Kwa Kukengeuka na Kutukana simuungi mkono Nahodha wa Prisons, ila kwa tuhuma aliyoitoa dhidi ya Yanga namkubalia na Simba tumo pia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,554
108,896
Kuna Watu mmenishangaza kweli kweli kwa Hoja yenu kwamba inawezekana vipi Yanga SC kutaka Kuhonga Tsh Milioni 40 wakati hata Kombe lenyewe halina Kiasi kikubwa cha Pesa?

Kitu pekee ambacho wengi wenu ( hasa Wanafiki ambao ni wana Yanga SC ) ni kwamba tayari Yanga SC imeshajua kuwa katika Ligi Kuu ya VPL mbele ya Simba SC hawana chao tena.

Hivyo basi ili Uongozi wa Yanga SC na hasa hasa Wadhamini wao GSM kupitia Injinia Hersi ( ambaye aliwaaminisha wana Yanga ) kuwa iwe isiwe mwaka huu Yanga SC ni Bingwa wa VPL na isipokuwa basi aulizwe Yeye.

Katika hali ya Kutuliza Presha wanachokifanya sasa GSM kupitia Injinia Hersi ni kutumia Gharama yoyote ( hasa ya Rushwa ) ili angalau Yanga SC iweze kufika mbali katika Kombe la ASFC ( FA ) na ikiwezekana ichukue Ubingwa ili wawe na Kitu cha Kujitetea na Kutuliza Presha za Mashabiki wao ambao wameshakata tamaa sasa.

Na kingine kinachowatesa Yanga SC sasa na ndiyo maana hata wanahangaika Kuhonga hivi ni kwamba wameshajua kuwa Msimu ujao Tanzania inaingiza Timu Nne ( 4 ) hivyo kwa kutokutaka Aibu hiyo ya Kubebwa na Mafanikio ya Simba SC na Namungo FC wanahaha ( wanahangaika ) mno wabebe Kombe la ASFC ili wawe wamejibeba wenyewe Kimataifa na isiwe wamebebwa na Mtani wao wa Jadi Simba SC.

Nikiwa kama Mdau mkubwa tu wa Michezo ( hasa Soka la Tanzania ) sijakubaliana na Kauli ya Kihuni na isiyo ya Kiungwana na Uanamichezo iliyotolewa na Nahodha wa Prisons FC Benjamin Asukile na ningemshauri Yeye binafsi pamoja na Uongozi wa Prisons FC upesi sana utuombe Radhi ( Msamaha ) Sisi Wadau wa Michezo na hata Watanzania wote kwa Ujumla.

Kuhusu Tuhuma aliyoitoa ya Wao ( Wachezaji ) wa Prisons FC kutaka Kuhongwa na Yanga Tsh Milioni 40 hizo GENTAMYCINE nakubaliana nae tena kwa 100% kutokana na kwamba nipo katika Mpira wa Tanzania ( Bongo ) na Michezo hii ya Hatari nimeshawahi Kuishuhudia binafsi na hata baadhi ya Wachezaji Waandamizi wa Vilabu Vikubwa nchini ambao ni Marafiki zangu wameshawahi kuniambia hili.

Tatizo lenu wengi wenu hapa JamiiForums hamtunzi Kumbukumbu ila mwaka Jana nakumbuka GENTAMYCINE niliwahi Kuandika Uzi kuwa Mchezaji Swedi aliyekuwa akichezea Klabu yake ya Kagera Sugar ( Kocha akiwa Rafiki yangu Mecky Maxime ) iliyocheza na Yanga SC katika Ligi Kuu Kipindi cha Kwanza waliibania Yanga SC vilivyo.

Walipoenda Mapumziko waliambiwa na Mmoja wa Kiongozi wao kuwa Miamala yao imesoma tayari hivyo wakiingia wasibane ( wasikaze ) tena na kweli wao hawakufanya hivyo na kweli Yanga SC ikashinda Mechi hiyo.

