mtu

  1. A

    JamiiForums Tanzania Nataka kuconnect na Wataalamu wazoefu wa Interior design

    Kwa wale wataalamu na wazoefu wa interior design (commercial na villas) tuwasiliane, kampuni au freelancer
  2. OffOnline

    JamiiForums Tanzania Je, tumfikirie Shaka kwenye nafasi ya juu? Huenda ndio kijana mwenye ushawishi zaidi Tanzania

    Wasalaam, Hebu pitia video hizo zote then njoo u-comment,Huyu kijana naona anastahili nafasi ya juu hapo baadae, Je, Wewe unaonaje? === Tazama, huu ni usiku ila vijana wanagoma kumruhusu kijana huyu aondoke
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Ikiwa mtu hayuko pensionable, haya mashirika ya hifadhi ya jamii yanakuwa na uhalali gani wa kushikiria hela za mwanachama?

    Tuliambiwa kuwa mashirika ya hifadhi ya jamii yataunganishwa lakini mpaka sasa Jambo Hilo halijafanyika.kila shirika linajiendesha kivyake. Jambo hili mimi naona limeleta usumbufu mkubwa. Ili mtu aweze kupata mafao ya kustaff anatakiwa awe amechangia miaka 15 . Tangia 2019 tuliambiwa kuwa...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu anayefahamu laravel vizuri kabisa

    Wakuu kwema? Aisee natafuta mtu anayeifahamu laravel vizuri kabisa hasa ORM. Kuna kazi nataka tushirikiane naye malipo yapo. NOTE: KAZI TUTAFANYA WOTE KWA KUSHIRIKIANA KWA UKARIBU ZAIDI PIA HAKIKISHA UNAFAHAMU KWELI LARAVEL NA SIO KUBAHATISHA NATAKA REAL COMPTENT NA SIO MTU WA KUBAHATISHA...
  5. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Nini madhara ya kupandikiza mbegu za mtu usiyemfahamu kutoka sperms bank?

    Kumekuwa na katabia fulani hivi kutoka kwa wadada daraja fulani hivi wanaoona eti hamna mwanaume anayeweza kuwapa mimba kwa njia asilia kwa sababu wao ni wazuri sana na wana hela sana. Wadada hao hupandikizwa mbegu kutoka benki ya mbegu za kiume. Je, ni nini usalama wa mbegu hizo kwa kizazi...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Ajira hakuna lakini kazi zipo

    Usitengemee Bahati
  7. JF Member

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mtu anaemwelewa Waziri Nape? Ni aibu sana

    Naamini kabisa kwenye Ile orodha ya Mawaziri mizigo ya Kinana na Waziri Nape yumo. Waziri huyu bwana naona tu ni kama zawadi kapewa, hata yeye nazani anaona kabisa hawezi. Mambo mawili yanayomshushia heshima na kama hatakuwa makini atatoka kabisa kwenye reli. 1. Vifurushi vya mawasiliano /...
  8. DENG XIAOPING

    JamiiForums Tanzania Mtu Mweusi [Mwafrika] sio uzao wa Adam na Hawa

    Awali ya yote ningependa kuwasalimu wanajamii wenzangu habari zenu, natumai ni wazima wa afya. Nina maswali kadhaa ambayo ningependa kupata majawabu kutoka kwenu wana Jamiiforums yatakayo kuwa msaada na faida kwa jamii nzima na kubadili taswira na mtazamo wa jamii nzima juu ya asili ya mtu...
  9. Uhakika Bro

    JamiiForums Tanzania SoC02 Uhakika wa vitendo: Filosofia itakayotufanikisha mtu mmojammoja ama kutufelisha wote kama Taifa

    ‘KURUTI!, UHAKIKA WA VITENDO!’ kwa sauti kali ya kuamrisha mara ya kwanza naisikia ilikuwa ni jeshini. Ilipenya na kueleweka haraka kwa sababu mbili; Mosi, kile nilichokijua tangu mwanzo kuhusu uhakika, nilipenda kulitumia kiingereza ‘sure’. Lakini sababu ya pili ipo wazi ni kuogopa adhabu...
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya2022 Huu uwazi wa uchaguzi wa Kenya ni mageuzi makubwa sana! Kila mtu duniani anaweza kudownload matokeo na kujijumlishia

    Pale kituoni kura zikihesabiwa na kujazwa kwenye form (34A), kila wakala anaipiga pcha na kuwarushia watu wake, anapata hard copy kisha hiyo form inakuwa uploaded kwenye mfumo wa tume ya uchaguzi. Kila mtu anaweza kudownload na kujijumlishia ili kuona mwenendo wa mgombea yeyote, kisichotakiwa ni...
  11. S

    JamiiForums Tanzania SoC02 Maendeleo ya uchumi wa mtu binafsi katika kukuza uchumi wa nchi za Afrika

