Awiii Uwiii Awoo! ni vilio kila kona.
Viiana, wazee nao, alo salama hakuna,
Nchi ni maombolezo, mazikoni twapishana.
Tumwendee Mungu Baba, yeye ni mwenye rehema.
Awali tunakumbuka, virusi vilisheheni,
Pamoja tulianguka, tukaenda magotini,
Pasipo kuwa na shaka, pembezoni na mijini,
Mungu...