adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,035
- 15,538
Habari za asubuhi wana..
Huku duniani kuna watu nahisi wana matatizo ya kiakili na wanahitaji kumuona daktari.
Kuna hizi tabia nachukia sana kama mtu kuongea na mimi hadi akusonge songe!!atakupiga piga au kukuskuma huku mkipiga stori kawaida tuu..
Mwingine unaongea nae unaona kama anakurusha mood ukifanya kumpotezea ndio anazidi kukulazmisha umskilize nachukia huwa natamani nimpe KELBU moja azimie...
Huwa nakereka balaa ni hizi tabia sijui hawa watu ni mimi tuu ndo huwa wananitokea au na nyie wenzangu huko kwenu wapo.
Huku duniani kuna watu nahisi wana matatizo ya kiakili na wanahitaji kumuona daktari.
Kuna hizi tabia nachukia sana kama mtu kuongea na mimi hadi akusonge songe!!atakupiga piga au kukuskuma huku mkipiga stori kawaida tuu..
Mwingine unaongea nae unaona kama anakurusha mood ukifanya kumpotezea ndio anazidi kukulazmisha umskilize nachukia huwa natamani nimpe KELBU moja azimie...
Huwa nakereka balaa ni hizi tabia sijui hawa watu ni mimi tuu ndo huwa wananitokea au na nyie wenzangu huko kwenu wapo.