mtandao

  1. Millard ayo huu ujinga utafukuza wapenzi wa mtandao wakooo

    nI MMOJA WA WAPENZI WA MTANDAO WA HUUYU MH LO NIMEONA NITOE YA MOYONI VIDEO NYINGI UKISEMA.UNAFUNGUA UNAKUTANA NA MATANGAZO YA WANAIMDHAMINI BADALA YA. VID HUSIKA HUU UJINGA AUFAI SIO KILA.MTU ANA BET WENGINR WANATAKA KUONA MATUKIO HIKI.NDICHO NIMEKUTANA NACHO BAADA YA KUAVLICK VID hATA...
  2. Jinsi ya kutambua namba ya simu ni ya mtandao upi

    Nahitaji msaada. Hii kitu imekuwa inanisumbua kwa muda mrefu. Mtu unawezaje kutambua namba ya simu ni ya mtandao upi. Najua inahusiana na namba 3 za mwanzo. Mnaweza kuorodhesha namba zote na mitandao yake?
  3. F

    Vituko vya wasomi kwenye mtandao: Unajiita CPA Mwakipesile, je ni sahihi?

    Habari wadau, Nimeona watu wengi kwenye mtandao wanapenda onesha status zao za elimu. Je, ni sahihi au? Maana najua mitandao inaleta dili nyingi za biashara na mengineyo. Je, kujiweka status yako ya elimu kama una masters, PhD, CSP, CPA, Engineer ni sahihi hasa instagram? Maana nimeona mdau...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…