Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Serikali ya awamu ya tano ilitumia nguvu na rasilimali kubwa ya nchi ikiwamo rasilimali fedha kuwatumia Acacia na kuingia mkataba na Barrick (wanaume) na tukapewa matumaini makubwa kuwa Barrick wataleta mapinduzi katika sekta ya madini hapa nchini.
Sasa ikiwa ni takribani miaka miwili kama sio mitatu tangu tufanye makubaliano ya kizalendo na wanaumia wa Barrick na miaka takribani minne tangu tusitishe wizi wa Acacia, sisi kama nchi tumepata matokeo gani chanya baada ya kuingia mkataba wa kizalendo na Barrick?
Je, ndio yale yale ya Tanzania na uchumi wa gesi?
Wabongo wepesi wa kusahau hakuna mfano.
Sasa ikiwa ni takribani miaka miwili kama sio mitatu tangu tufanye makubaliano ya kizalendo na wanaumia wa Barrick na miaka takribani minne tangu tusitishe wizi wa Acacia, sisi kama nchi tumepata matokeo gani chanya baada ya kuingia mkataba wa kizalendo na Barrick?
Je, ndio yale yale ya Tanzania na uchumi wa gesi?
Wabongo wepesi wa kusahau hakuna mfano.