morogoro

  1. Analogia Malenga

    Mbaroni kwa kuua wazee wawili Morogoro

    Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro linawashikilia Rajabu Ramadhani (26), Athumani Ramadhani (21) na Daniel William (49) kwa tuhuma za mauaji ya Bernadetha Kibwana (60( na Zabibu Maulidi(59) Tukio la mauaji limetokea majira ya saa kumi na moja alfajiri Oktoba 15, Mafisa kwa Mambi kata ya Mafisa...
  2. Analogia Malenga

    Prof. Kabudi apata ajali Morogoro, amelazwa Hospitali ya Rufaa na hali yake ni nzuri

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi , amepata ajali eneo la Kihonda, Manispaa ya Morogoro Mkuu wa Mkoa huo, Loata Ole Sanare amethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Na mgonjwa amelazwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro
  3. N

    Rais wafokee wakandarasi kwa kuchelewesha SGR kati ya Dar na Morogoro

    Habarini wana jamvi. Juzi hapa tulimsikia rais akiwa-mind wakandarasi kwa kuchelewesha mradi wa stendi mpya ya kisasa pale mbezi jambo ambalo hakulitegemea tena mbele ya mgeni wake, Rais wa Malawi. Sasa ni bora tumwambie kuhusu hili la SGR, maana tuliambiwa mwezi Novemba mwaka jana ingekuwa...
  4. Faana

    Ombi kwa Waziri Mkuu na Waziri wa TAMISEMI

    Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu naamini ni wenye afya njema na mnaendelea kuwatumikia wananchi wa Tanzania vema kabisa, Naomba kuwasilisha kwenu mambo mawili na hasa katika wakati huu wa kuelekea kwenye uchaguzi wa Mbunge na Madiwani. Sisi wakazi wa Tungi Manispaa ya Morogoro tumesahaulika kwa kila...
  5. K

    Ninauza kiwanja Cha makazi Kiegeya Morogoro Manispaa

    Habari wanna jamii. Ninauza kiwanja ambacho kina ukubwa wa sqm 558, Kiegeya Morogoro mjini,tayari kina misingi ya nyumba mbili,mmoja una vyumba 3 ikiwemo master bedroom, sitting room,stoo jiko na choo, msingi wa pili Ni wa vyumba viwili, ikiwemo master bedroom, sitting room jiko na choo.
  6. dubu

    GE2020 Dkt. Magufuli: Vitambulisho vya Machinga sio lazima, acheni uongo

    Mgombea Urais kupitia CCM Dkt John Magufuli amesema, watu wanazusha kwamba Machinga wanalazimishwa kuwa na vitambulisho, sio kweli. Vitambulisho sio lazima. ''Vitambulisho havilazimishwi ni lazima itolewe elimu kwa wanaoshiriki kwenye vitambulisho ili wakafanye bishara mahali popote, tunataoa...
  7. Erythrocyte

    GE2020 Devota Minja (CHADEMA) aendelea na Kampeni kusaka Ubunge Morogoro Mjini

    Hakika ilikuwa ni lazima kumuengua Devota Minja ili asigombee Ubunge Morogoro Mjini, maana kumuacha kumeleta kifo cha ghafla kwa CCM. Hali ndio kama mnavyoona wenyewe Mjumbe wa kamati kuu , mchungaji Msigwa akimnadi Mgombea ubunge wa Chadema Morogoro mjini Devota Minja
  8. R

    GE2020 Hongera Devota Minja lakini kwa mwenendo wa Mkurugenzi Morogoro manispaa, jiandae kupigana "vita" utangazwe

    Ni habari njema umerudishwa baada ya kuenguliwa kihuni. Utashinda ubunge na wala mabasi ya kupeleka watu misibani anayotoa Abood si hoja kwa wana Moro. Hofu yangu ni kuwa utashinda lakini kwa mwenendo wa mkurugenzi wa Moro manispaa, hatakutangaza. Panga "majeshi" kabisa maana hatakutangaza...
  9. G Sam

    Morogoro mjini: Mgombea ubunge wa jimbo hilo kupitia CHADEMA Bi Devotha Minja arejeshwa rasmi na NEC

    Kamwambieni Abood kuwa asiyempenda kaja, atoke mafichoni akanadi sera. Devotha wa Chadema ni mgombea halali wa jimbo hilo. Hongera kamanda, ulipambana mpaka ukalala ndani! ===
  10. CUF Habari

    GE2020 Prof. Lipumba: Tunahitaji kuboresha sekta muhimu za uchumi na kilimo

    TUNAHITAJI KUBORESHA SEKTA MUHIMU ZA UCHUMI NA KILIMO."PROF.LIPUMBA" MOROGORO  Historia ya maendeleo ya uchumi duniani inaonesha kuwa maendeleo ya viwanda hutanguliwa au kuambatana na mapinduzi ya kilimo. Ongezeko la uzalishaji na tija katika sekta ya kilimo huongeza upatikanaji wa chakula na...
  11. mugah di matheo

