media

  1. Jamii Opportunities

    Oracle Developer/Manager at Azam Media

    The position is responsible for debugging, root cause analysis, analyzing an inherent functionality and solving issues by considering overall impacts, and handling various users of the subscriber management system. Responsible for requitement gathering, implementation, testing and fixed in the...
  2. T

    AZAM MEDIA ongezeni idadi ya Camera mnazotumia kunasa matukio ya mechi katika ligi kuu ya NBC

    Nawapongeza kampuni ya Azam media kwa kuonesha mechi za ligi kuu NBC live, kitendo ambacho kimeipa hadhi ligi yetu si tu Africa ya mashariki bali Africa nzima. Wito wangu kwa wamiliki wa Azam media ni kuwa ongezeni idadi ya Camera katika production team yenu ili muweze kunasa matukio takribani...
  3. Geza Ulole

    Kenyan media claims Tanzania has hunger!

    Hunger stalks 20m in East Africa as 2030 nears SATURDAY FEBRUARY 05 2022 A caravan of camels. The dire hunger situation is the result of a toxic cocktail of the climate crisis, Covid-19, a desert locust invasion and increasingly severe and protracted violent conflicts. PHOTO | COURTESY...
  4. Jamii Opportunities

    Media Intern at INNOVEX

    INNOVEX is a Pan-African advisory and assurance services firm providing professional services in Sub-Saharan Africa with a focus in Tanzania, Rwanda, Kenya, Uganda, Southern Sudan and South Africa. We are very pleased to invite job applications from self-motivated and performance driven...
  5. N

    IFFHS: Simba ya 361 Duniani, Ligi ya Tanzania ya 8 kwa ubora Afrika

    Hawa jamaa hawana affiliation na FIFA ni watu wa takwimu za michezo SINCE 1984 jana wametoa takwimu zao za teams 400 bora duniani simba ikiwa nafasi ya 361 na ligi ya Tanzania ikiwa ya 8 barani afrika bila shaka kutokana na libeneke la simba sc kwa melezo zaidi ngia kwenye website yao. Na...
  6. H

    Watangazaji Clouds Media wapendekeza siku ya kuzaliwa Rais Samia Suluhu ingizwe kwenye kalenda ya kusheherekea

    Watangazaji wa clouds Media kwa niaba ya media imependekeza siku ya kuzaliwa ya mhe Raisi Mama Samia Suluhu ingizwe kwenye calendar ya kusherekea siku ya kuzaliwa kama ilivyo Nyerere day n.k iwe sehemu ya siku ya kitaifa
  7. J

    Freedom of press and media policy during Magufuli's presidency

    I am a student from Germany writing my master thesis about freedom of press in Tanzania with a focus on the media policy during the time of president Magufuli. My aim is to grasp the opinions and the discourse about that topic in the JamiiForums. How does the digital public think about this...
  8. Manjagata

    Msaada: Kwa Anayejua Kuhusu Hizi Paid Social Media Jobs

    Wadau salama? Naomba kwa mtu anayejua hizi Paid Social Media ajaribu kutoa ufafanuzi hapa maana nimefuatwa na raia ananihamasisha kwamba kuna hizo jobs ambazo unazifanya remotely! Na wewe unaendelea na mambo yako mengine huku unapiga mpunga! Lakini kuna kiingilio kwanza cha kama U$ 30 hivi...
  9. GENTAMYCINE

    Tanzania ingekuwa na 'Strong Media' Kauli ya Spika Ndugai ingeeleweka vyema kwa 'Public' ila tuna 'Rotten Media' yenye 'Kujikomba' kwa Rais

    Kama ni Rais huyu huyu Samia Suluhu Hassan alishasema katika moja ya Hotuba yake Kubwa kuwa Watanzania tusiache na wala tusiogope Kumkosoa leo hii Spika Ndugai nae katoa Maoni yake kwanini aandamwe na aonekane Mkosaji Mkuu? Moja ya Kazi Kuu ya Media inayojitambua ( Siti hii yetu ya Waswahili )...
  10. new level

    Mchawi wa Bongo Flava ni msanii, shabiki au media?

