Sikubaliani kabisa na hii Teua Teua ya Balozi kwa kila Mtu, kwani inatuaibisha na inadhalilisha pia Hadhi ya Neno Balozi kwa wenye Akili duniani

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,571
108,922
Tokea mwaka 2005 hadi sasa ( Leo ) karibia 99% ya Watu wanaoteuliwa kuwa Mabalozi na Marais wa Nyakati hizo ( hizi ) ni Watu very incompetent, wana IQ ndogo na Failures pia katika Nafasi walizokuwa.

Halafu ni nani aliyetulisha Sumu ya Upumbavu na Ushamba kuwa kila Mtanzania anaweza kuwa Balozi ( Diplomat ) kiasi cha Kuwateua Kizembe, Kipuuzi na kwa Kulindana tu?

Mabalozi ambao GENTAMYCINE nawaheshimu na nawakubali ni wale tu Walioteuliwa na Marais Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi na Hayati Mkapa ila kuanzia Awamu zilizofuatia Wote siwakubali na hawakustahili kabisa Kuteuliwa kuwa Mabalozi ama wa Vituo ( Nchi ) husika au wa Heshima.

Nyerere na Mkapa walikuwa Wakimteua Mtu kuwa Balozi jua ya kwamba huyo Mtu Kwanza ni very Intelligent lakini pia hata Idara ( TISS ) imeshamfanyia Screening ya kutosha na Kujiridhisha nae tofauti na ilivyo sasa.

Haingii Akilini unamtumbua Mtu katika Nyadhifa yake hapa Tanzania kwa Makosa ya Uhuni kwa Mwanaume / Umalaya kwa Mwanamke au kwa Rushwa ( Ufisadi ) au kwa Mauwaji ( Ukatili ) au kwa Kunyanyasa Watu halafu hapo hapo bila hata Chembe ya Aibu unamteua kuwa Balozi nchi fulani. Kwahiyo mnawateua waende huko wakaendeleze haya Madudu yao au vipi? Kama ameshindwa Kujirekebisha hapa Nyumbani Tanzania ndiyo mnategemea aende Kurekebishika huko abroad au overseas kabisa?

Halafu tukiwakosoeni ili Kuwajenga na Kuwafundisha jinsi ya Kufikiri na kufanya Mambo Kiutaratibu, Kiuweledi na Kimaadili mnatuchukia akina GENTAMYCINE na kutukalia Vikao vya Kutusaka mtuwahishe Udongoni.

Kuna vitu Vinakera na havivumiliki kabisa. Sasa ni rasmi na Mimi GENTAMYCINE nataka Mchakato wa Katiba Mpya Tanzania ufanyike haraka na kuwe na Vipengele Viwili Muhimu 1. Mabalozi wawe ni Watu 'Genius' kabisa na 2. Ikitokea Rais anaumwa au Kafa basi Jeshi lishike hatamu kwa Siku 90 tu kisha Taifa lifanye Uchaguzi Mwingine halafu kusiwe na Cheo cha Naibu Rais au hata akiwepo asiwe na Kigezo cha ama kuwa Rais au Kugombea Urais wenyewe.

Acheni kuharibu Hadhi ya Balozi Ok?
 
Nafikiri kwa Tanzania, wateuaji wa mabalozi wanaamini balozi anaenda kuiwakilisha nchi kwenye ncho nyingine kwa lengo la kudumisha urafiki na nchi husika (uhusiano mwema) na si vinginevyo.

Lakini hali ni tofauti kwa nchi makini ambapo balozi anahakikisha anapigania interests za nchi kisiasa, kijamii na kiuchumi.

Wenye taarifa mtusaidie, je, ni mabalozi wote wa Tanzania wana matokeo chanya kwa nchi?

Kwa mfano, je, huko walipo (mabalozi) wanandaa hata matamasha ya kuutangaaza utamaduni wa Tanzania achilia mbali kuleta wawekezaji?
 
Tokea mwaka 2005 hadi sasa ( Leo ) karibia 99% ya Watu wanaoteuliwa kuwa Mabalozi na Marais wa Nyakati hizo ( hizi ) ni Watu very incompetent, wana IQ ndogo na Failures pia katika Nafasi walizokuwa.

Halafu ni nani aliyetulisha Sumu ya Upumbavu na Ushamba kuwa kila Mtanzania anaweza kuwa Balozi ( Diplomat ) kiasi cha Kuwateua Kizembe, Kipuuzi na kwa Kulindana tu?

Mabalozi ambao GENTAMYCINE nawaheshimu na nawakubali ni wale tu Walioteuliwa na Marais Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi na Hayati Mkapa ila kuanzia Awamu zilizofuatia Wote siwakubali na hawakustahili kabisa Kuteuliwa kuwa Mabalozi ama wa Vituo ( Nchi ) husika au wa Heshima.