Baada ya Mechi hiyo Kumalizika na Yanga SC kushinda Mchezaji Swedi alipowasha Simu yake ili aangalie Salio la Hela waliyoahidiwa na Yanga SC akakuta Yeye hajawekewa ndipo kwa Hasira Kesho yake akapanda Basi na kuja Dar es Salaam na hadi Kuamua kuachana pia na Soka la Tanzania.

Nina Mwamuzi Mmoja Rafiki yangu ( anatokea Jeshini ) Wiki Mbili tu zimepita aliwahi kuniambia kuwa amewasikia Waamuzi kadhaa wa Ligi Kuu wakisema kuwa TFF watawafungia sana tu ila Wao wakipewa Hongo ( Rushwa ) kutoka Azam, Simba na Yanga kuanzia Tsh Milioni 20 mpaka 30 ili wawabebe ( wawapendelee ) hawatoziacha kwani hata wao pia wana Shida na Familia zao pia.

Na mwisho naomba bila Unafiki katika hili GENTAMYCINE nisiiseme tu Yanga SC na niseme tu ukweli ( japo najua kuna Watu nitawakera kwakuwa ni Mwenzao ) kuwa hata Sisi Simba SC ( Timu yangu pendwa ) Michezo hii tunaifanya ( tunaicheza ) sana hivyo Simba na Yanga ni tatizo kubwa la Maendeleo ya Soka la Tanzania.

Na kama kuna Mtu ambaye nawaombeni mkipata muda nendeni mkamuulize juu ya Upangaji wa Matokeo na kusumbuliwa na Vilabu vya Azam, Simba na Yanga ni aliyekuwa Kocha wa Kagera Sugar ( zamani Mtibwa Sugar ) Kocha Mecky Maxime kwani kwa hili Yeye ni Mhanga sana.

Rushwa katika Soka la Tanzania ipo tu.
 
Team zetu kubwa Hazina hata maendeleo yeyote ukiachana na Azam fc ya juz tu hapa Simba na Yanga ina laana ya kiasili toka zaman hivyo kila mtu akiingia kwny uongoz anawaza jinsi gan ya kupiga pesa team zina miongo mingi tu toka zianzishwe lkn hazina hata viwanja wakati viingilio tu vingewezesha kujenga,,ni ngumu sana kupata maendeleo
 
Hawachukui hilo kombe, siku wakikutana na Simba ndio utakuwa mwisho wao.
Japo nami ni Simba SC Mwenzako Mkuu, ila hata Sisi Simba SC tumewahi kuwa na 'Uhuni' huu pia ( hasa Kipindi cha ) akina Kaburu na Aveva na hata pia miaka hii hi ya karibuni chini ya Mwekezaji huyu Wetu.

Sema tu leo limewakuta Watani zetu Yanga SC na wanahusishwa nalo ( na nawaomba Yanga SC wasilibishie ) kwani hata Wao huu 'Uhuni' wameufanya na wanaendelea pia Kuufanya sana tu.

Kikubwa tuwe na Mjadala mpana juu ya Kuumaliza huu Utamaduni wa 'Kihuni' unaofanywa na hizi Timu zetu Kubwa ( Kongwe ) nchini Simba SC na Yanga SC kwani hauna Afya katika Ustawi na Maendeleo ya Mpira wetu Tanzania.

Mwaka Jana EFM Radio walikuwa na 'Interview' yao na Mmoja wa Viongozi Waandamizi kabisa wa Azam FC Ndugu Popat ambapo aliulizwa kwanini Azam FC wana muda mrefu hawajachukua tena Ubingwa wa VPL jibu alilotoa ni kwamba aliambiwa na Mmoja wa Waamuzi kuwa kwa Ubahili Wao Ubingwa watausikia tu kwa Simba na Yanga kwakuwa Wao huwa wanawapa ( wanawahonga ) mno tu.
 
Kuna Watu mmenishangaza kweli kweli kwa Hoja yenu kwamba inawezekana vipi Yanga SC kutaka Kuhonga Tsh Milioni 40 wakati hata Kombe lenyewe halina Kiasi kikubwa cha Pesa?

