Wanawake hawa wakiafrika bila command ataambulia manyoya,hayo mambo yakubembeleza sio utaratibu wakiafrika toka malezi yao wamekuwa wakiona Jamii yetu wanawake wanacommandiwa sasa jifanye mzungu atakuingiza kidole jichoni.Wanawake hawapendi command mkuu badili kichwa cha uzi hapo juu uwakamate kama kware.
Mtoto wa miaka27 unampeleka wapi eti?? Atakuwa na sh ngapi Kwanza??Wanawake hawapendi command mkuu badili kichwa cha uzi hapo juu uwakamate kama kware.
Dogo unafanya shughuli gani kwanza? Au unataka uwe unasafisha gari la huyo mwanamke arudipo kazini/kwenye biashara zake?Natafuta mwanamke mwenye kujielewa ili tuwe wapenzi:-
1) umri kati ya 25 mpaka 45
2)ambaye yupo tayari kucheki afya(yani tukapime wote)
3)mwenye kujishughulisha na chochote
4)muwazi
Naomba ni pm weka namba tuwasiliane.mi nipo dar es salaam,nina miaka 27