Siungi mkono CHADEMA kuingilia mjadala wa kudai Katiba Mpya

DENLSON

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
944
1,253
Katiba mpya imekuwa ni mjadala baada ya makundi mbali mbali ya watu yakitaka ule mchakato uliositishwa wa mabadiliko ya katiba uanze upya kwa kuanzia kwenye rasimu ya Jaji Warioba.

Mimi ni mmoja ya watanzania wanaotamani kuona kama taifa tunapata Katiba mpya inayotokana na maoni ya Watanzania (wenye nchi) yenye kukidhi matarajio, malengo na kasi ya maendeleo tuyatakayo.

Makundi mengi yamejitokeza kujadili na kusisitiza mahitaji ya katiba mpya ikiwemo vyama vya siasa. Hoja yangu ni juu ya CHADEMA kujiinua katika hili swala la kudai Katiba mpya na hizi ni sababu zangu kwanini siungi mkono CHADEMA kuinjinia mjadala wa katiba mpya.

KATIBA NI YA WANANCHI SI YA VYAMA VYA SIASA.
CHADEMA ni chama cha kisiasa na kwasaabu hiyo hakina sifa za kudi katiba mpya kwasababu kufanya hivyo kutaifanya katiba hiyo ionekane kuwa ni takwa la kisiasa na hivyo kuwakosesha wananchi ambao ndio hasa walengwa wa katiba kukosa nguvu kwenye mjadala mzima na kumwezwa na wanasiasa hasa wa upinzani.

Kama CHADEMA wanaamini kwamba ni wajibu wao na wana haki ya kudai katiba mpya basi CCM wako sahii na waha haki na wajibu wa kukataa Katiba mpya. maana wote ni wanasiasa na wana haki sawa linapokuja suala la kutoa maoni.

MADAI YAO HAYATAZINGATIA WANANCHI BALI WANASIASA.
Kwa miaka 5 mfululizo CHADEMA na vyama vingine vya siasa vya upinzani vimepitia kipindi kigumu kuwahi kushuhudiwa kwenye historia ya vyama vingi Tanzania, kwahiyo basi kama CHADEMA ndio watakaoinjinia huu mjadala wa Katiba mpya vitu pekee ambacho vitakuwa vipaumbele kwenye mijadala yao itakuwa ni siasa kama tume huru ya uchaguzi, uhuru wa kufanya mikutano, uhuru wa kutoa maoni, haki za kisiasa, haki za watu kukusanyika ndani ya nchi na hivyo kuondoa dhana nzima ya katiba ya wananchi ambayo intakaiwa kugusa makundi yote kwenye jamii.

KUTAWATENGA WASIO NA VYAMA AU WASIOPENDA SIASA YA UPINZANI.
Kuna kndi kubwa la watanzania amabao hawapendezwi na siasa au siasa za upinzani, kama chama cha siasa ndio kitainjinia mjadala wa katiba hii sehemu kubwa ya watu itaachwa katika hili la katiba na kufanya mjadala uonekane ni kwa maslahi ya kisiasa pekee.

Nashauri CHADEMA na vyama vingine vya siasa wasiinjinie mchakato wa kutaka katia mpya na kama wanashiriki washiriki kwa kualikwa tena kwa kuzingatia kuwa CCM nao wapo kwenye huo mjadala ili kuleta balansi ya hoja kwenye mijadala.
 
Chadema si chama cha siasa cha Kenya au Uganda, wanachama wa Chadema ni raia na ni walipa kodi halali. Chadema kama chama ni msemaji wa wanachama wake.

Kuna ubaya gani kuongelea tume huru ya uchaguzi? Isingekua na kasoro wala isingeongelewa. Huwezi kuwapangia hoja za kuongelea bali kuzitafutia suluhisho hoja za Chadema ndiyo suluhu ya matatizo.
 
