Wakuu ningependa kufahamu mwanamke akipata ujauzito tumbo lake huanza kuonekana baada ya muda gani kubwa
Nauliza kwa maana kuna mahala tiyali mtoto wa mtu kabeba ujauzito wangu
Kwa kuunganisha vijojoleo unscientifically 😀😀😀Unajuaje kama we ndo muhusika
je kama yeye ndo mkomaza mimba 😂Kwa kuunganisha vijojoleo unscientifically 😀😀😀