Kitu pekee ambacho wengi wenu ( hasa Wanafiki ambao ni wana Yanga SC ) ni kwamba tayari Yanga SC imeshajua kuwa katika Ligi Kuu ya VPL mbele ya Simba SC hawana chao tena.

Hivyo basi ili Uongozi wa Yanga SC na hasa hasa Wadhamini wao GSM kupitia Injinia Hersi ( ambaye aliwaaminisha wana Yanga ) kuwa iwe isiwe mwaka huu Yanga SC ni Bingwa wa VPL na isipokuwa basi aulizwe Yeye.

Katika hali ya Kutuliza Presha wanachokifanya sasa GSM kupitia Injinia Hersi ni kutumia Gharama yoyote ( hasa ya Rushwa ) ili angalau Yanga SC iweze kufika mbali katika Kombe la ASFC ( FA ) na ikiwezekana ichukue Ubingwa ili wawe na Kitu cha Kujitetea na Kutuliza Presha za Mashabiki wao ambao wameshakata tamaa sasa.

Na kingine kinachowatesa Yanga SC sasa na ndiyo maana hata wanahangaika Kuhonga hivi ni kwamba wameshajua kuwa Msimu ujao Tanzania inaingiza Timu Nne ( 4 ) hivyo kwa kutokutaka Aibu hiyo ya Kubebwa na Mafanikio ya Simba SC na Namungo FC wanahaha ( wanahangaika ) mno wabebe Kombe la ASFC ili wawe wamejibeba wenyewe Kimataifa na isiwe wamebebwa na Mtani wao wa Jadi Simba SC.

Nikiwa kama Mdau mkubwa tu wa Michezo ( hasa Soka la Tanzania ) sijakubaliana na Kauli ya Kihuni na isiyo ya Kiungwana na Uanamichezo iliyotolewa na Nahodha wa Prisons FC Benjamin Asukile na ningemshauri Yeye binafsi pamoja na Uongozi wa Prisons FC upesi sana utuombe Radhi ( Msamaha ) Sisi Wadau wa Michezo na hata Watanzania wote kwa Ujumla.

Kuhusu Tuhuma aliyoitoa ya Wao ( Wachezaji ) wa Prisons FC kutaka Kuhongwa na Yanga Tsh Milioni 40 hizo GENTAMYCINE nakubaliana nae tena kwa 100% kutokana na kwamba nipo katika Mpira wa Tanzania ( Bongo ) na Michezo hii ya Hatari nimeshawahi Kuishuhudia binafsi na hata baadhi ya Wachezaji Waandamizi wa Vilabu Vikubwa nchini ambao ni Marafiki zangu wameshawahi kuniambia hili.

Tatizo lenu wengi wenu hapa JamiiForums hamtunzi Kumbukumbu ila mwaka Jana nakumbuka GENTAMYCINE niliwahi Kuandika Uzi kuwa Mchezaji Swedi aliyekuwa akichezea Klabu yake ya Kagera Sugar ( Kocha akiwa Rafiki yangu Mecky Maxime ) iliyocheza na Yanga SC katika Ligi Kuu Kipindi cha Kwanza waliibania Yanga SC vilivyo.

Walipoenda Mapumziko waliambiwa na Mmoja wa Kiongozi wao kuwa Miamala yao imesoma tayari hivyo wakiingia wasibane ( wasikaze ) tena na kweli wao hawakufanya hivyo na kweli Yanga SC ikashinda Mechi hiyo.

Baada ya Mechi hiyo Kumalizika na Yanga SC kushinda Mchezaji Swedi alipowasha Simu yake ili aangalie Salio la Hela waliyoahidiwa na Yanga SC akakuta Yeye hajawekewa ndipo kwa Hasira Kesho yake akapanda Basi na kuja Dar es Salaam na hadi Kuamua kuachana pia na Soka la Tanzania.