Katiba mpya imekuwa ni mjadala baada ya makundi mbali mbali ya watu yakitaka ule mchakato uliositishwa wa mabadiliko ya katiba uanze upya kwa kuanzia kwenye rasimu ya Jaji Warioba. Mimi ni mmoja ya watanzania wanaotamani kuona kama taifa tunapata katiba mpya inayotokana na maoni ya watanzania (wenye nchi) yenye kukidhi matarajio, malengo na kasi ya maendeleo tuyatakayo.

Makundi mengi yamejitokeza kujadili na kusisitiza mahitaji ya katiba mpya ikiwemo vyama vya siasa. Hoja yangu ni juu ya CHADEMA kujiinua katika hili swala la kudai katiba mpya na hizi ni sababu zangu kwanini siungi mkono CHADEMA kuinjinia mjadala wa katiba mpya.

KATIBA NI YA WANANCHI SI YA VYAMA VYA SIASA. CHADEMA ni chama cha kisiasa na kwasaabu hiyo hakina sifa za kudi katiba mpya kwasababu kufanya hivyo kutaifanya katiba hiyo ionekane kuwa ni takwa la kisiasa na hivyo kuwakosesha wananchi ambao ndio hasa walengwa wa katiba kukosa nguvu kwenye mjadala mzima na kumwezwa na wanasiasa hasa wa upinzani. Kama CHADEMA wanaamini kwamba ni wajibu wao na wana haki ya kudai katiba mpya basi CCM wako sahii na waha haki na wajibu wa kukataa Katiba mpya. maana wote ni wanasiasa na wana haki sawa linapokuja suala la kutoa maoni.

MADAI YAO HAYATAZINGATIA WANANCHI BALI WANASIASA. Kwa miaka 5 mfululizo CHADEMA na vyama vingine vya siasa vya upinzani vimepitia kipindi kigumu kuwahi kushuhudiwa kwenye historia ya vyama vingi Tanzania, kwahiyo basi kama CHADEMA ndio watakao injinia huu mjadala wa katiba mpya vitu pekee ambacho vitakuwa vipaumbele kwenye mijadala yao itakuwa ni siasa kama tume huru ya uchaguzi, uhuru wa kufanya mikutano, uhuru wa kutoa maoni, haki za kisiasa, haki za watu kukusanyika ndani ya nchi na hivyo kuondoa dhana nzima ya katiba ya wananchi ambayo intakaiwa kugusa makundi yote kwenye jamii.

KUTAWATENGA WASIO NA VYAMA AU WASIOPENDA SIASA YA UPINZANI.Kuna kndi kubwa la watanzania amabao hawapendezwi na siasa au siasa za upinzani, kama chama cha siasa ndio kitainjinia mjadala wa katiba hii sehemu kubwa ya watu itaachwa katika hili la katiba na kufanya mjadala uonekane ni kwa maslahi ya kisiasa pekee.

Nashauri CHADEMA na vyama vingine vya siasa wasiinjinie mchakato wa kutaka katia mpya na kama wanashiriki washiriki kwa kualikwa tena kwa kuzingatia kuwa CCM nao wapo kwenye huo mjadala ili kuleta balansi ya hoja kwenye mijadala

Kwa hiyo cdm wakae wakisubiri wakulima na wafanyakazi wadai katiba mpya, wakati wao wenyewe wameshindwa kudai hata madai yao ya msingi? Cdm wanadai haki yao ya kupata katiba mpya, kama nyie wengine bado mmelala hilo sio tatizo la cdm. Ni aidha mjiunge na cdm sasa kudai hiyo katiba, au msubiri cdm waipate hiyo mpya kisha nyie wananchi mje mdai yenu.
 
Wasio a vyama vya siasa watawakilishwa na makundi mengine mfano viongozi wa dini. Kama mliweza kuwachagulia wabunge na madiwani basi hata hili mtalipatia suluhu.
 
Katiba mpya imekuwa ni mjadala baada ya makundi mbali mbali ya watu yakitaka ule mchakato uliositishwa wa mabadiliko ya katiba uanze upya kwa kuanzia kwenye rasimu ya Jaji Warioba. Mimi ni mmoja ya watanzania wanaotamani kuona kama taifa tunapata katiba mpya inayotokana na maoni ya watanzania (wenye nchi) yenye kukidhi matarajio, malengo na kasi ya maendeleo tuyatakayo.