Nyerere na Mkapa walikuwa Wakimteua Mtu kuwa Balozi jua ya kwamba huyo Mtu Kwanza ni very Intelligent lakini pia hata Idara ( TISS ) imeshamfanyia Screening ya kutosha na Kujiridhisha nae tofauti na ilivyo sasa.

Haingii Akilini unamtumbua Mtu katika Nyadhifa yake hapa Tanzania kwa Makosa ya Uhuni kwa Mwanaume / Umalaya kwa Mwanamke au kwa Rushwa ( Ufisadi ) au kwa Mauwaji ( Ukatili ) au kwa Kunyanyasa Watu halafu hapo hapo bila hata Chembe ya Aibu unamteua kuwa Balozi nchi fulani. Kwahiyo mnawateua waende huko wakaendeleze haya Madudu yao au vipi? Kama ameshindwa Kujirekebisha hapa Nyumbani Tanzania ndiyo mnategemea aende Kurekebishika huko abroad au overseas kabisa?

Halafu tukiwakosoeni ili Kuwajenga na Kuwafundisha jinsi ya Kufikiri na kufanya Mambo Kiutaratibu, Kiuweledi na Kimaadili mnatuchukia akina GENTAMYCINE na kutukalia Vikao vya Kutusaka mtuwahishe Udongoni.

Kuna vitu Vinakera na havivumiliki kabisa. Sasa ni rasmi na Mimi GENTAMYCINE nataka Mchakato wa Katiba Mpya Tanzania ufanyike haraka na kuwe na Vipengele Viwili Muhimu 1. Mabalozi wawe ni Watu 'Genius' kabisa na 2. Ikitokea Rais anaumwa au Kafa basi Jeshi lishike hatamu kwa Siku 90 tu kisha Taifa lifanye Uchaguzi Mwingine halafu kusiwe na Cheo cha Naibu Rais au hata akiwepo asiwe na Kigezo cha ama kuwa Rais au Kugombea Urais wenyewe.

Acheni kuharibu Hadhi ya Balozi Ok?
Leo nimekukubali!
 
Tokea mwaka 2005 hadi sasa ( Leo ) karibia 99% ya Watu wanaoteuliwa kuwa Mabalozi na Marais wa Nyakati hizo ( hizi ) ni Watu very incompetent, wana IQ ndogo na Failures pia katika Nafasi walizokuwa.

Halafu ni nani aliyetulisha Sumu ya Upumbavu na Ushamba kuwa kila Mtanzania anaweza kuwa Balozi ( Diplomat ) kiasi cha Kuwateua Kizembe, Kipuuzi na kwa Kulindana tu?

Mabalozi ambao GENTAMYCINE nawaheshimu na nawakubali ni wale tu Walioteuliwa na Marais Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi na Hayati Mkapa ila kuanzia Awamu zilizofuatia Wote siwakubali na hawakustahili kabisa Kuteuliwa kuwa Mabalozi ama wa Vituo ( Nchi ) husika au wa Heshima.

Nyerere na Mkapa walikuwa Wakimteua Mtu kuwa Balozi jua ya kwamba huyo Mtu Kwanza ni very Intelligent lakini pia hata Idara ( TISS ) imeshamfanyia Screening ya kutosha na Kujiridhisha nae tofauti na ilivyo sasa.

Haingii Akilini unamtumbua Mtu katika Nyadhifa yake hapa Tanzania kwa Makosa ya Uhuni kwa Mwanaume / Umalaya kwa Mwanamke au kwa Rushwa ( Ufisadi ) au kwa Mauwaji ( Ukatili ) au kwa Kunyanyasa Watu halafu hapo hapo bila hata Chembe ya Aibu unamteua kuwa Balozi nchi fulani. Kwahiyo mnawateua waende huko wakaendeleze haya Madudu yao au vipi? Kama ameshindwa Kujirekebisha hapa Nyumbani Tanzania ndiyo mnategemea aende Kurekebishika huko abroad au overseas kabisa?

Halafu tukiwakosoeni ili Kuwajenga na Kuwafundisha jinsi ya Kufikiri na kufanya Mambo Kiutaratibu, Kiuweledi na Kimaadili mnatuchukia akina GENTAMYCINE na kutukalia Vikao vya Kutusaka mtuwahishe Udongoni.

Kuna vitu Vinakera na havivumiliki kabisa. Sasa ni rasmi na Mimi GENTAMYCINE nataka Mchakato wa Katiba Mpya Tanzania ufanyike haraka na kuwe na Vipengele Viwili Muhimu 1. Mabalozi wawe ni Watu 'Genius' kabisa na 2. Ikitokea Rais anaumwa au Kafa basi Jeshi lishike hatamu kwa Siku 90 tu kisha Taifa lifanye Uchaguzi Mwingine halafu kusiwe na Cheo cha Naibu Rais au hata akiwepo asiwe na Kigezo cha ama kuwa Rais au Kugombea Urais wenyewe.