    Ngoja niwasaidie kuelewa MUZIKI na Aina yake naongea Kama mwandishi wa MUZIKI .. changamoto ata sisi waandishi tunapitia mtu anakupa beat ya amapiano au ya bolingo af anakwambia niandikie isound Kama ya mtu fulani. Kwa vile analipia mwandishi atajitaidi kuweka signal flan za asili za Aina iyo ya...
  11. M

    Azam Media na TFF mnahujumu soka letu

    Wakuu Igweeeeee. Naomba radhi sana kwa wale ambao hawatapendezwa na huu Ukweli. Azam Media kwa kushirikiana na Bodi ya Ligi na TFF mmeamua kwa sababu zenu kuhujumu Soka letu katika kipengele cha Kuhakikisha Azam Media anauza zaidi haki za Matangazo na kuzuia timu kupata viingilio vya Milangoni...
  12. J_Okay

    NEW REPORT: Monitoring the Watchdog: How the media covered the 2020 elections

    Kwa wasomaji, pokeeni (attached) ripoti mpya iliyosambazwa leo hii iitwayo: 'Monitoring the Watchdog: How the media covered the 2020 elections'
  13. N

    DVI: Kampuni hewa inayotumia jina la Azam Media na kuchota mabilioni ZBC kinyume cha sheria

    DVI: KAMPUNI HEWA INAYOJIPATIA MABILIONI AZAM MEDIA, IMETUMIA JINA LA AZAM MEDIA NA KUCHOTA MABILIONI ZBC KINYUME CHA SHERIA Ni kampuni ya mfukoni iliyosajiri jina DUBAI, UAE. Inamilikiwa na Mfaransa Gael Lancrenon. Hana Nyaraka halali wala ofisi Dubai, anatumia anuani ya Kampuni ya Ushauri wa...
  14. MakinikiA

    Kampuni ya mtandao wa kijamii ya Trump yapata dola bilioni 1 kutoka kwa wawekezaji

    Kampuni ya mtandao wa kijamii ya Trump yapata dola bilioni 1 kutoka kwa wawekezaji CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES Mradi mpya wa Donald Trump wa mtandao wa kijamii umechangisha $1bn (£755m) kutoka kwa wawekezaji kabla ya kuorodheshwa katika soko la hisa. Taasisi ya habari na teknolojia ya...
  15. T

    Azam Media ongezeni kamera uwanjani

    Salaam, Naomba nianze kwa kuipongeza kampuni ya Azam kwa kuliheshimisha soka la bongo kwa kurusha LIVE matangazo ya mechi za ligi kuu ya NBC. Ombi langu kwenu AZAM MEDIA ni kuwa mtume timu ya wataalamu wenu waende uingereza,spain au ujerumani wakajifunze namna ya kurekodi na kurusha matangazo...
  16. P

    Jinsi baadhi ya Media zinavyokuza tabia zisizofaa

    Habari wa ndugu? Binafsi nmekua nikifatilia na kushangaa baadhi ya media kuruhusu na kuajiri aina ya watangazaji wa kiume ambao kimwonekano katika jamii hauendani na real African man. Jambo lenyewe ni jinsi baadhi ya wanaume kujihusisha katika vipindi vya umbea na kuchambana, hii inanipa shida...
  17. NguoYaSikuKuu

    Admin wa Social Media za Simba SC hastahili, atafutwe mwingine

    Huyu Admin amekuwa anapost kwenye ile page ya Simba SC kama vile ni page ya familia yake. Anaweza kupost kwa siku zaidi ya mara tano na mara nyigi anapost mipasho na kejeli zisizo na maana ikizingatia ile page ya Simba na timu kubwa nchini. Ukienda timu za wenzetu huwezi kuona huu upuuzi. Juzi...
  18. Dr Matola PhD

    Clouds media na utapeli wa mchongo wa clouds kupitia kipindi cha 360

    Leo nimepata wasaa wa kuangalia local channel clouds tv kwakuwa mimi si mshabiki wa local channel ni nadra kwangu kuangalia hizi channel. Wakati naangalia porojo za kipindi cha 360 ndipo nikagunduwa hawa clouds kupitia kipindi hiki cha 360 nimebaini kuna utapeli unaendeshwa wameupa jina la pata...
  19. Mathanzua

    Replace the Mainstream Media Covid Propaganda Sites With These Truth-Telling Sites.

    Beware of mainstream newspapers, TV stations, and websites which censor the truth while spreading dangerous misinformation, lies, and propaganda about the pandemic and the harmful, often fatal genetic COVID-19 “vaccines” which are directly killing and maiming millions of people. The “Dirty...
  20. matunduizi

    Nguvu ya Media: Aliyepaswa kuwa maarufu ni OYADEPO sio TB Joshua

    Ukiteka vyombo vya habari umeteka dunia. TB Joshua (hayati) alikuwa amkaribii kwa chochote Mzee Oyadepo. Oyadepo ndio mchungaji Tajiri kuliko wote ulimwengini. Amehamasisha watu wengi kuwa matajiri duniani. Ukisoma kitabu cha Oyadepo ukaja ukisoma cha TB ni sawa na kula Mua na kisha...
Back
Top Bottom