Messi (34) amekubali kujiunga na PSG baada ya kuondoka katika Klabu ya FC Barcelona aliyoichezea kwa miaka 21
Inaelezwa atasaini mkataba wa miaka 2 wa thamani ya kulipwa Paundi Milioni 25 (baada ya kodi) kwa mwaka.
---
✍Lionel Messi amefikia makubaliano na PSG kujiunga nao akiwa mchezaji huru...
Kuingia mkataba mrefu wa miaka 10 na Taasisi moja tena Taasisi yenyewe kama TBC, ambayo siku yoyote yaweza kukatisha matangazo ya soka kwa vile kuna kiongozi anazindua vyoo vya Stendi lazima tuchunguze, hawa TBC hawako huru kiasi cha kuingia mkataba na mtu yeyote.
Kwanza walishindanishwa na...
Mwita Waitara: Ukitaka kushindana na watu wa Mombasa, bandari ya Mombasa ni kubwa kwelikweli, unganisha zote hapa Tanzania hatuwafikii kwa ukubwa wa eneo hata mizigo inayotua pale.
Hata kama tumeongeza Mtwara bado hapa hatuwezi kutanua zaidi, tunataka tuweke utaratibu wa bandari ambao...
RATIBA YA KESI KASI WEEK HII
26.07.21
CAS 2021/A/7689 Dilhara Lokuhettige v. International Cricket Council (ICC)
CAS 2021/A/7935 International Cricket Council (ICC) v. Dilhara Lokuhettige
29.07.21
CAS 2020/A/7397 Young Africans SC v. Bernard Morrison
05.08.21
CAS 2021/A/7799 Yeni Malatyaspor...
Hans Pope ameeleza sababu za Manara kukataa kusaini mkataba na Simba ambao ni mil 4 akiogopa kujifunga kwani unamkataza kufanya kazi na kampuni zingine nje ya Simba.
barbara gonzales
haji manara
hataki
klabu
kuondoka
kwanza
lazima
likizo
mashabiki
mawazo
mbali
mgando
milioni
mkataba
mshahara
muda
sahihi
siku
siku 7
simba
wachezaji
Inajulikana duniani kote kuwa mkataba wa ajira ni makubaliano kati ya mwajiri na mwajiriwa. Mkataba unaweza kuwa wa maandishi au pia wa maneno tu iwapo pande mbili zitaafikiana.
Manara anadanganya anaposema hakuwa na mkataba na Simba... Chochote alichoambiwa na akakubali kufanya kazi ndio...
Kwa mujibu wa kipindi cha michezo cha clouds fm cha asubuhi hii ya leo, Perfect Chikwende ameamua kuvunja mkataba na simba na kurejea kwao Zimbabwe ambapo kwasasa anafanya mazoezi na klabu ya fc Platnum. Simba mbona mnatufivha kwenye hili?
Klabu kongwe ya Young Africans Sports Club leo inaingia mkataba na Azam Media utakaogharimu jumla ya shilingi Bilioni 34.8 (Bilioni 41 with VAT). Mkataba huu utadumu kwa miaka kumi(10) na utafanyiwa marudio/maboresho baada ya miaka mitano.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari...
Wana bodi nikiri ni miaka mingi nimepotea humu. Wale mlionimiss mniwie radhi. Mods pia acha kuunganisha uzi wangu na mingine isiyohusiana na maswala haya nayoyaongelea.
Turudi kwenye Mada:
Siku ya tarehe 24 March 2013 (Jumapili) Rais Xi Jinping aliwasili nchini Tanzania akitokea Urusi...
Mataga sasa hivi wamekuwa kama chapati, kila wakienda upande huu au ule wanapigwa.
Walishangilia ndege ambazo zilinunuliwa kwa mkataba usiojulikana, makinikia yanaenda nje kwa mkataba wa mwendazake, SGR, Stiglers, yote haya yanajengwa bila mikataba inayojulikana na mataga walikuwa...
Habari ya leo wakuu,
Imani yangu nyote ni wazima, kwa wasio wazima InshaAllah Allah awafanyie wepesi.
Moja kwa moja kwenye hoja.
Naomba mkataba na project proposal ya ujenzi wa bandari ya kisasa ya Bagamoyo uwekwe wazi ili Watanzania wenye uwezo wausome, uchambuliwe pro and cons zake zote...
Tunataka Miradi mingi katika taifa letu, Lakini tunataka miradi ambayo kiukweli italeta ukombozi wa maisha ya wananchi
Mradi wa Bandari ya Bagamoyo, ni mradi mkubwa na unaumhimu wake, Lakini kwa nini usiwe wazi?
kwa nini tunadhani JPM pamoja na aliyekuwa mgombea Uraisi kupitia Chadema 2015 mh...
Dah! Kama tukiendelea hivi basi naona tukienda mbali sana kwenye chumi za haya mataifa yetu, kupigana tafu kiuchumi pale panapostahiki, mama ameamua kutoendekeza chuki na kuachia kila mwenye jitihada na nia nzuri afanye yake....
======================
Kenyan companies have began reaping fruits...
Habari wakuu,
Ninahitaji sana mkata wa Dawasa unaohusu huduma kwa mteja,nimejaribu kutafuta kwenye website yao lakini nimekuta kurasa kumi tu na nyingine hawaja ziweka.
Msaada tafadhali.
Wijinaldum amesaini mkataba na miamba ya soka ya jijini paris ufaransa (PSG) kuitumikia mpaka juni 2024. Ikumbukwe Barcelona walikuwa na nafasi kubwa ya kumpata mchezaji huyu lakini akabadili na kwenda kusaini kwa miamba hiyo ya Paris.
Asante Azam Media, Kampuni ambayo imechochea san aukuaji wa soka Tz, Mechi zote huzionyesha kwenye tv bila kujali ukubwa wa timu wala eneo
114,272,966.78 USD kwa miaka 10
97,284,020.03 USD baada ya government taxes.
Kwa msimu wa 2021/22 mpaka 2023/24 mgao kwa kila timu kwa kila mwezi utakuwa...
Kiungo wa kati Luka Modric raia wa Croatia [emoji1082] aongeza mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia klabu yake ya Real Madrid mpka (2021/2022) hii itamfanya kuichezea timu hio misimu 10.
Modric kacheza mechi 391 kiujumla na kashika nafasi ya tano katika wachezaji bora wa msimu huu LaLiga akiwa...
Uganda has signed a Ksh5 billion deal with China Roads and Bridge Corporation (CRBC) in order to link Kampala with the Standard Gauge Railway (SGR) in Kenya.
This is in a bid to enhance trade with Uganda as well as enable easier transport of goods via SGR from Kampala to Mombasa port...
Kamishna wa Umoja wa Ulaya anayehusika na Soko la Ndani, Thierry Breton amesema umoja huo haujarefusha mkataba wa kuendelea na chanjo ya Covid-19 ya ubia wa makampuni ya Kiingereza na Kisweden ya AstraZeneca.
Breton ameiambia televisheni ya Ufaransa "France International" kwamba hawajarefusha...
Hivi ndivyo mchezo huchezwa, sio majungu na makelele kila siku.
Ni kama naiona Tanzania iliyokua na kamuamko fulani kipindi cha JK.
===========
The 600-kilometre pipeline will pass through the port city of Tanga to Mombasa and will carry natural gas from the Songo Songo Island and from the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.