. In addition to his notable conquests, during his reign, Aceh became known as an international centre of Islamic learning and trade. He was the last Sultan of Aceh Sultanate from patrilineal descendant of Ali Mughayat Syah the founder and the first Sultan of Aceh Sultanate. Iskandar Muda's death meant that the founding dynasty of Aceh Sultanate, the House of Meukuta Alam died out and was replaced by other dynasty.

View More On Wikipedia.org
  1. Superbug

    JamiiForums Tanzania Mwanamke anaanza kutema mate baada ya mimba kuingia?

    Kuna mwanamke hapa naona kama ameanza kutematema mate na nimekutana nae wiki hiihii na ofkoz ndio alikuwa kwenye tarehe za kutiwa mimba sasa hapa nisaidieni kinadada.
  2. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania 'Tanganyika' imetawaliwa na wakoloni kwa muda gani?

    Habari. Hivi hili eneo ambalo leo ni Tanganyika, limetawaliwa na wakoloni kwa muda wa miaka mingapi. Mkutano wa Berlin ulifanyika mwaka 1885. Lakini hadi mwaka 1898 Mkwawa alikuwa akipigana na wajerumani. Mwaka 1907 vita ya majimaji ikaisha. Mpaka wakati huu mkoloni alikuwa ameishaweka mizizi...
  3. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Ukifanya Oral Interview sekretarieti ya ajira wanachukua muda gani kuibadilisha status ya account yako?

    Naombeni kuuliza kuna ndugu yangu anataka kujua: Ukifanya oral interview sekretarieti ya ajira wanachukua muda gani kuibadilisha status ya account yako.
  4. Eleminator

    JamiiForums Tanzania Kipimo cha mkojo Huchukua muda gani kupata majibu?

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wana JF Maana ya kuuliza hivyo kuna siku moja nimeenda zahanati tena ya serikal nmefika pale nikamuelezea daktari hali yangu na yeye akanielekeza kwenda maabara baada ya kufika kule nikapewa chupa cha kuhifadhia mkojo Cha ajabu Baada ya kurudisha sampuli...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Kwa Mfano Ndege iliyoanguka ingekuwa ni Ndege ya Adui kutoka Taifa jirani ingechukua Muda gani kukabiriana nayo?

    Wakuu nimejaribu kuwaza kiusalama zaidi. Mungu si athmani hii iliyoanguka na kuchukua muda mrefu kuokolewa kama ingekuwa ni ndege ya kivita kutoka kwa maadui wetu jirani. Kwa mfano lakini. Ingechukua muda gani kukabiriana na adui huyo? How fast is our rapid response teams for any aspect of...
  6. Action and Reaction

    JamiiForums Tanzania Barua za uhamisho kutoka mkoani kwenda wizarani huchukua muda gani?

    Wanajamii wenzangu, barua yangu ya uhamisho katika ngazi za wilaya ilikamika kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine baada ya kusota kwa muda mrefu na nilishapeleka mkoani. Nashindwa kuelewa process ya mkoani kwenda wizara itachukua muda gani isije ikawa zinawekwa kapuni mana mpaka naifikisha mkoani...
  7. I

    JamiiForums Tanzania Ulitumia muda gani kupata mtaji wa milioni 3 kwa kutumia mshahara wako?

    Naam tuachane na ile mambo ya kukopa. Tuchukulie ile akiba kidogo inayoweka kutokana na mshahara wako tu unaolipwa kama umeajiriwa. Uliweza kutumia miezi, miaka ama decade ngapi kupata mtaji wa Tshs. Milioni 3? Mjadala huu utasaidia waajiriwa wengi kujijua wapo kwenye hali gani kulingana na...
  8. R

    JamiiForums Tanzania NMB wire transfer zinatumia muda gani?

    Habari wakuu. Kama kuna mwenye uzoefu wa kupokea pesa kutoka nchi za Ulaya kupitia benki ya NMB anijulishe inachukua siku ngapi. Nilikuwa natumia CRDB zamani ilikuwa inaingia ndani ya masaa 24.
  9. B

    JamiiForums Tanzania RITA hutumia muda gani kujibu baada ya ku-apply

    RITA HUTUMIA MUDA GANI KUJIBU BAADA YA KUAPPLY VERIFICATION YA BIRTH CERTIFICATE?
  10. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua wifi router ya kusambaza intaneti nyumbani lakini itakaa masaa 6 tu. Je, nikiiwekea power bank itakuwa inakaa muda gani?