Nina Mwamuzi Mmoja Rafiki yangu ( anatokea Jeshini ) Wiki Mbili tu zimepita aliwahi kuniambia kuwa amewasikia Waamuzi kadhaa wa Ligi Kuu wakisema kuwa TFF watawafungia sana tu ila Wao wakipewa Hongo ( Rushwa ) kutoka Azam, Simba na Yanga kuanzia Tsh Milioni 20 mpaka 30 ili wawabebe ( wawapendelee ) hawatoziacha kwani hata wao pia wana Shida na Familia zao pia.

Na mwisho naomba bila Unafiki katika hili GENTAMYCINE nisiiseme tu Yanga SC na niseme tu ukweli ( japo najua kuna Watu nitawakera kwakuwa ni Mwenzao ) kuwa hata Sisi Simba SC ( Timu yangu pendwa ) Michezo hii tunaifanya ( tunaicheza ) sana hivyo Simba na Yanga ni tatizo kubwa la Maendeleo ya Soka la Tanzania.

Na kama kuna Mtu ambaye nawaombeni mkipata muda nendeni mkamuulize juu ya Upangaji wa Matokeo na kusumbuliwa na Vilabu vya Azam, Simba na Yanga ni aliyekuwa Kocha wa Kagera Sugar ( zamani Mtibwa Sugar ) Kocha Mecky Maxime kwani kwa hili Yeye ni Mhanga sana.

Rushwa katika Soka la Tanzania ipo tu.
Attach video
 
Attach video
Nendeni katika yangawhatssap page huko na katika pages zingine za Yanga SC mtaliona.

au ingieni Google litafuteni hilo Gazeti lao linaitwa YANGA ambalo ni Mali ya Yanga SC Toleo la Leo ( Jumamosi ) hii mtakutana na Kichwa hicho cha Habari.

Na nilidhani kwa Ukongwe wako na hasa kuwa ni Mtu wa Mtandao wala usingenitaka niliweke hapa ndipo Uamini ( Uniamini ) bali ungeenda tu moja kwa moja katika hilo Gazeti kwa Kutumia Mtandao ( Google ) na Ujiridhishe nalo.
 
Nendeni katika yangawhatssap page huko na katika pages zingine za Yanga SC mtaliona.

au ingieni Google litafuteni hilo Gazeti lao linaitwa YANGA ambalo ni Mali ya Yanga SC Toleo la Leo ( Jumamosi ) hii mtakutana na Kichwa hicho cha Habari.

Na nilidhani kwa Ukongwe wako na hasa kuwa ni Mtu wa Mtandao wala usingenitaka niliweke hapa ndipo Uamini ( Uniamini ) bali ungeenda tu moja kwa moja katika hilo Gazeti kwa Kutumia Mtandao ( Google ) na Ujiridhishe nalo.
Umeongelea captain kutukana, je katukana gazetini?
 
Yanga kawabeba sana refa mpaka Prison wakachukia.Kumbuka penati ya wazi walionyimwa refa anadai haoni.
Nakubaliana na Wewe na hili pia Mkuu ila nataka tukemee hii tabia mbaya ( Utamaduni wa Kihuni ) ambao hata Sisi Simba SC pia tunao na Mimi kama GENTAMYCINE ( mwana Simba SC Mwenzako ) nalijua na hata nimeshawahi Kulishuhudia pia.

Tuache Unafiki wa Kuisema ( Kuikandamiza ) tu Yanga SC ila nasi pia tujikosoe kwa Afya ya Mpira wa Miguu wa Tanzania. Tena huenda Uchunguzi ukifanywa zaidi Sisi Simba SC tutakuja Kuumbuka zaidi.

Rejea tukio zima la Mchezaji Ulimboka Mwakingwe Simba SC ilipocheza na Mtibwa Sugar FC. Isingekuwa Mzee Kova ( RPC Mstaafu Dar es Salaam na mwana Simba SC Mwenzetu ) huyu Ulimboka alikuwa anaenda 'Kuozea' Jela.

Rejea Kauli ya zamani ya Kipa Shaaban Kado wa Mtibwa Sugar FC na hii ya Ramadhan Kabwili ya miaka ya karibuni wote wakiituhumu Simba SC kwa 'Uhuni' huu ambao leo 'tunawacheka' nao Watani zetu Wakubwa Yanga SC.
 
