Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,416
- 3,911
Nipo hapa nimeshajaribu kupiga huduma kwa Wateja lakini ninachokutana nacho, mtandao unasumbua Ata anayeongea humsikii, unaskiliza mikoromo tu mpaka masikio yanauma.
Internet ndo kabisa Kwenye kudownload utakesha Inaenda slowly sana, Mida yake mpaka uivizie saa nne usiku Mpaka saa mbili humo, baada ya hapo ni mtandao kuwa Mwendo wa kinyonga, kwakeli naamua kuitumia kwa sababu ya Bando wanatoa kubwa sana, na bei ndogo lakini naona inataka kunishinda sasa,
Wahusika wapo kimya, tu
Internet ndo kabisa Kwenye kudownload utakesha Inaenda slowly sana, Mida yake mpaka uivizie saa nne usiku Mpaka saa mbili humo, baada ya hapo ni mtandao kuwa Mwendo wa kinyonga, kwakeli naamua kuitumia kwa sababu ya Bando wanatoa kubwa sana, na bei ndogo lakini naona inataka kunishinda sasa,
Wahusika wapo kimya, tu