    Habari zenu wakuu, Nina tatizo la network hapa nyumbani kwangu maeneo ya sebleni kwangu na chumbani kwangu ambako ndiko natumia internet. Sasa kuna sehemu ya nje ni kama kibanda kisicho na umeme, network imejaa 4g huwa inashika vizuri sana, nataka niweke portable wifi router ndogo hizi...
  11. F

    JamiiForums Tanzania Hivi Wabunge wetu hawa hutumia muda gani kutafakari mambo, muda wote ni makofi na kuimba tu

    Mimi ni mfuatiliaji wa mabunge mbalimbali duniani. Katika mabunge makini ninayoyafuatilia huo naona panapofanyika mawasilisho (submissions),Wabunge huwa watulivu na wenye kutafakari mambo (digest issues). Sisi wabunge wetu hapo ni kupiga meza (makofi),kucheka na hata kuimba muda wote! Do we...
  12. Kifaru86

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ivi ujauzito huanza kujitokeza au kuonekana baada ya muda Gani

    Wakuu ningependa kufahamu mwanamke akipata ujauzito tumbo lake huanza kuonekana baada ya muda gani kubwa Nauliza kwa maana kuna mahala tiyali mtoto wa mtu kabeba ujauzito wangu
  13. Riz king

    JamiiForums Tanzania Hizi ajira za TAMISEMI zinatoka baada ya muda gani?

    Wajuzi wa mambo hii PDF inayosubiliwa na vijana wenzangu wa Kitanzania huchukua kipindi gani hadi kukamilika.
  14. OLS

    JamiiForums Tanzania Tutatoa hela kwa muda gani kunusuru bei ya mafuta?

    Rais ametangaza kutoa bilioni kadhaa kwa ajili ya mafuta, lakini hatujui vita vya Ukraine vitaisha lini hivyo ni ngumu kujua kwa muda gani tutaendelea kutoa hela au kuondoa tozo na kodi kwenye mafuta. Moja ya misingi ya Marekani ni kutokuwa na rafiki au adui wa kudumu. Nadhani na sisi tuwe...
  15. The Transporter

    JamiiForums Tanzania Inachukua muda gani kwa NECTA kutoa certificate za O-level

    Kama mada inavyojieleza hapo naomba kujua wastani wa muda ambao NECTA wanachukua KUTOA certificate kwa mwanafunzi ambaye anastahili kupata?
  16. Indoraptor

    JamiiForums Tanzania Kuku wa kienyeji huanza kutaga tena baada ya muda gani kama hajalalia mayai?

    Habari wanajamvi, Sina uzoefu na ujuzi wa ufugaji wa kuku. Nauliza tu kuku wa kienyeji huanza kutaga tena baada ya mda gani endapo amemaliza kutaga na nimemnyima kulalia mayai?
  17. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni muda gani, ambao ni sahihi, kwa mfiwa kuoa/kuolewa na mtu mwingine?

    Aliyefiwa na mke au mume; ni baada ya muda gani ndio anaruhusiwa kuoa/kuolewa? Maisha ya ndoa huwa ni matamu sana, hasa kwa wale wachache waliobahatisha kupata mtu sahihi. Inafikia kipindi, wanakuwa na mfanano fulani; unaweza kuwa wa sura, kuongea, au tabia. Inapotokea mmoja wapo anafariki...
  18. Mufti kuku The Infinity

    JamiiForums Tanzania Una nyoa baada ya muda gani?

    Swali kwenu wabobezi na watafiti wa hili jukwaa. Huwa una shave shamba la kufugia nywele/kubebea meno (I mean kichwa cha juu) kila baada ya muda gani? Ni wiki, wiki 2, mwezi au mwaka? Binafs kwangu kunyoa naonaga karaha sana. Ukiona nimeenda saluni ujue masikio tayar yashafunikwa na nywele...
  19. D

    JamiiForums Tanzania Je, ikiwa Mrusi na Mchina wakiungana kijeshi kutaka kum-maliza Mmarekani kivita itachukuwa muda gani?

    Hili ni swali ambalo nimekutana nalo mahala fulani na mmoja wa wachangiaji ambaye ni Mr Kyle Krebs ambaye ni B.S. in Electrical Engineering & Mathematics, The University of Utah anajibu kama ifuatavyo: 1. Hawataweza kufika kwenye Mainland kwa sababu Mmarekani ana madude kama haya 11 USS...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Prof. Andrew wa UK: Itachukua muda gani kama bomu la nyuklia likirushwa na Russia kufika UK, na itakuwaje kama tukitaka kulitungua

    Profesa Andrew Futter, mhadhiri na mtafiti mwandamizi ktk maswala ya silaha za nyuklia Chuo kikuu cha Leicester, Uingereza, amehojiwa na chombo cha habari MyLondon kuhusu linakuwaje kuwaje shambulio la silaha za kinyuklia ktk mji, na namna gani laweza kudhibitiwa. Profesa Futter akawapigia mfano...
Back
Top Bottom