WINGER_TEREZA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 242
- 450
Habari,
Kuna clip moja nimeiona kwenye mtandao wa Instagram ikimuonesha mtu mmoja ambaye bila shaka alikuwa ni kiongozi wa tour ya jana ya WCB ya tumewasha na tigo waliofanya jijini Dododma akiomba radhi ya jambo linaloonesha sio la kiungwana na lisilokuwa na stahala lililofanya na "Msanii" Gigy Money.
Kwa kuwa sikupata "muda" wa kuangalia tamasha hilo nikajaribu kupitia comments za wadau labda ningeweza kujua nini 'kayatibwanga' huyo 'msaani' Gigy Money ila la hasha sikufanikiwa kupata hata comment iliyojibu swali ambalo hadi mda huu najiuliza Gigy kafanya nini huko Jijini Dodoma?.
Comments nyingi za kwanza nilizozisoma zilionesha wadau kutoridhishwa na kuwalaumu label ya WCB kuendelea kumpa shavu Gigy Money ili hali inasemekana 'alikwisha haribu' kwenye show ya Kahama kwa kuingia na 'chupi' stegini na wengi wanauliza kwanini anapewa hiyo nafasi ilihali kuna wasanii wa kali wengi kuliko yeye ambaye sio msanii.
Wanajukwaa, naombeni kujuzwa Gigy Money alifanya kituko gani kwenye show ya jana huko Jijini Dodoma?
Kuna clip moja nimeiona kwenye mtandao wa Instagram ikimuonesha mtu mmoja ambaye bila shaka alikuwa ni kiongozi wa tour ya jana ya WCB ya tumewasha na tigo waliofanya jijini Dododma akiomba radhi ya jambo linaloonesha sio la kiungwana na lisilokuwa na stahala lililofanya na "Msanii" Gigy Money.
Kwa kuwa sikupata "muda" wa kuangalia tamasha hilo nikajaribu kupitia comments za wadau labda ningeweza kujua nini 'kayatibwanga' huyo 'msaani' Gigy Money ila la hasha sikufanikiwa kupata hata comment iliyojibu swali ambalo hadi mda huu najiuliza Gigy kafanya nini huko Jijini Dodoma?.
Comments nyingi za kwanza nilizozisoma zilionesha wadau kutoridhishwa na kuwalaumu label ya WCB kuendelea kumpa shavu Gigy Money ili hali inasemekana 'alikwisha haribu' kwenye show ya Kahama kwa kuingia na 'chupi' stegini na wengi wanauliza kwanini anapewa hiyo nafasi ilihali kuna wasanii wa kali wengi kuliko yeye ambaye sio msanii.
Wanajukwaa, naombeni kujuzwa Gigy Money alifanya kituko gani kwenye show ya jana huko Jijini Dodoma?