Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Chadema ipo mbioni kuziba nafasi za viongozi wa jumhia mbalimbali ikiwemo ya wanawake ambazo zipo wazi baada ya viongozi kuvuliwa uanachama. Mchakato wa kupata watu wa kuziba nafasi hizo unaendelea huku baadhi ya wanavyuo wakielezwa kupewa nafasi kwa lengo lakutengeza viongozi wapya. Timu ya makachero imeshaingia kazini kusaka watu wenye ueledi na wasio na doa la rushwa Wala tuhuma za jinai.....tutegemee akina Halima wapya kuzaliwa soon. Mapambano yanaendelea