Nakubaliana na Wewe na hili pia Mkuu ila nataka tukemee hii tabia mbaya ( Utamaduni wa Kihuni ) ambao hata Sisi Simba SC pia tunao na Mimi kama GENTAMYCINE ( mwana Simba SC Mwenzako ) nalijua na hata nimeshawahi Kulishuhudia pia.

Tuache Unafiki wa Kuisema ( Kuikandamiza ) tu Yanga SC ila nasi pia tujikosoe kwa Afya ya Mpira wa Miguu wa Tanzania. Tena huenda Uchunguzi ukifanywa zaidi Sisi Simba SC tutakuja Kuumbuka zaidi.

Rejea tukio zima la Mchezaji Ulimboka Mwakingwe Simba SC ilipocheza na Mtibwa Sugar FC. Isingekuwa Mzee Kova ( RPC Mstaafu Dar es Salaam na mwana Simba SC Mwenzetu ) huyu Ulimboka alikuwa anaenda 'Kuozea' Jela.

Rejea Kauli ya zamani ya Kipa Shaaban Kado wa Mtibwa Sugar FC na hii ya Ramadhan Kabwili ya miaka ya karibuni wote wakiituhumu Simba SC kwa 'Uhuni' huu ambao leo 'tunawacheka' nao Watani zetu Wakubwa Yanga SC.
Asante sana Mkuu GENTAMYCINE kwa ushauri mzuri.
 
Mada inahusu Yanga.. Lakini mtoa mada kila akijibu maswali kuhusu Yanga na hizo tuhuma zao lazima asema ".. Hata sisi Simba..",
 
Fanyeni uwekezaji wa kutosha nadhan izo tuhuma ztapungua.....hata ulaya mkuu izo Mambo zipo kama ulikuw hujui sema c kwa kiwango icho
 
Kuna Watu mmenishangaza kweli kweli kwa Hoja yenu kwamba inawezekana vipi Yanga SC kutaka Kuhonga Tsh Milioni 40 wakati hata Kombe lenyewe halina Kiasi kikubwa cha Pesa?

Kitu pekee ambacho wengi wenu ( hasa Wanafiki ambao ni wana Yanga SC ) ni kwamba tayari Yanga SC imeshajua kuwa katika Ligi Kuu ya VPL mbele ya Simba SC hawana chao tena.

Hivyo basi ili Uongozi wa Yanga SC na hasa hasa Wadhamini wao GSM kupitia Injinia Hersi ( ambaye aliwaaminisha wana Yanga ) kuwa iwe isiwe mwaka huu Yanga SC ni Bingwa wa VPL na isipokuwa basi aulizwe Yeye.

Katika hali ya Kutuliza Presha wanachokifanya sasa GSM kupitia Injinia Hersi ni kutumia Gharama yoyote ( hasa ya Rushwa ) ili angalau Yanga SC iweze kufika mbali katika Kombe la ASFC ( FA ) na ikiwezekana ichukue Ubingwa ili wawe na Kitu cha Kujitetea na Kutuliza Presha za Mashabiki wao ambao wameshakata tamaa sasa.

Na kingine kinachowatesa Yanga SC sasa na ndiyo maana hata wanahangaika Kuhonga hivi ni kwamba wameshajua kuwa Msimu ujao Tanzania inaingiza Timu Nne ( 4 ) hivyo kwa kutokutaka Aibu hiyo ya Kubebwa na Mafanikio ya Simba SC na Namungo FC wanahaha ( wanahangaika ) mno wabebe Kombe la ASFC ili wawe wamejibeba wenyewe Kimataifa na isiwe wamebebwa na Mtani wao wa Jadi Simba SC.

Nikiwa kama Mdau mkubwa tu wa Michezo ( hasa Soka la Tanzania ) sijakubaliana na Kauli ya Kihuni na isiyo ya Kiungwana na Uanamichezo iliyotolewa na Nahodha wa Prisons FC Benjamin Asukile na ningemshauri Yeye binafsi pamoja na Uongozi wa Prisons FC upesi sana utuombe Radhi ( Msamaha ) Sisi Wadau wa Michezo na hata Watanzania wote kwa Ujumla.

