G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Baada ya Askofu Josephat Gwajima kutuhumu kuwa huenda Tanzania ikatumiwa Corona virus kwa njia ya 5G kutoka kwa nchi mabeberu na kuuandika Facebook hatimaye uongozi wa mtandao huo wameufutilia mbali.
Askofu mzima unakuwa mzushi mzushi hadi unaonekana kituko
Askofu mzima unakuwa mzushi mzushi hadi unaonekana kituko