Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Msikilize muheshimiwa kaona bungeni kutamu sana...hapo kumtoa anaweza kutoa roho ya mtu kweli jamani.
Wampeleke Mirembe HospitalSio lazima kuokota makopo ndio kuitwa mwendawazimu
Huyu ni mbunge wa jimbo gani au wa viti maalum toka mkoa gani?View attachment 1697547
Msikilize muheshimiwa kaona bungeni kutamu sana...hapo kumtoa anaweza kutoa roho ya mtu kweli jamani.
Hiv nje ya posho hawa jamaa wanalipwa how much kwa mwezi?Eeh kweli ni kutamu hadi siku ambako Mshahara utapunguzwa ubakie million 1 kwa mwezi bila Posho ili kufidia miradi 😁😁😁
Mkuu naomba comment yako tuitunze kwenye ansadi kwa ajili ya vizazi vijavyo.Duuh aisee hii kauli itamcost baadaye....inaweza kuwa wakati wa kampeni akafa ndugu yake wa karibu au mzazi.....wakamletee hiyo clip atashangaa dunia isivyo na huruma, wakamwambia wewe ndiye umemtoa kafara ili upite umakini unahitajika mahali popote unapotoa kauli.
CCM ni pepo baya sanaHakika ukiyashangaa ya Mussa utayaona filauni.
Kumbe huwa wanatoana roho ili kuingia bungeni?
Hakika bila kuiondoa ccm kama ilivyotokea kwa UPC na KANU watanzania tusitegemee maendeleoCCM ni pepo baya sana