Kuhusu Tuhuma aliyoitoa ya Wao ( Wachezaji ) wa Prisons FC kutaka Kuhongwa na Yanga Tsh Milioni 40 hizo GENTAMYCINE nakubaliana nae tena kwa 100% kutokana na kwamba nipo katika Mpira wa Tanzania ( Bongo ) na Michezo hii ya Hatari nimeshawahi Kuishuhudia binafsi na hata baadhi ya Wachezaji Waandamizi wa Vilabu Vikubwa nchini ambao ni Marafiki zangu wameshawahi kuniambia hili.

Tatizo lenu wengi wenu hapa JamiiForums hamtunzi Kumbukumbu ila mwaka Jana nakumbuka GENTAMYCINE niliwahi Kuandika Uzi kuwa Mchezaji Swedi aliyekuwa akichezea Klabu yake ya Kagera Sugar ( Kocha akiwa Rafiki yangu Mecky Maxime ) iliyocheza na Yanga SC katika Ligi Kuu Kipindi cha Kwanza waliibania Yanga SC vilivyo.

Walipoenda Mapumziko waliambiwa na Mmoja wa Kiongozi wao kuwa Miamala yao imesoma tayari hivyo wakiingia wasibane ( wasikaze ) tena na kweli wao hawakufanya hivyo na kweli Yanga SC ikashinda Mechi hiyo.

Baada ya Mechi hiyo Kumalizika na Yanga SC kushinda Mchezaji Swedi alipowasha Simu yake ili aangalie Salio la Hela waliyoahidiwa na Yanga SC akakuta Yeye hajawekewa ndipo kwa Hasira Kesho yake akapanda Basi na kuja Dar es Salaam na hadi Kuamua kuachana pia na Soka la Tanzania.

Nina Mwamuzi Mmoja Rafiki yangu ( anatokea Jeshini ) Wiki Mbili tu zimepita aliwahi kuniambia kuwa amewasikia Waamuzi kadhaa wa Ligi Kuu wakisema kuwa TFF watawafungia sana tu ila Wao wakipewa Hongo ( Rushwa ) kutoka Azam, Simba na Yanga kuanzia Tsh Milioni 20 mpaka 30 ili wawabebe ( wawapendelee ) hawatoziacha kwani hata wao pia wana Shida na Familia zao pia.

Na mwisho naomba bila Unafiki katika hili GENTAMYCINE nisiiseme tu Yanga SC na niseme tu ukweli ( japo najua kuna Watu nitawakera kwakuwa ni Mwenzao ) kuwa hata Sisi Simba SC ( Timu yangu pendwa ) Michezo hii tunaifanya ( tunaicheza ) sana hivyo Simba na Yanga ni tatizo kubwa la Maendeleo ya Soka la Tanzania.

Na kama kuna Mtu ambaye nawaombeni mkipata muda nendeni mkamuulize juu ya Upangaji wa Matokeo na kusumbuliwa na Vilabu vya Azam, Simba na Yanga ni aliyekuwa Kocha wa Kagera Sugar ( zamani Mtibwa Sugar ) Kocha Mecky Maxime kwani kwa hili Yeye ni Mhanga sana.

Rushwa katika Soka la Tanzania ipo tu.
Kuna ambao hawataiona hoja yako iliposimama hasa kwa vile baadhi ya aya umeingiza utani wa jadi. Lakini hoja zako zote mbili zina mashiko.
1.Binafsi sikutegemea nahodha wa timu inayoahiriki Ligi kuu na FA kuwa "mshamba" kiasi kile. Timu inayotegemea kuwakilisha Taifa kimataifa inatakiwa kuongozwa na mtu anayejitambua na mwenye uwezo wa "kuchagua maneno". Nahodha anaongea kama shabiki wa Kijiwe Nongwa?
2.Tatizo la rushwa kwenye soka ni kubwa na si Tanzania tu bali ni Dunia nzima japo sababu zinatofautiana kulingana na maeneo ikiwemo hii ya Njaa za waamuzi, njaa za wachezaji, Kamali, status za matajiri nk. Mbali ya shughuli nyingine binafsi Mimi rafiki yako ni mwamuzi wa soka professionally. Najua ukweli wa unachoongea, siongezi kitu.
 
