morogoro

  1. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Kipande cha Dar - Pugu chasababisha kuchelewa SGR Dar - Morogoro kuanza kutumika

    Kwa mujibu wa gazeti la The East African ni kuwa mfumo mzima wa umeme utakaotumika kuendesha treni kwenye awamu hii ya kwanza toka Dar mpaka Morogoro umekamilika. Na ulikuwa ufanyiwe majaribio mwezi mwishoni mwa mwezi April. Mpaka sasa vituo vinne vikubwa vya kupoza umeme vimeshaunganishwa na...
  2. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania Kanusho la taarifa ya kuanza kwa huduma za safari za treni za kisasa Dar es Salaam - Morogoro

    Kanusho la taarifa ya kuanza kwa huduma za safari za treni za kisasa Dar es Salaam - Morogoro
  3. K

    JamiiForums Tanzania TANESCO Morogoro mbona kila siku umeme hakuna kwa muda mrefu?

    TANESCO Morogoro kwa kukatika huku umeme kila siku kwa masaa mengi mjitafakari. Nadhani Mh. Rais Magufuli hajagundua upuuzi huu ila soon atagundua na mtalia na kusaga meno pale mtakapotumbuliwa! Kila siku umeme lazima ukatike na hakuna taarifa yoyote inayotolewa kwa umma. Wananchi wanateseka...
  4. mathsjery

    JamiiForums Tanzania Mafundi feniture wengi wa Mwanza si wabunifu wanazidiwa na wa Morogoro

    Nikifanya mlinganisho kati ya mafundi feniture wa Mwanza na Morogoro naona kabisa wale wa Mwanza ni zero. Yaani mtu anatumia mninga sijui, una makovu mara brown imekoza kwingi sehemu nyingine haijakoza sasa anachonga kitanda sijui meza alafu anapiga vanish kisha anauza kitanda kina mabaka...
  5. Kennedy

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mwandishi Wa Habari, Vedasto Msungu afariki dunia

    Mwandishi mkongwe wa habari za mazingira, Vedasto Msungu amefariki dunia kwa changamoto ya upumuaji huko Morogoro Hospitali ya Rufaa Mwandishi Vedastus Sungu alikuwa akipatiwa tiba kwenye Hospitali ya SUA, hali yake ilipozidi kuwa tete sana akahamishiwa Hospitali ya Rufaa Morogoro ward number...
  6. Faana

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Kituo cha Polisi Kihonda Kingejengwa Karibu na Stesheni ya Mwendokasi Badala ya Youth Mission

    Nimesikia tetesi kutoka kwa rafiki wa karibu kuwa serikali inakusudia kujenga kituo kingine cha polisi kwa kushirikisha nguvu za wananchi katika Kata ya Kihonda, ni jambo jema na zuri, binafsi ningeshauri kituo hicho kijengwe karibu na stesheni ya mwendokasi badala ya kwenda kulijenga eneo la...
  7. Patriot

    JamiiForums Tanzania Mhe. Rais uliyoyaona Morogoro Manispaa yako Ofisi zote za Serikali

    Maafisa wa manispaa ya Morogoro wamejimilikisha ’vizimba’ na kupangisha upya kwa gharama ya juu! Kwa ujumla kilichotokea Morogoro ni matumizi mabaya ya ofisi ambayo ktk serikali, yako kila sehemu. 1. Ukiwa Afisa Ardhi, unapima viwanja na kujimilikisha viwanja vingi ili uwauzie wengine. 2...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Je, Rostam Aziz ataitikia wito wa kugombea Ubunge Morogoro Mjini?

    Ikumbukwe kuwa Rostam Aziz alijiuzulu Ubunge wa Jimbo la Igunga kwa madai kuwa amechoshwa na siasa uchwara. Je, sasa ataukubali wito wa mwenyekiti wa chama chake CCM Rais Magufuli kwamba kama vipi 2025 agombee ubunge Morogoro mjini na kumfurusha mbunge wa sasa Abood Aziz? Ikumbukwe kuwa hawa...
  9. Research Solutions TZ

    JamiiForums Tanzania Kisichoeleweka kwa wadau kuhusu mbunge wa Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood

    Jana Magufuli amemponda sana Mbunge Aziz Abood kwa kuua viwanda lakini kuna kauli haijaeleweka na wadau wa Morogoro wamekuwa kimya kuhusu baadhi ya kauli. Ninalazimika kuandika kuhusu kauli hizo na sababu ya CCM kumsimamisha kama mbunge huku wakijua ameua viwanda Abood amesimamishwa kwa mara...
  10. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Huu ni Unafiki wa kisiasa, Mwenyekiti wa CCM hukuona kuwa Mbunge wa Morogoro hafai?

