mtu

  1. M

    Mpigaji anaposhangilia baada ya kumpiga mtu

  2. John Haramba

    Mwili haujaoza miaka sita tangu ulipozikwa, mama mtu alikuwa akiota mwanaye yupo hai

    Julia Petta alifariki mwaka 1921, baada ya hapo alizikwa kwenye Makaburi ya Mount Carmel yaliyopo Chicago nchini Marekani. Alizikwa akiwa na gauni lake la harusi, inadaiwa kuwa mara baada ya msiba huo, mama wa marehemu, Filomena alianza kuota ndoto akiona Petta anamwambia kuwa yeye (Petta)...
  3. S

    Utaratibu wa kumuwekea mtu dhamana kwa kutumia Mali(mfano hati ya kiwanja), mahakamani ukoje?

    Nachofahamu ni watu kuweka fedha mahakamani katika kumdhamini mtu ila kuhusu mali ndio sina uelewa inakujaje? Kwa mfano, unaweza kuweka kitu kama hati ya kiwanja badala ya fedha katika kumdhamini mtu? Kwa maneno mengine, hati ya kiwanja inaweza kutumika kumdhamini mtu mahakamani na hufanyika...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Tuache lawama! Kila mtu hupokea kulingana na Mchango wake katika jamii

    Kumekuchwa! Ukitoa Mia utapokea Mia. Ukilima mahindi bila Shaka utavuna mahindi! Maisha ni mfano wa kioo, ukicheka yanacheka ukinuna yananuna! Taikon siku zote atasema ukweli hata Kama unauma, ukweli ni ukweli tuu. Hili la Profesa Jay kuchangiwa limezua minong'ono kwenye jamii, hata hivyo hii...
  5. Komeo Lachuma

    Mbunge Mstaafu na Mtu Maarufu anahitaji Mchango wa matibabu, wewe unadhani uta survive vipi?

    Nimejiuliza hili swali sana si kwa nia mbaya. Kwa nia njema kabisa. Prof Jay. Joseph Haule amekuwa Mbunge kwa miaka 5 akilipwa mamimilioni ya pesa. Baada ya kumaliza kipindi chake amelipwa mamilioni mengine ya kiinuna mgongo. Leo ameumwa na kulazwa kwa mwezi mmoja anadai achangiwe. Je yule...
  6. L

    Mwanadamu hukinai kitu kadri anavyoendelea kukitumia

    LAW OF DIMINISHING MARGINAL UTILITY Kiufupi hii law inaelezea ukinai wa kitu unavyotokea. Kadri mtu anavyokitumia kile kitu kinamfanya akichoke na asikitamani tena. Hii law inaendana na law of diminishing marginal return, tofauti ni kwamba ya marginal return inaelezea upande wa productivity...
  7. S

    Godbless Lema: Kuna mtu mkubwa anataka kujenga hoteli Ngorongoro

    Hii ni kauli ya Godbless Lema kupitia mariaspace muda mfupi uliopita. Kaongeza kuwa wanasubiri wapate makaratasi/ karatasi kuna siku watamtaja. Swali: Mtu huyu ni nani?
  8. Trainee

    Kwanini nzi wanamjia mtu mgongoni?

    Naongelea hususani wakati wa asubuhi, kwa wale ambao wametokea uswazi mnanielewa kukiwa na umande umande unaamka zako asubuhi sana unaenda shambani au shuleni maybe, basi unashangaa huko nyuma mgongoni wajumbe nzi kibao wamekuganda kila kona unayoingia. Enzi hizo tulikuwa tukitaniana kuwa ni...
  9. dungune

    Sheria inasemaje kuhusu kuzaa na mke wa mtu?

    Habari Wakuu, Ninaomba kufahamishwa sheria ya ndoa Tanzania inasemaje ikiwa umezaa na mke wa mtu? nataka kujua kama unaweza endelea kutoa matunzo ya mtoto akiwa kwenye familia nyingine. Na unatakiwa kufata utaratibu gani kumchukua mtoto anapo fikisha umri wa kulelewa na baba. Hii imenitokea...
  10. LOTH HEMA

    Mtu anapoitwa jina la kabila lake

    Imekuwa kawainda mtu fulani kuitwa jina la kabila lake au sehemu anayotoka na jina hilo kumkaa na kukubalika katika jamii anamoishi ugenini kufanya shughuli zake. Majina ambayo yamekuwa maarufu sana utasikia mtu akiitwa muha, mchaga na mpemba, akiwa na duka panaitwa kwa muha, kwa mchaga na kwa...
  11. Camp Lehigh

    Nashindwa kupenda mtu mwingine

    Nilimpenda na nampenda sana huyu mwanamke, ni mwaka na miezi 4 toka kaniacha. Nilimkosea mimi akaniacha. Nashindwa kumpenda mtu mwingine kila ninapokaa siachi kumuwaza yeye, kila kitu nachofanya kinanikumbusha uwepo wake ninyeye aliyekua mwanamke wangu wa kwanza maishani mwangu. Nisaidieni...
  12. sky soldier

    Kama Ngono sio kipimo cha upendo katika mahusiano, kwanini kuchapiwa kunauma kuzidi kuachana?

