Dunia yakoo
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 120
- 250
Uzinduzi wa Kongamano la kuanzisha mchakato wa kudai katiba mpya litafanyika tar 20/12/2020

Siku hiyo mtakamatwa wote, dikteta hataki katiba mpya maana itamg'oaVuguvugu la kudai katiba mpya!
Teh tehAaah! Nchi hii bwana, maneno mengi sana action sufuri..
katiba tuliyo nayo inatoshaUzinduzi wa Kongamano la kuanzisha mchakato wa kudai katiba mpya litafanyika tar 20/12/2020
Ukawa inarudi kivingine.UKAWA
Lipumba anaanza tena mambo yakeUzinduzi wa Kongamano la kuanzisha mchakato wa kudai katiba mpya litafanyika tar 20/12/2020
Hamna kongamano lolote litalotokeaSiku hiyo kwenye hilo kongamano polisi watakuwa wengi kuliko wanakongamano.
Based on the true story!!Ukawa inarudi kivingine.
Siku hiyo kwenye hilo kongamano polisi watakuwa wengi kuliko wanakongamano.
Sidhani. CUF ndo waanzilishi.Siku hiyo kwenye hilo kongamano polisi watakuwa wengi kuliko wanakongamano.
Siasa Wanasiasa bongo na mavyama yaoLipumba anaanza tena mambo yake!!! Hizi siasa za bongo unaweza tamani gharika ipite kianze kizazi kipya cha wanasiasa.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us