johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,995
Bunge ni moto
Dr Kigwangala amesema Waziri wa Elimu Prof Mkenda amelidanganya Bunge kwamba Bodi ya Mikopo imekuwa inamdharau
Spika Tulia amzuia Dr Kigwangalla kwa sababu kabla ya kuongea Bungeni Kigwangalla ameshaliongea hili kwenye mitandao ya Jamii
Aidha Spika Tulia amesema inafahamika wazi Dr Kigwangalla na Prof Mkenda wana mgogoro tangu wizara ya Maliasili na Utalii Kigwangalla akiwa Waziri na Mkenda akiwa Katibu mkuu
Dr Kigwangala azuiwa na Spika Tulia kuendelea kuongea na kuamriwa kukaa chini na sasa ameitwa mh Sophia Mwakagenda wa Chadema achangie
Dr Kigwangala amesema Waziri wa Elimu Prof Mkenda amelidanganya Bunge kwamba Bodi ya Mikopo imekuwa inamdharau
Spika Tulia amzuia Dr Kigwangalla kwa sababu kabla ya kuongea Bungeni Kigwangalla ameshaliongea hili kwenye mitandao ya Jamii
Aidha Spika Tulia amesema inafahamika wazi Dr Kigwangalla na Prof Mkenda wana mgogoro tangu wizara ya Maliasili na Utalii Kigwangalla akiwa Waziri na Mkenda akiwa Katibu mkuu
Dr Kigwangala azuiwa na Spika Tulia kuendelea kuongea na kuamriwa kukaa chini na sasa ameitwa mh Sophia Mwakagenda wa Chadema achangie