    Ifahamike kwamba mapenzi ni muunganiko wa watu wawili katika kupendana kwa dhati na sio muungano wa sehemu za siri, hili si la kupuuza maana ndio uhalisia huo. Kuunganisha sehemu za siri kunawezekana kirahisi sana lakini watu kuunganika kwa kupendana kwa dhati hio ni case nyingine kabisa. Sasa...
  13. sky soldier

    Pale mtu wa karibu anapofariki tunaumia, kwanini pia tusifurahi endapo maisha ya marehemu yalikuwa na mateso makali sana na kifo kikaweka tamati?

    Kiukweli kifo cha mtu wa karibu huwa kinauma sana kwa wafiwa kitu kinachotupelekea hata wanaume wazima kujifungia vyumbani kulia machozi hadi kamasi kwa maumivu jinsi yalivyo. Tukiachana na upande wa maumivu, kuna muda unakuta marehemu katika maisha yake alikuwa na matatizo yaliyomtesa sana...
  14. B

    Ukimsikia Mtanzania anasema wakosoaji wapotezwe au wakaozee jela unajisikiaje mtu wa Mungu?

    Nchi Ina sheria kwa wanaozivunja wanatakiwa kufikishwa mahakamani lakini tumezoea viongozi wakitaifa wakisema wakosoaji wakaozee jela au wapotezwe, Hawa watu unapowasikia unawachukuliaje? Mfano sheria ya mtu aliyekosoa au kutukana Ina kifungo cha mwaka mmoja then ukamsikia mwanasiasa anaviambia...
  15. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mkopo alioutoa Madaraka Nyerere wamuhamisha mtu nchi

    WATANI ZANGU Mwaka 2020 nilijitokeza kuweka nia kugombea ubunge kwenye jimbo la uchaguzi la Butiama kupitia Chama cha Mapinduzi. Sikufanikiwa: niliambulia kura mbili za wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya. Wakati wa mchakato, mtani wangu mmoja aliniomba nimkopeshe Sh.50,000. Nilimwambia...
  16. Perry

    Inasikitisha sana, kuna mtu ameomba kazi ya trainee akiwa na miaka 35

    Boss wangu alikua kanipa kazi niwapigie watu waje kwenye interview ya kazi ya Trainee iliyotangazwa hapa ofisini kwetu miezi kadhaa iliyopita. Surprisingly katika kupitia cv zao, nimeona kuna mtu ana miaka 35 nae kaitwa. Nimejiuliza huyu mtu wenzake wa umri huo sasa hivi huenda wamefikia levels...
  17. Sheillah Sheillah

    Usiwe na mahusiano na mtu asiyejua anataka nini

    Za jumapili? Mfano unaenda sehemu na mtu ya kunywa, hajui hata anataka nini anasema nipe tu soda yoyote. Yaani yeye hajui hata anataka nini. Kwenye chakula hivo hivo, hawezi kuagiza anachotaka anaanza kuuliza "kuna chakula gani na gani?. Hawezi kusema nataka chakula hiki au hiki. Kama hamna...
  18. GENTAMYCINE

    Naomba kujua tofauti kati ya 'Utamaduni wa Makabila' na 'Ushirikina wa Mwafrika' kwani kuna Mtu anatupeleka 'Kibla' tuparaganyike

    Kuna Mtu Mmoja kwa mbali anataka Kutuchezea Akili Watanzania akidhani ni 'hamnazo' wakati wenye Akili tumeshamshtukia kuwa ni Mdau wa Utamaduni wa Mwafrika ambao kwa uelewa wangu kwa 85% unahusisha mno Uchawi (Ushirikina) hivyo basi anataka Kulilazimisha hili Ubongoni mwetu ili awe Huru nalo na...
  19. Bujibuji Simba Nyamaume

    Ombea udharauliwe na mtu wa kabila lingine lolote lakini usidharauliwe na Mnyakyusa

    Wanyakyusa kama hakupendi, atakwambia machoni pako kwamba sikupendi nakuchukia. Wanajiamini sana Akiamua kukudharau, utajuta kuzaliwa
  20. kyagata

    Kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana kwa kutumia waganga wa jadi?

    Achana na hizi kazi za kwenye vijikampuni uchwara vya wachina au wahindi. Nauliza kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana either serikalini au kwenye makampuni ya kimagharibi na NGO kwa nguvu za witch doctors a.k.a waganga wa jadi? Kama yupo ebu aje hapa atoe ushuhuda wake ili na sisi tukajaribu...
Back
Top Bottom