Makundi mengi yamejitokeza kujadili na kusisitiza mahitaji ya katiba mpya ikiwemo vyama vya siasa. Hoja yangu ni juu ya CHADEMA kujiinua katika hili swala la kudai katiba mpya na hizi ni sababu zangu kwanini siungi mkono CHADEMA kuinjinia mjadala wa katiba mpya.

KATIBA NI YA WANANCHI SI YA VYAMA VYA SIASA. CHADEMA ni chama cha kisiasa na kwasaabu hiyo hakina sifa za kudi katiba mpya kwasababu kufanya hivyo kutaifanya katiba hiyo ionekane kuwa ni takwa la kisiasa na hivyo kuwakosesha wananchi ambao ndio hasa walengwa wa katiba kukosa nguvu kwenye mjadala mzima na kumwezwa na wanasiasa hasa wa upinzani. Kama CHADEMA wanaamini kwamba ni wajibu wao na wana haki ya kudai katiba mpya basi CCM wako sahii na waha haki na wajibu wa kukataa Katiba mpya. maana wote ni wanasiasa na wana haki sawa linapokuja suala la kutoa maoni.

MADAI YAO HAYATAZINGATIA WANANCHI BALI WANASIASA. Kwa miaka 5 mfululizo CHADEMA na vyama vingine vya siasa vya upinzani vimepitia kipindi kigumu kuwahi kushuhudiwa kwenye historia ya vyama vingi Tanzania, kwahiyo basi kama CHADEMA ndio watakao injinia huu mjadala wa katiba mpya vitu pekee ambacho vitakuwa vipaumbele kwenye mijadala yao itakuwa ni siasa kama tume huru ya uchaguzi, uhuru wa kufanya mikutano, uhuru wa kutoa maoni, haki za kisiasa, haki za watu kukusanyika ndani ya nchi na hivyo kuondoa dhana nzima ya katiba ya wananchi ambayo intakaiwa kugusa makundi yote kwenye jamii.

KUTAWATENGA WASIO NA VYAMA AU WASIOPENDA SIASA YA UPINZANI.Kuna kndi kubwa la watanzania amabao hawapendezwi na siasa au siasa za upinzani, kama chama cha siasa ndio kitainjinia mjadala wa katiba hii sehemu kubwa ya watu itaachwa katika hili la katiba na kufanya mjadala uonekane ni kwa maslahi ya kisiasa pekee.

Nashauri CHADEMA na vyama vingine vya siasa wasiinjinie mchakato wa kutaka katia mpya na kama wanashiriki washiriki kwa kualikwa tena kwa kuzingatia kuwa CCM nao wapo kwenye huo mjadala ili kuleta balansi ya hoja kwenye mijadala
Hao Chadema au makundi yoyote mengine kusukuma mjadala kuhusu katiba na mustakabali wake, kwani imekuwa dhambi na wanakuwa wamekuwa si watz...au sasa wanakuwa labda ni wachina au wakenya ndugu yangu...... kaazi kwelikweli.
 
Katiba mpya imekuwa ni mjadala baada ya makundi mbali mbali ya watu yakitaka ule mchakato uliositishwa wa mabadiliko ya katiba uanze upya kwa kuanzia kwenye rasimu ya Jaji Warioba. Mimi ni mmoja ya watanzania wanaotamani kuona kama taifa tunapata katiba mpya inayotokana na maoni ya watanzania (wenye nchi) yenye kukidhi matarajio, malengo na kasi ya maendeleo tuyatakayo.

Makundi mengi yamejitokeza kujadili na kusisitiza mahitaji ya katiba mpya ikiwemo vyama vya siasa. Hoja yangu ni juu ya CHADEMA kujiinua katika hili swala la kudai katiba mpya na hizi ni sababu zangu kwanini siungi mkono CHADEMA kuinjinia mjadala wa katiba mpya.