    Wana Jf leo mbunge wa Morogoro mjini amebagazwa vibaya sana,kama ni mtu una roho ndogo basi mpaka wakati huu angekuwa ameandika barua ya kujiuzulu. Maana hata kama ni kupeana makavu sio kwa namna hii. Lakini, Je mwenyekiti wa Ccm hakujua kuwa anampitisha kugombea ubunge mtu ambae alinunua...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli afungua Kiwanda cha Kukoboa Mpunga Morogoro. Amlaumu Mbunge Abood kwa kuua ajira Mjini Morogoro

    Rais Magufuli amefungua kiwanda cha kukoboa mpunga Kihonda Morogoro. Rais Magufuli amempongeza mwekezaji wa Kiwanda hicho na kumlaumu mbunge wa Morogoro mjini mh Abood kwa kupewa viwanda viwili na Serikali na yeye badala ya kuviendeleza akavitumia kukopea benki na kununua mabasi. Rais Magufuli...
  12. Leslie Mbena

    JamiiForums Tanzania Rais John Magufuli, karibu Morogoro kwa Chifu King'alu Mwana wa Chifu Msumi

    Leo 20:30hrs 11/02/2021 Karibu Rais John Pombe Magufuli,Karibu katika Mji wa Kihistoria,Karibu Morogoro,mahali ambapo Safina ya Nuhu ilitia nanga baada ya Gharika kuu iliyoua watu wote duniani, karibu Mkoa wa Morogoro ambao eneo kubwa ni hifadhi za Wanyama wote,Ndege wote,na viumbe vyote...
  13. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamdu Shaka asimamishwa kwa tuhuma za rushwa

    Anatuhumiwa kushiriki rushwa wakati wa mchakato wa kumpata Meya wa Manispaa hiyo. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa CCM Mh Magufuli akiwa ziarani Mkoani humo. ==== Katibu CCM asimamishwa kwa rushwa, Magufuli asema… KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamidu Shaka...
  14. polokwane

    JamiiForums Tanzania MOROGORO kuna nini, mbona Wahindi karibu wote wamefunga maduka kwa wiki mbili sasa?

    Kuna nini Morogoro? Mbona maduka ya Wahindi karibu yote yamefungwa? Tatizo nini? wiki ya pili sasa maduka mengi ya Wahindi yamefungwa, kuna nini Morogoro? Je, ni TRA au tatizo ni nini?
  15. Faana

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Ujenzi wa Barabara 88 hadi Tungi una Kasoro

    Naandika kukufahamisha Meneja wa TARURA Morogoro kukufahamisha kuwa kama umekaa ofisini nenda site kasimamie kazi, tunashukuru serikali imetoa fedha kwaajili ya ujenzi wa barabara hiyo lakini yaelekea kuna fedha inaliwa na wajanja. Haiwezekani kampuni ikapewa kazi ya kujenga barabara bila...
  16. B

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua wilaya inayoongoza kwenye kilimo cha zao la mahindi katika mkoa wa Morogoro

    Wakuu naomba kujua wilaya gani ni nzuri zaidi kwenye kilimo cha zao la mahindi katika mkoa wa Morogoro?
  17. Replica

    JamiiForums Tanzania Kahama: Rais Magufuli amsamehe Mkurugenzi wa Halmashauri aliyenunua gari kinyume na utaratibu. Kahama yapandishwa hadhi kuwa Manispaa

    Baada ya salamu kutoka kwa viongozi mbalimbali, Rais Magufuli anategemea kuhutubu punde.. Kwasasa kinachoendelea ni burudani kutoka kikundi cha asili. ====== WAZIRI JAFFO: Toka tunapita barabarani watu wamejaa sana, hi ni ishara kwamba, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ni Rais wa watu lakini...
  18. M

    JamiiForums Tanzania SGR Morogoro mwageni maji kwenye diversion

    Kuna maeneo mawili ambapo wajenzi wa reli ya kisasa SGR wamefanya mchepuko wa barabara katika manispaa ya Morogoro,moja ni Kihonda na ya pili ni mbele kidogo Lutheran Junior seminary. Shida kubwa ni kuwa hawamwagillii maji hizi diversion ni hii inasababisha vumbi jingi. Mnaowakagua...
  19. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya vijiji na kata mkoani Morogoro havina maji?

    Nilishangaa kuona baadhi ya vijiji mkoani Kigoma na hasa kule wanakotoka mawaziri Prof Ndalichako na Dr Mpango wananchi wanakunywa maji ya tope. Sasa leo nusura nizimie baada ya kuwaona runingani wabunge wawili Asenga wa Kilombero na Babu Tale wa Morogoro kusini wakielezea shida ya maji...
  20. Mwita Mtu Mrefu

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Shamba ekari 60 linauzwa Morogoro

    Shamba linauzwa Mkoani Morogoro, wilaya ya Mvomero, kata ya Turiani, kijiji cha Dihinda. Shamba lina mitiki ndani yake, minazi, michungwa na miembe. Shamba lina ukubwa wa hekari 60, lina bonde na miinuko, maji yapo karibu ukichimba kisima. Shamba liko umbali wa KM 5 Toka Barabara ya Turiani...
Back
Top Bottom