Acheni kuharibu Hadhi ya Balozi Ok?
Uko sahihi popoma. Wakati wenzetu wanateua watu wakini kwa ajili ya kulinda maslahi na kutazama fursa za kibiashara, ajira za watu wao n.k sisi ubalozi ni adhabu kwa watumishi au kifuta machozi kwa marafiki walioshindwa ubunge.
 
Teuzi za mchongo na kulindana kwenye ujinga ukiwa na akili timamu huwez kumteua mtu kama yule mzee kuwa balozi maana hata kwenye uongozi aliokuwepo hakufanya vizuri japo alipewa sifa za kinafiki ile jana, mfumo wa kulindana, kulipana fadhila na kupeana vyeo bado ni tatizo kubwa kwa nchi hii
 
Sijizungushi kwa kweli, balozi polepole hakustahili kuwa balozi tukirejea alivyokuwa na kauli za vitisho kipindi cha mwendazake. Hoyce Temu hastahili kuwa balozi ni racist , rejea kipindi Richa Adhia aliposhinda taji la miss Tz kwa kuwa ana asili ya Asia. Sirro hastahili kabisa maana hata USA haruhusiwi kuingia kutokana na kuvunja na kutisha watu kipindi cha mwendazake.
 
Nafikiri kwa Tanzania, wateuaji wa mabalozi wanaamini balozi anaenda kuiwakilisha nchi kwenye ncho nyingine kwa lengo la kudumisha urafiki na nchi husika (uhusiano mwema) na si vinginevyo.

Lakini hali ni tofauti kwa nchi makini ambapo balozi anahakikisha anapigania interests za nchi kisiasa, kijamii na kiuchumi.

Wenye taarifa mtusaidie, je, ni mabalozi wote wa Tanzania wana matokeo chanya kwa nchi?

Kwa mfano, je, huko walipo (mabalozi) wanandaa hata matamasha ya kuutangaaza utamaduni wa Tanzania achilia mbali kuleta wawekezaji?
Hoja zako hizi Mkuu ambazo ni nzito na zinahitaji IQ Kubwa kujibiwa zitakufanya nawe Uchukiwe na ukaliwe Vikao vya kuwahishwa Udongoni.

Ni kwamba Critical and Great Thinkers hawatakiwi Tanzania bali Wapumbavu, Wanafiki na Chawa ( wa Kujipendekeza ) kwa Watawala na Matajiri Mafisadi ndiyo wanatakiwa na wanapendwa.
 
Ubalozi ni cheo cha fadhila kwa wote waliowatumia kufanikisha mambo yao Ili wasife njaa wasogeze sogeze umri maana waajiriwa wengi hawana uwezo wa kuishi nje ya kupewa mshahara wasipopewa nafasi za teuzi ufa mapema. Tunawaona hata wakiwa madarakani huwa na mabiashara makubwa makubwa yanayoendeshwa kwa wizi wa kodi zetu mfano mabus,nk biashara zote hizi nazo ustaafu pale mtumishi ofisi inapokoma.
 
Uko sahihi popoma. Wakati wenzetu wanateua watu wakini kwa ajili ya kulinda maslahi na kutazama fursa za kibiashara, ajira za watu wao n.k sisi ubalozi ni adhabu kwa watumishi au kifuta machozi kwa marafiki walioshindwa ubunge.
Inakera sana Mkuu na haivumiliki pia.
 
Sijizungushi kwa kweli, balozi polepole hakustahili kuwa balozi tukirejea alivyokuwa na kauli za vitisho kipindi cha mwendazake. Hoyce Temu hastahili kuwa balozi ni racist , rejea kipindi Richa Adhia aliposhinda taji la miss Tz kwa kuwa ana asili ya Asia. Sirro hastahili kabisa maana hata USA haruhusiwi kuingia kutokana na kuvunja na kutisha watu kipindi cha mwendazake.
Kuna Mmoja umemtaja hapa si tu ni 'damn Fool', ila ameshalaanika pia na sijui hata Mbinguni kwa Mwenyezi Mungu tutafika nae hakyanani.....!!!!
 
Ubalozi ni cheo cha fadhila kwa wote waliowatumia kufanikisha mambo yao Ili wasife njaa wasogeze sogeze umri maana waajiriwa wengi hawana uwezo wa kuishi nje ya kupewa mshahara wasipopewa nafasi za teuzi ufa mapema
Kwa hili nakubaliana nawe 100% Mkuu.
 
huo ni wivu tu unakusumbua.
chapa kazi ili uondoe sumu ya wivu.
kama unafanya kazi huwezi kuwa na wivu kama huu!!!
 
Back
Top Bottom