KATIBA NI YA WANANCHI SI YA VYAMA VYA SIASA. CHADEMA ni chama cha kisiasa na kwasaabu hiyo hakina sifa za kudi katiba mpya kwasababu kufanya hivyo kutaifanya katiba hiyo ionekane kuwa ni takwa la kisiasa na hivyo kuwakosesha wananchi ambao ndio hasa walengwa wa katiba kukosa nguvu kwenye mjadala mzima na kumwezwa na wanasiasa hasa wa upinzani. Kama CHADEMA wanaamini kwamba ni wajibu wao na wana haki ya kudai katiba mpya basi CCM wako sahii na waha haki na wajibu wa kukataa Katiba mpya. maana wote ni wanasiasa na wana haki sawa linapokuja suala la kutoa maoni.

MADAI YAO HAYATAZINGATIA WANANCHI BALI WANASIASA. Kwa miaka 5 mfululizo CHADEMA na vyama vingine vya siasa vya upinzani vimepitia kipindi kigumu kuwahi kushuhudiwa kwenye historia ya vyama vingi Tanzania, kwahiyo basi kama CHADEMA ndio watakao injinia huu mjadala wa katiba mpya vitu pekee ambacho vitakuwa vipaumbele kwenye mijadala yao itakuwa ni siasa kama tume huru ya uchaguzi, uhuru wa kufanya mikutano, uhuru wa kutoa maoni, haki za kisiasa, haki za watu kukusanyika ndani ya nchi na hivyo kuondoa dhana nzima ya katiba ya wananchi ambayo intakaiwa kugusa makundi yote kwenye jamii.

KUTAWATENGA WASIO NA VYAMA AU WASIOPENDA SIASA YA UPINZANI.Kuna kndi kubwa la watanzania amabao hawapendezwi na siasa au siasa za upinzani, kama chama cha siasa ndio kitainjinia mjadala wa katiba hii sehemu kubwa ya watu itaachwa katika hili la katiba na kufanya mjadala uonekane ni kwa maslahi ya kisiasa pekee.

Nashauri CHADEMA na vyama vingine vya siasa wasiinjinie mchakato wa kutaka katia mpya na kama wanashiriki washiriki kwa kualikwa tena kwa kuzingatia kuwa CCM nao wapo kwenye huo mjadala ili kuleta balansi ya hoja kwenye mijadala

kama kuna mtu amemwelewa huyu mtu naomba summary bandugu
 
Katiba mpya inapotungwa kunakuwepo na uwakilishi wa makundi yote sio chadema peke yao. hivyo hoja ya kwamba eti kwa vile chadema wanashinikiza mchakato wa katiba mpya basi hiyo katiba itahusu mambo ya kisiasa tu hayo ni mawazo potofu.

Chama cha siasa kina haki ya kudai katiba mpya kwasababu ni kati ya kundi ambalo linaongozwa na katiba iliyopo. kumbuka linapokuja suala la uchaguzi vyama vya siasa ndio vinahusika hivyo kama kuna mapungufu kwenye katiba iliyopo basi waasilika juu ya hilo ni wao.

Kila kundi linahaki ya kuazisha mchakato wa katiba au mabadiliko ya sheria iliyopo kwenye katiba pale linapohisi katiba iliyopo inamapungufu upande wao.

Katiba iliyopo ilitungwa kipindi cha mfumo wa chama kimoja hivyo inakipa chama tawala nguvu kubwa kuliko vyama vingine. Hivyo usidhani kama kuna siku CCM wanaweza kuazisha mjadala wa katiba mpya wakati katiba iliyopo inawabeba wao.
 
"Rasimu ya katiba ya Warioba ilikuwa na mambo yafuatayo;

•Mambo ya Muungano 7

•Idadi ya Serikali 3

•Mawaziri wasiwe Wabunge

•Mgombea binafsi Rukhsa

•Wabunge wa Muungano wawe 75 tu.

•Wananchi Waruhusiwe kuondoa Mbunge Mvivu."