    Jamhuri Morogoro: Mtibwa vs Simba hakuna mbabe

    Ukiwa ni mwendelezo wa vpl msimu wa 2020_2021 Simba anawakabili wanalamba lamba sukari toka turiani Je morson atafunga? Bocco atawaacha mtibwaa? Maufundi ya bwalya mguuni? Usikosee Update zitakuwa zinakuji Simba starting XI Manula Kapombe Tshabalala Onyango Kennedy Mkude Mzamiru Chama Morrison...
  12. Erythrocyte

    Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mkoani Morogoro, ni operesheni Kata kwa kata

    Wakati Wagombea wengine wakiishiwa pumzi , Rais Mtarajiwa wa Tanzania Mh Tundu Lissu leo tarehe 12/9/2020 bado yuko Mkoani Morogoro akiendelea kuelimisha wananchi kuhusu madhara ya ukandamizaji na udikteta na kuichakaza ccm bila huruma ========= UPDATES Picha : Akiwa kazuiliwa na wananchi...
  13. CUF Habari

    GE2020 Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Prof. Lipumba kuunguruma leo Morogoro mjini

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Ibrahim Haruna Lipumba Leo septemba 12, 2020 atafanya mkutano wa kampeni Leo Morogoro mjini. CHAGUE CUF, MCHAGUE PROF. LIPUMBA KUWA RAIS.
  14. CHADEMA

    GE2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu

    Jiji la Dar es Salaam ambayo ni ngome Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo linatarajiwa kusimama kwa siku tatu kupisha uzinduzi wa kihistoria wa mgombea Urais wa Chama hicho. Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Lissu atazindua Rasmi kampeni zake kuelekea Ikulu ya Magogoni na...
  15. Erythrocyte

    GE2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

    Hii ndio habari inayosambaa kwa kasi Arusha kwa sasa, baadhi ya watu wanaotafuta huduma kwenye maofisi mbalimbali wamelalamika kukosa huduma baada ya maofisa kufika na kusaini kisha kutoroka ili kuwahi Mkutano Mkubwa sana wa Kampeni wa Rais Mtarajiwa Lissu. Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa...
  16. Suley2019

    Morogoro: Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii afungua Kikao cha kujadili Uhifadhi Malikale yaliyokasimishwa kwa Taasisi za Wizara

    Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce K. Nzuki akitoa Hotuba ya Ufunguzi katika Kikao cha kujadili Hali ya Uhifadhi na Uendelezaji wa Maeneo ya Malikale yaliyokasimishwa kwa Taasisi za Wizara kilichofanyika jana katika Ukumbi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, (TFS ) Kituo...
  17. G Sam

    GE2020 Mwenyekiti wa NEC, yanayoendelea Morogoro Mjini ni sahihi kwako? Kwanini wapinzani wanyanyaswe na wasaidizi wako?

    Kwanini tume yako ya uchaguzi wanakuwa wazito hivyo kushughulikia uhuni wanaofanya wagombea wa CCM? Je, hiyo ndiyo inayoitwa tume huru? Unataka kila jimbo lenye mgogoro afe mtu ndipo uone kuna tatizo? Tafadhali sana, huu ni uchaguzi mkuu wa vyama vyote na siyo uchaguzi mkuu wa CCM, tunakutaka...
  18. J

    GE2020 Jeshi la Polisi linawashikilia wanachama watatu wa CHADEMA kwa kughushi barua za chama cha SAU ili wachukue fomu za Ubunge!

    Polisi mkoani Morogoro inawashikilia wanachama watatu wa Chadema walioghushi barua za utambulisho wakijifanya ni wanachama wa chama cha SAU na kutaka kuchukua fomu za kugombea ubunge kwa njia ya udanganyifu. ------ Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbrod Mutafungwa, alisema jeshi hilo...
  19. Troll JF

    GE2020 Morogoro: Devotha Minja amewasilisha fomu bila picha kitendo kinachomnyima sifa ya kuwa Mgombea

    Wakati tunalaumu Tume ya Uchaguzi kuna makosa ambayo yanaepukika kama hili la Devota Minja ni makosa ya Kitoto yanayofanywa na aliyekua Mbunge. CHADEMA mchunguzeni huyu kuna viashiria vya Rushwa iliyopelekea kujaza Form hovyo pasipo kuambatanisha viambatanisho muhimu kama Picha. Unaenda...
  20. Kipenzi Changu

    GE2020 Ubunge Morogoro Mjini: Abood apitishwa kuwa Mgombea pekee. Wenzake wakosa vigezo

    Abdulazizi Abood (CCM) amepitishwa kama mgombea pekee katika Jimbo hilo baada ya wagombea wa upinzani kukatwa kwasababu ya makosa yaliyobainika kwenye ujazaji wa fomu Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Morogoro mjini amewafutilia mbali wagombea wote wa vyama vya upinzani akiwemo Devotha Minja wa...
Back
Top Bottom