    Maendeleo ya mtu binafsi tu namaanisha hali ya kiuchumi ya watu Katika taifa, katika umiliki wa mali, elimu na siasa pia vitu hivi huchochea kwa kiasi kikubwa Maendeleo ya taifa kiujumla mtu mmoja mmoja katika taifa Wakiwa na uwezo mzuri wa kiuchumi Tunaweza kukuza uchumi wa nchi pia. Kwa...
  12. Tanzania Nchi Yetu Sote

    JamiiForums Tanzania Ishara zinazoonyesha wewe sio mtu wa kukata tamaa

    • Unacheka unapoanguka au unaposhidwa jambo • Hushindani na mtu lakini unajishindania mwenyewe na malengo yako. • Ni mtu unayeamini kwamba hali ngumu unayopitia ni shule. Magumu hayadumu ni swala la muda tu. • Upo tayari kwa mabadiliko yoyote. • Unafahamu vipaumbele vyako hukurupukii kila...
  13. Mr Dudumizi

    JamiiForums Tanzania Mtu huyu akisimama na mgombea wa CCM mwaka 2025, ni lazima CCM tuangukie pua

    Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika. Ndugu wana JF wenzangu na watanzania wenzangu, ili chama cha CCM kiweze kushindwa katika uchaguzi mkuu wa 2025 au 2030, yanahitajika mambo matatu. 1) Kwanza: kinahitajika chama imara cha upinzani...
  14. Mganguzi

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa kuhusu cheo cha Field Marshall, ni aina Gani ya mtu anaitwa cheo hicho?

    Katika pekua pekua pamoja na simulizi za hapa na pale nimeambiwa kwamba Dunia nzima ma-Field Marshall hawazidi kumi akiwemo hayati Fidel Castro na Ally Zaqawi . Je, ni kweli kuwa mafied marshall hawafiki kumi Dunia nzima ? Je, cheo hiki hutumikaje katika majeshi?
  15. Mcanada

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu dalili za mtu mwenye Upungufu wa Akili Kichwani

    Habari mabibi na mabwana wa jukwaa kubwa la JamiiForums Sitaki kwenda mbali sana nikawachosha naomba tu kufahamu dalili za mtu anayeanza kuwa na matatizo ya akili kichwani. Uzi tayari!
  16. Bujibuji mafuriko

    JamiiForums Tanzania Mke wa mtu anapenda hili neno "kunyandua" yaani nilimtamani lakini basi tena!

    Kwenye haya mambo hakuna haja ya salamu! Mke wa Ngosha mmoja mweny asili ya kimanga mchanganyiko na wayao alinivutia Sana siku za mwanzo. Kadri tulivyozidi kuwa karibu mdomo ukachemsha. Matamsh yalimdharaulisha
  17. Action and Reaction

    JamiiForums Tanzania Nakupa siri ila usimwambie mtu, Warabu kutua Dar kucheza na Mnyama

    Simba day is Loading, wanasimba mujiandae kwani chini ya kapet kuna shoo shoo! lakufa mtu.... Kwan Esperance... Mwaisa Watunisia wanatua kukipiga kwa mkapa! Halafu! Hawa Uto mbona hawana furaha....? 🤗🤗🤗🤗🤗🤗
  18. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Hiki ni chama hatari, kinaweza kumpa mtu kesi ya kuua

    Fikiria chama kinaweza kumpa mtu kesi ya kuua. Ili ahukumiwe kifo au jela maisha. Fikiria chama hiki kinaweza kumpa mtu kesi ya ugaidi. Kikashirikiana na polisi na mwenyekiti wa hicho chama akatoka hadharani na kukazia kwamba wana ushahidi mtuhumiwa alipanga ugaidi. Je, hiki chama kinaweza...
  19. Kikapuu

    JamiiForums Tanzania SoC02 Nataka kuwa mtu wa maarifa ndani ya Jamii

    Utangulizi. Maarifa ni elimu ambayo mtu huitaji ili aweze kuitumia katika maisha yake au kusaidia wengine kwa changamoto ambazo hawawezi kuzitatua kutokana na ufinyu wa maarifa. Maarifa unaweza kuyapata kwa kutumia elimu rasmi hiisiyo rasmi mfano mtaani. Tukiongelea neno mtu wa maarifa ni yule...
  20. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Nigeria: Msanii agoma kumsapoti mwanasiasa kwenye kampeni ili heshima yake kwa kila mtu ibaki palepale

    Msanii maarufu nchini Nigeria na mchezaji wa filamu Nollyhood amekataa kiasi cha Naira 10,000,000 sawa na shillingi 54,935,758.91 za Tanzania ili kumsapoti mwanasiasa anayefanya kampeni, mwanasiasa huyo aliona akimtumia huyo msanii kwenye kampeni atapata wanachama wengi na kura zitaongezeka, ila...
Back
Top Bottom