CCM hawawezi ipenda hii kwasababu wanaona ina wapunguzia Ulaji....
 
Katiba mpya imekuwa ni mjadala baada ya makundi mbali mbali ya watu yakitaka ule mchakato uliositishwa wa mabadiliko ya katiba uanze upya kwa kuanzia kwenye rasimu ya Jaji Warioba. Mimi ni mmoja ya watanzania wanaotamani kuona kama taifa tunapata katiba mpya inayotokana na maoni ya watanzania (wenye nchi) yenye kukidhi matarajio, malengo na kasi ya maendeleo tuyatakayo.

Makundi mengi yamejitokeza kujadili na kusisitiza mahitaji ya katiba mpya ikiwemo vyama vya siasa. Hoja yangu ni juu ya CHADEMA kujiinua katika hili swala la kudai katiba mpya na hizi ni sababu zangu kwanini siungi mkono CHADEMA kuinjinia mjadala wa katiba mpya.

KATIBA NI YA WANANCHI SI YA VYAMA VYA SIASA. CHADEMA ni chama cha kisiasa na kwasaabu hiyo hakina sifa za kudi katiba mpya kwasababu kufanya hivyo kutaifanya katiba hiyo ionekane kuwa ni takwa la kisiasa na hivyo kuwakosesha wananchi ambao ndio hasa walengwa wa katiba kukosa nguvu kwenye mjadala mzima na kumwezwa na wanasiasa hasa wa upinzani. Kama CHADEMA wanaamini kwamba ni wajibu wao na wana haki ya kudai katiba mpya basi CCM wako sahii na waha haki na wajibu wa kukataa Katiba mpya. maana wote ni wanasiasa na wana haki sawa linapokuja suala la kutoa maoni.

MADAI YAO HAYATAZINGATIA WANANCHI BALI WANASIASA. Kwa miaka 5 mfululizo CHADEMA na vyama vingine vya siasa vya upinzani vimepitia kipindi kigumu kuwahi kushuhudiwa kwenye historia ya vyama vingi Tanzania, kwahiyo basi kama CHADEMA ndio watakao injinia huu mjadala wa katiba mpya vitu pekee ambacho vitakuwa vipaumbele kwenye mijadala yao itakuwa ni siasa kama tume huru ya uchaguzi, uhuru wa kufanya mikutano, uhuru wa kutoa maoni, haki za kisiasa, haki za watu kukusanyika ndani ya nchi na hivyo kuondoa dhana nzima ya katiba ya wananchi ambayo intakaiwa kugusa makundi yote kwenye jamii.

KUTAWATENGA WASIO NA VYAMA AU WASIOPENDA SIASA YA UPINZANI.Kuna kndi kubwa la watanzania amabao hawapendezwi na siasa au siasa za upinzani, kama chama cha siasa ndio kitainjinia mjadala wa katiba hii sehemu kubwa ya watu itaachwa katika hili la katiba na kufanya mjadala uonekane ni kwa maslahi ya kisiasa pekee.

Nashauri CHADEMA na vyama vingine vya siasa wasiinjinie mchakato wa kutaka katia mpya na kama wanashiriki washiriki kwa kualikwa tena kwa kuzingatia kuwa CCM nao wapo kwenye huo mjadala ili kuleta balansi ya hoja kwenye mijadala

Mkuu Chadema wanaungwa mkono kwenye kuinjinia kuitisha kurejelewa kwa mchakato wa katiba mpya. Uungaji wako kwenye hili ni dhahiri kuwa hauhitajiki.
Makelele yote unayoyasikia ni kutokana na ukweli huo.

Kwani hao wengine wamekuwa wapi kuitisha miito hiyo muda wote? Kwani hata baada ya Chadema kuanzisha nani anazuiwa kufanya hivyo peke yake au hata na wewe ili ukapate kumwunga mkono?
 
