Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,196
- 12,691
Eti wakuu. Kutengeneza divai ya zabibu nyumbani inahitaji vitu gani?
Inatengenezwaje?
Inatengenezwaje?
Naam,Ngoja nijifunze.
Tena mwambie atumie maji ya kuchemsha asitumie maji yenye madini-kamua zabubu
-chuja vizuri
-ongeza maji kidogo /au miwa
-weka hamira nusu kijiko cha chai
-ifunike/ifungie kwenye chombo cha mbao ili kupata kitu bora
-iache humo miezi mwaka miaka juu yako
-Inapozidi kukaa ndio unapopata mvinyo bora zaidi.
Brew expert.
Kipimo cha nvinyo lita 2.
Tumesahau na sukari mzee-kamua zabubu
-chuja vizuri
-ongeza maji kidogo /au miwa
-weka hamira nusu kijiko cha chai
-ifunike/ifungie kwenye chombo cha mbao ili kupata kitu bora
-iache humo miezi mwaka miaka juu yako
-Inapozidi kukaa ndio unapopata mvinyo bora zaidi.
Brew expert.
Kipimo cha nvinyo lita 2.
Hiyo ni juisi mkuu😀😀 lakini inaonekana unaenjoy sana.sijui huwa napatia isiwe ikawa natengeneza juisi nikahisi ndio divai
nanunua zabibu
naziosha vizuri sana
nazisaga vile vile na maganda yake
maji na weka kiasi kidogo sana yaan sana ili zisagike na brenda
baada ya hapo sasa nazikamua kwa chujio la chai ila lile kubwa
huwa siweki sukari napenda vile chachu naweka kwenye friji
ikiwa ya baridi sana naweka kwenye gras ya Mwanamke nyonga naweka MOVIE naenjoy maisha yaan kama mbele
Hiyo Ni Juice Mkuusijui huwa napatia isiwe ikawa natengeneza juisi nikahisi ndio divai
nanunua zabibu
naziosha vizuri sana
nazisaga vile vile na maganda yake
maji na weka kiasi kidogo sana yaan sana ili zisagike na brenda
baada ya hapo sasa nazikamua kwa chujio la chai ila lile kubwa
huwa siweki sukari napenda vile chachu naweka kwenye friji
ikiwa ya baridi sana naweka kwenye gras ya Mwanamke nyonga naweka MOVIE naenjoy maisha yaan kama mbele
Inauzwje haina kileo?View attachment 2294259Hii Nakunywa Sana
MkuuInauzwje haina kileo?
Eti wakuu. Kutengeneza divai ya zabibu nyumbani inahitaji vitu gani?
Inatengenezwaje?
Ama BohaIngekuwa mnazi mdini Otterhound na Dalmine wangewahi humu kuelezea
Ni tamu?View attachment 2294259Hii Nakunywa Sana
Mkuu Zimejaa Zinaitwa Altar Wine Ila Lazima KidogoIsiyo na kilevi inatafutwa
AsanteMkuu Zimejaa Zinaitwa Altar Wine Ila Lazima Kidogo
Hiyo ni juissijui huwa napatia isiwe ikawa natengeneza juisi nikahisi ndio divai
nanunua zabibu
naziosha vizuri sana
nazisaga vile vile na maganda yake
maji na weka kiasi kidogo sana yaan sana ili zisagike na brenda
baada ya hapo sasa nazikamua kwa chujio la chai ila lile kubwa
huwa siweki sukari napenda vile chachu naweka kwenye friji
ikiwa ya baridi sana naweka kwenye gras ya Mwanamke nyonga naweka MOVIE naenjoy maisha yaan kama mbele
Hii wanauzaje? Ni vema wakipaki kwenye yale maboksi yake. Plastic siyo vitu safe.View attachment 2294259Hii Nakunywa Sana