Mimi Doctor Pancho,
Kuelekea mwishoni mwa mwaka na tunakaribia sikukuu hizi.
Kwa wale niliowakwaza kwa namna moja ama nyingine,
Ama hata kuwatusi maana mikwaruzano kwa binadamu ni kawaida.
Hivyo ningependa niwaambie tu hicho kilikuwa kionjo,
Mwaka mpya nitakuja moto zaidi ya hivyo nilivyokuwashia.