chawa wa mama
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 292
- 1,083
Kwa ndugu zangu wa damu CCM ukiondoa kutumia nguvu ya dola na ubabe wa kulazimishwa kupendwa kwa vitisho hawana hoja katika mizani ya siasa.
Kumshambulia mwenyejiti Mbowe kwa hoja za udikteta, ufisadi na mengine ni daliki ya kumwogopa tu kwa namna alivyoweza kuwa jiwe ktk kipindi ambacho masalia wamerudi kwao.
Mimi sio mwanachama wa chama Cha siasa chochote, ni mpenzi wa mabadiliko, ila sio shabiki wa CCM,
Leo nakaribisha mwanaCCM yeyote mwenye hoja dhidi ya chama chochote Cha upinzani aiweke hapa nitaijibu ndani ya sekunde 40(maana najua hamna ya maana).
Kesho itakuwa zamu yenu kunijibu maswali yangu 300 nitakayowapa hapa.
Karibuni Sana!
Kumshambulia mwenyejiti Mbowe kwa hoja za udikteta, ufisadi na mengine ni daliki ya kumwogopa tu kwa namna alivyoweza kuwa jiwe ktk kipindi ambacho masalia wamerudi kwao.
Mimi sio mwanachama wa chama Cha siasa chochote, ni mpenzi wa mabadiliko, ila sio shabiki wa CCM,
Leo nakaribisha mwanaCCM yeyote mwenye hoja dhidi ya chama chochote Cha upinzani aiweke hapa nitaijibu ndani ya sekunde 40(maana najua hamna ya maana).
Kesho itakuwa zamu yenu kunijibu maswali yangu 300 nitakayowapa hapa.
Karibuni Sana!