yaani mtu anatoa m500 kumleta miquisone wewe umsajili mtu kutoka abajalo uwe bingwa
hebu heshimuni uwekezaji wa mo
Acha Unafiki na Wana Simba SC tuacheni Unafiki. Tena Leo sasa nawapeni 'Makavu' japo ni wana Simba SC Wenzangu na mkinichukia nichukieni tu ila ukweli nawapeni.

Pamoja na huu Uwekezaji mkubwa unaofanywa na Mwekezaji Mohammed Dewji 'Mo' lakini bado nasi Simba SC 'Uhuni' huu tunaufanya na kwa sasa 'tunahonga' sana Marefa tofauti na huko nyuma tulikuwa 'tukipenyeza' Pesa kwa Wachezaji Waandamizi wa Timu Pinzani.

Kuna Mechi Kubwa Mbili za Kimataifa ( CL ) Moja ya mwaka Jana iliyokuwa Muhimu Kwetu na nyingine ya mwaka huu huu iliyokuwa Muhimu Kwetu Simba SC 'tulimalizana' mapema tu na Mwamuzi.

Hivi mnajua ni kwanini Simba SC hadi leo inamuheshimu na Kumshukuru mno aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Makonda? Mnajua alitusaidia katika lipi na pia alituokoa katika Kashfa Kubwa ambayo ingetugharimu Simba SC na hata Soka la Tanzania?

Wapuuzi na Wanafiki wakubwa nyie tena msinitibue na nikayaanika mengine Makubwa hapa yaihusuyo Timu yangu pendwa ya Simba SC na mkaficha Nyuso zenu kwa Aibu.

Mlivyo hamna Akili na hata Ujengaji wenu wa Hoja ni wa Kipumbavu mnasema kwakuwa Simba SC sasa ina Pesa na iko chini ya Mwekezaji Mo Dewji haiwezi kujihusisha na 'Match Fixing' yoyote ile.

Hivi Simba SC ina 'Utajiri' kama wa Juventus FC ya Italia? Mbona hao ( hawa ) Juventus FC pamoja na 'Utajiri' wao ila walikumbwa na 'Kashfa' ya Upangaji Matokeo ( Match Fixing' na wakakumbwa na Adhabu hadi ya Kushushwa Daraja huko nchini Italia?

Tunaacha kuwa na Mjadala mpana na wenye Afya juu ya hii tabia mbaya kwa hizi Timu zetu Kubwa Azam, Simba na Yanga Sasa tunaanza Kujadili Kiunazi ( Kimuhemko ) wa Kitimu zaidi.

Namalizia kwa Kukuambia tena nikiwa na uhakika nalo 100% hakuna Kocha hapa nchini Tanzania ambaye alikuwa akipata Usumbufu wa kutaka 'Kuhongwa' na Simba SC kama aliyekuwa Kocha wa Kagera Sugar FC ( zamani akiwa Mtibwa Sugar FC ) kama Mecky Maxime mpaka miaka hii ya karibuni ambapo Simba SC ipo chini ya Mwekezaji wetu huyu Mo Dewji.

Leo GENTAMYCINE nauweka 'Unazi' wangu wa Usimba pembeni na nasema Ukweli bila Unafiki, Upendeleo wala Hofu kuwa hata Sisi Simba SC 'tunahonga' mno tu hivyo hapa hapa tujadili ni jinsi gani 'tutaikomesha' hii tabia ili Soka letu lipige hatua na huko mbeleni hii tabia mbaya isije Kutugharimu kama Klabu na hata Taifa letu.
 
Back
Top Bottom