Ukubwa wa Yanga unajidhihirisha kwani hata uchaguzi umegeuka kuwa Agenda kubwa,, kila kona mpaka kwa wanaoichukia Yanga hawakwepi kuizungumzia

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,032
Kila Mwanamichezo nchini jicho lake lipo katika Uchaguzi huu,,hata wale wa upande wa pili, Agenda yao Kwa sasa ni uchaguzi wa Mabingwa wa Taifa.

Kinachofurahisha hadi Wanaharakati wapinga kila kitu cha Wananchi nao wamesimama na Content ya Chaguzi kuu la Machampioni.

Yes, hawa tunakosea kuwaita Wachambuzi, hawa ni WANAHARAKATI ,Mchambuzi halisi huchambua,kupongeza na kukosoa pande zote za shilingi,,ila Mwanaharakati yy tayari ana upande aliouchagua ,aidha Kwa kuuponda au kuusifia,,tunashuhudia WANAHARAKATI wapinga Yanga kutwa kucha eti nao Agenda yao ni Election ya Yanga.

Basi na tusimame humo, Wanaharakati ( Sio Wachambuzi ) nao hivi sasa agenda yao ni Hersi na Uchaguzi wa Yanga.

Ndioooooooooooo, Content kuu ya kispoti nchini ni Yanga na Viongozi wake.

Bila Shaka yoyote hii ni nzuri kwetu kama Club, Yaani hadi Mwajiriwa wa Makolo kujadili uchaguzi wetu, plus Wanaharakati wapinga Yanga.!! Sijui wametoa wapi kiherehere hiki kwa jambo lisilowahusu 😹

Itoshe kusema Yanga kubwa sana 🔥🔥🦾

Nb : Yanga Afrikaaaaaaa ni kama Maji,Usipoyanywa Basi utayaoga au kunaniliu 🙀

Kutoka kwa Manara,,mzee wa kutindua mishono ya matumaini ya makolo
 
Bila Shaka yoyote hii ni nzuri kwetu kama Club, Yaani hadi Mwajiriwa wa Makolo kujadili uchaguzi wetu, plus Wanaharakati wapinga Yanga.!! Sijui wametoa wapi kiherehere hiki kwa jambo lisilowahusu
Kumbuka, shetani pia anatajwa katika kila nyumba ya ibada, na pengine katika kila ibada, sasasijui naye tumuite maarufu kama Yanga! 🤣🤣🤣
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu
Kila Mwanamichezo nchini jicho lake lipo katika Uchaguzi huu,,hata wale wa upande wa pili, Agenda yao Kwa sasa ni uchaguzi wa Mabingwa wa Taifa.

Kinachofurahisha hadi Wanaharakati wapinga kila kitu cha Wananchi nao wamesimama na Content ya Chaguzi kuu la Machampioni.

Yes, hawa tunakosea kuwaita Wachambuzi, hawa ni WANAHARAKATI ,Mchambuzi halisi huchambua,kupongeza na kukosoa pande zote za shilingi,,ila Mwanaharakati yy tayari ana upande aliouchagua ,aidha Kwa kuuponda au kuusifia,,tunashuhudia WANAHARAKATI wapinga Yanga kutwa kucha eti nao Agenda yao ni Election ya Yanga.

Basi na tusimame humo, Wanaharakati ( Sio Wachambuzi ) nao hivi sasa agenda yao ni Hersi na Uchaguzi wa Yanga.

Ndioooooooooooo, Content kuu ya kispoti nchini ni Yanga na Viongozi wake.

Bila Shaka yoyote hii ni nzuri kwetu kama Club, Yaani hadi Mwajiriwa wa Makolo kujadili uchaguzi wetu, plus Wanaharakati wapinga Yanga.!! Sijui wametoa wapi kiherehere hiki kwa jambo lisilowahusu

Itoshe kusema Yanga kubwa sana 🦾

Nb : Yanga Afrikaaaaaaa ni kama Maji,Usipoyanywa Basi utayaoga au kunaniliu

Kutoka kwa Manara,,mzee wa kutindua mishono ya matumaini ya makolo
 
Kama Taifa, kuna mahali tumewakosea sana mashabiki wa YANGA.
Narudia tena, tumewakosea sana kama Taifa, yaani hawajamaa ilibidi wawe ni SPECIAL GROUP.

Nieleweke vizuri, Wawe Special group sio kwa sababu ni Exceptional katika jamii? Hapana, AKILI ZAO WOTE zina-walakini(Mtanisamehe kwa lugha niliyotumia, ila huo ndio uhalisia)

Je, Ni mara ngapi issue za uongozi wa Simba zinazunguziwa kitaifa? eg. Wakati MO anaachia nafasi yake ya Mwenyekiti? si taifa lilisimama?

Je, ni mara ngapi wakati wa usajili wa simba, mfano mdogo....Ujio wa Kocha Simba, Hii issue huwa ni trend ya Taifa? e.g, PABLO

Je, ni mara ngapi, shughuli zinazohusu Club, eg. Transformation kwa simba; huwa n Trend ya Taifa Zima? eg. Bil.20 za Mo ni Trend zaidi ya mwako mmoja.

Na mengine mengi sana.

So, tambua Club itazungumziwa kulingana na kitu kilichopo mezani(kinachofanyika wakati huo)

Japo wanamapungufu yao, ila nawaonea huruma sana Wachambuzi wa Tanzania.

N.B Nimeanza mpango wa kuanzisha NGO itakayolenga kuwasaidia Mashabiki wa Yanga Kisaikolojia(For Good) ili tuweze kuliokoa Taifa Kiujumla.
 
Mko nafasi ya ngapi kimataifa yaani watu mnaanzia chekechea mna kelele hivyo mkija kuanzia advance itakuwaje
 
Back
Top Bottom