Katiba mpya imekuwa ni mjadala baada ya makundi mbali mbali ya watu yakitaka ule mchakato uliositishwa wa mabadiliko ya katiba uanze upya kwa kuanzia kwenye rasimu ya Jaji Warioba. Mimi ni mmoja ya watanzania wanaotamani kuona kama taifa tunapata katiba mpya inayotokana na maoni ya watanzania (wenye nchi) yenye kukidhi matarajio, malengo na kasi ya maendeleo tuyatakayo.

Makundi mengi yamejitokeza kujadili na kusisitiza mahitaji ya katiba mpya ikiwemo vyama vya siasa. Hoja yangu ni juu ya CHADEMA kujiinua katika hili swala la kudai katiba mpya na hizi ni sababu zangu kwanini siungi mkono CHADEMA kuinjinia mjadala wa katiba mpya.

KATIBA NI YA WANANCHI SI YA VYAMA VYA SIASA. CHADEMA ni chama cha kisiasa na kwasaabu hiyo hakina sifa za kudi katiba mpya kwasababu kufanya hivyo kutaifanya katiba hiyo ionekane kuwa ni takwa la kisiasa na hivyo kuwakosesha wananchi ambao ndio hasa walengwa wa katiba kukosa nguvu kwenye mjadala mzima na kumwezwa na wanasiasa hasa wa upinzani. Kama CHADEMA wanaamini kwamba ni wajibu wao na wana haki ya kudai katiba mpya basi CCM wako sahii na waha haki na wajibu wa kukataa Katiba mpya. maana wote ni wanasiasa na wana haki sawa linapokuja suala la kutoa maoni.

MADAI YAO HAYATAZINGATIA WANANCHI BALI WANASIASA. Kwa miaka 5 mfululizo CHADEMA na vyama vingine vya siasa vya upinzani vimepitia kipindi kigumu kuwahi kushuhudiwa kwenye historia ya vyama vingi Tanzania, kwahiyo basi kama CHADEMA ndio watakao injinia huu mjadala wa katiba mpya vitu pekee ambacho vitakuwa vipaumbele kwenye mijadala yao itakuwa ni siasa kama tume huru ya uchaguzi, uhuru wa kufanya mikutano, uhuru wa kutoa maoni, haki za kisiasa, haki za watu kukusanyika ndani ya nchi na hivyo kuondoa dhana nzima ya katiba ya wananchi ambayo intakaiwa kugusa makundi yote kwenye jamii.

KUTAWATENGA WASIO NA VYAMA AU WASIOPENDA SIASA YA UPINZANI.Kuna kndi kubwa la watanzania amabao hawapendezwi na siasa au siasa za upinzani, kama chama cha siasa ndio kitainjinia mjadala wa katiba hii sehemu kubwa ya watu itaachwa katika hili la katiba na kufanya mjadala uonekane ni kwa maslahi ya kisiasa pekee.

Nashauri CHADEMA na vyama vingine vya siasa wasiinjinie mchakato wa kutaka katia mpya na kama wanashiriki washiriki kwa kualikwa tena kwa kuzingatia kuwa CCM nao wapo kwenye huo mjadala ili kuleta balansi ya hoja kwenye mijadala

Ni dhana potofu (fallacy) kutofautisha mahitaji ya kikatiba ya wananchi na ya wanasiasa. Siasa isipohusiana na mahitaji ya msingi ya wananchi itakuwa ni uongo.

Wanasiasa wapo kupigania maslahi ya wananchi. Ndiyo raison d'être yao. Wasipofanya hivyo basi hawatakuwa wanasiasa na yote wayafanyao yatabakia kuwa ubatili mtupu.

Onyesha kama wanachodai CHADEMA au wapinzani wengine hakizingatii maslahi ya wananchi.

Hitaji la katiba mpya haliwezi kuwa tug of war. CCM hawana nguvu ya kisheria kukataa katiba mpya wananchi wakitaka. Na wanapopinga ni kwa vile wanataka kuwa na uwezo wa kuendeleza ukiritimba wa kutawala na kuhodhi madaraka juu ya Watanzania bila kujali mahitaji na haki zao.
 
Back
Top Bottom