He Is Him
JF-Expert Member
- May 19, 2020
- 238
- 353
Kuna wakati bongo movie wanatengeneza movie nzuri saana mpaka unataman uiangalie mara kwa mara
Kwa mfano mimi huwa napenda movie za tiny white&ringo(kamanda mstaafu,n.k) huwa siwachoki kuwaangalia.
Je movie gani ya kibongo kwako ilikuwa ni best hata ukiirudia huwezi ikinai.
Kwa mfano mimi huwa napenda movie za tiny white&ringo(kamanda mstaafu,n.k) huwa siwachoki kuwaangalia.
Je movie gani ya kibongo kwako ilikuwa ni best hata ukiirudia huwezi ikinai.