Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,407
- 8,900
Msimamo wa Magufuli juu Corona unaeleweka, hizi sarakasi zote zinazoendelea ni kuwatayarisha kisaikolojia kuhusu linalokuja, nalo ni Chanjo ya lazima kwa wote, na jinsi watakavyofanya ni unpopular jambo ambalo litawafanya wasiopenda chanjo wamkumbuke Magufuli.
Kuna sababu kwa nini JWTZ waliitisha Kikao na Waandishi wa Habari, ambacho hakikueleweka.
Jiandaeni.
Kuna sababu kwa nini JWTZ waliitisha Kikao na Waandishi wa Habari, ambacho hakikueleweka.
Jiandaeni.