GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,444
- 108,553
UVCCM kama kuna Kikundi ambacho Kitawachafua na Kimewachafua ni hiki cha Ulinzi wenu Kiitwacho Green Guards.
Nimesoma leo katika Moja ya Gazeti kuwa Watu wa UVCCM kupitia hiki Kikosi chenu kilichojaa Wapumbavu Watupu kiitwacho Green Guards kilikuwa kimepanga Kumteka na Kumdhuru Mtangazaji wa Wasafi FM Charles William kutokana na kile kinachosemekana ni Kukerwa na Ukosoaji wake wa Kimantiki Kwao.
Leo hii Mimi GENTAMYCINE nimepata Jibu la Maswali yangu mengi kuwa ni nani huko nyuma alikuwa Akiteka na hadi Kudhuru Watu hadi wale waliopotea mazima Kiuhai na tayari nimeshawajua hivyo kama mwana CCM Kiushabiki ( ila bado siyo Mwanachama ) napanga kuwaombea Laana mbaya, kali na takatifu kwa Mwenyezi Mungu ili iwe Fundisho.
Nyie UVCCM ni nani Tanzania hii na hapa duniani Msikosolewe? Mngekuwa na Akili mngeshukuru kwa Kukosolewa Kwenu huko kwani kunawasaidia na Kuwajenga zaidi Kiutendaji tofauti na ilivyo na mlivyo sasa.
Na nyie CCM Taifa ( hasa Makao Makuu ) hebu anzeni Kuisuka upya hii Youth Wing yenu kwani imejaa Vijana Wapumbavu, Wanafiki, Katili, Wafitini, wapenda Majungu na wanaongojea tu Teuzi ila Vichwani mwao hawana Mikakati ya Kukusaidia Chama Kimaendeleo na Kiteknolojia kama ilivyo vya 'Youth Wings' za vyama vingine Vikubwa duniani ambapo 85% ya Watu ( Vijana ) walioko huko ni Think Tanks ( Rationals ) hasa.
Haya someni na huu Uzi wangu GENTAMYCINE hapa JamiiForums leo kisha mkimaliza nami nikalieni Vikao ili Mniteke sawa?
Ombi langu tu Kwenu mkikubaliana Kuniteka hakikisheni Kwanza hao Green Guards mtakaowatuma Kwangu wawe wana Akili Kubwa kisha waambieni kabla ya kuja Kwangu wawe wameshaaga Majumbani mwao na Kugawa Urithi kwa Watoto wao na wawaambie ikitokea Wamekufa wangependelea Wakazikwe wapi sawa?
Nawachana hivi ili mbadilike sawa?
Nimesoma leo katika Moja ya Gazeti kuwa Watu wa UVCCM kupitia hiki Kikosi chenu kilichojaa Wapumbavu Watupu kiitwacho Green Guards kilikuwa kimepanga Kumteka na Kumdhuru Mtangazaji wa Wasafi FM Charles William kutokana na kile kinachosemekana ni Kukerwa na Ukosoaji wake wa Kimantiki Kwao.
Leo hii Mimi GENTAMYCINE nimepata Jibu la Maswali yangu mengi kuwa ni nani huko nyuma alikuwa Akiteka na hadi Kudhuru Watu hadi wale waliopotea mazima Kiuhai na tayari nimeshawajua hivyo kama mwana CCM Kiushabiki ( ila bado siyo Mwanachama ) napanga kuwaombea Laana mbaya, kali na takatifu kwa Mwenyezi Mungu ili iwe Fundisho.
Nyie UVCCM ni nani Tanzania hii na hapa duniani Msikosolewe? Mngekuwa na Akili mngeshukuru kwa Kukosolewa Kwenu huko kwani kunawasaidia na Kuwajenga zaidi Kiutendaji tofauti na ilivyo na mlivyo sasa.
Na nyie CCM Taifa ( hasa Makao Makuu ) hebu anzeni Kuisuka upya hii Youth Wing yenu kwani imejaa Vijana Wapumbavu, Wanafiki, Katili, Wafitini, wapenda Majungu na wanaongojea tu Teuzi ila Vichwani mwao hawana Mikakati ya Kukusaidia Chama Kimaendeleo na Kiteknolojia kama ilivyo vya 'Youth Wings' za vyama vingine Vikubwa duniani ambapo 85% ya Watu ( Vijana ) walioko huko ni Think Tanks ( Rationals ) hasa.
Haya someni na huu Uzi wangu GENTAMYCINE hapa JamiiForums leo kisha mkimaliza nami nikalieni Vikao ili Mniteke sawa?
Ombi langu tu Kwenu mkikubaliana Kuniteka hakikisheni Kwanza hao Green Guards mtakaowatuma Kwangu wawe wana Akili Kubwa kisha waambieni kabla ya kuja Kwangu wawe wameshaaga Majumbani mwao na Kugawa Urithi kwa Watoto wao na wawaambie ikitokea Wamekufa wangependelea Wakazikwe wapi sawa?
Nawachana hivi ili mbadilike sawa?