For Promo only. https://youtu.be/YnbAqvz_8h0?si=WFtATkgwuApVX0J3
Kwa Mara ya kwanza Abdiel Mengi kukutana na Civilian-Coin ilikuwa mwaka 2003 katika studio za Backyard record zilizokuwa namanga Kona(DSM) ambapo Bw. Abdiel Mengi alikuwa mmiliki wa studio na Civilian-Coin aligongewa beat na...
Kuna Kila sababu mkurugenzi wa Clouds media Bwana Kusaga kumuokoa Civilian-Coin kwa kuinua Ngoma zake katika station zake.
For Promo only. https://youtu.be/YnbAqvz_8h0?si=WFtATkgwuApVX0J3
Katika hali ya kawaida ikimpendeza Kusaga kufanya hivyo. Kumuokoa Msanii Civilian-Coin anayeishi wilayani...
Uganda’s Chief of Defence Forces Gen. Muhoozi Kainerugaba met Nation Media Group leaders in Entebbe to discuss the shutdown of NTV Uganda, Daily Monitor, Spark TV, and KFM, with the post including a group photo from the meeting.
The meeting at the Special Forces Command headquarters in Entebbe...
Ofisi za kampuni ya habari za Furaha Media zilizopo Mikocheni – Dar es Salaam zimekumbwa na taharuki kufuatia kuvamiwa na kikundi cha watu wanaokadiriwa kuzidi 60, wakiwemo walinzi wa kukodiwa (bouncers) na watu wenye silaha.
Uvamizi huo umesababisha uharibifu wa miundombinu ya kidijitali...
Anonymous
Thread
furaha
mabaunsa
magufuli
media
mpwa wa magufuli
ofisi
silaha
wavamia
wenye
President William Ruto ameonekana kujibu kwa ukali kile alichokitaja kama "continuous attacks" kutoka Standard Media Group kuhusu utendaji wa serikali yake.
Kupitia ujumbe uliosambaa mtandaoni, Ruto alisema kuwa headlines za Standard ambazo zimekuwa zikiangazia changamoto za serikali yake ni...
Wanabodi,
Kile kilichotokea October 29 kilichangiwa na kauli mbofu mbofu za baadhi ya viongozi wa umma ziko kinyume cha maadiili ya viongozi wa umma!, Je Media tuwaripoti viongozi hao bila uoga na Secretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, ianze utaratibu wa kuwakeme kama afanyavyo Msajili wa...
Veteran media personality and communications expert Joel Isabirye has won the bid to establish and operate a radio station for Kampala Capital City Authority (KCCA), a project aimed at improving public communication and engagement with city residents.
According to Nile post, The radio station...
Nimejifunza kitu ktk uchambuzi wa vita vya Iran vs Marekani vs Isreal.
Waislam walioachambua vita hivi ndio wakichambulia hali halisi ya vita bila propaganda. Licha ya kutoinesha imani yao ktk uchambuzi, lkn walikuwa hawaegemei upande wowote ile
Hatimae yaliochambuliwa kupitia media mbali mbali...
Baada ya kutumia social media nimeona comments nyingi sana za chuki baina ya mataifa
For example kukiwa na topic yoyote ile inayosifia Tanzania, utaona a lot of negative comments za Wakenya. Watanzania ni mara chache sana kukuta wanacomment negatively kwenye posts za Kenya. Zaidi utawakuta...
The Media Council of Kenya has unveiled plans to require journalists seeking elective office in the 2027 General Election to exit newsroom and broadcasting roles within set timelines, as part of new measures aimed at preventing unfair political advantage and protecting the integrity of the media.
Kwangu mimi ni mahojiano bora sana kuwahi kufanyika. Jamaa wameongea mengi bila chenga chenga. Wamefunguka sana. Mimi nilichogundua ni kuwa hali ya kifedha (mishahara) kwenye media houses ikiwemo Clouds sio nzuri. Kuna tatizo kwenye malipo. Mishahara ni midogo.
Adam kasema mishahara yao...
Tokea watangazaji maarufu wasimamishwe na bodi ya ithibati, masoud ameonyesha uwezo binafsi,
Vipindi vyake vya sasa kupitia channel yake ya you tube ni vizuri vyenye mvuto kuliko alipokuwa clouds,
Ana muda wa kutosha wa kutumia ubongo wake kujenga hoja na kujadili mada za msingi bula kubanwa na...
Hii media ni unprofessional sana ndiyo maana bado nina mashaka kama kweli wataonyesha World cup 2026, maana washawahi kutudanganya Mwaka 2022 kule Qatar.
This critique originates from the deeply frustrated perspective of an ordinary citizen—a passionate observer who is tired of watching immense intellectual talent and public influence squandered on sports debates while vital national assets are bargained away in silence. Day after day, Tanzanians...
AN OPEN LETTER TO ALL NIGERIANS: LET US PROTECT OUR NATIONAL PRIDE – AIRPEACE
My dear fellow Nigerians,
I write this not as a distant observer, but as a proud son of the soil, a patriotic Nigerian who has travelled the length and breadth of our great country and beyond, and as a loyal...
A viral cash giveaway by Zimbabwean social media personality Tinotenda Tungwarara has sparked debate after she posted a video inviting the public to search for US$500 hidden around a major interchange in Harare.
The money was reportedly split into five separate US$100 hiding spots, with clues...
Nimeangalia interview ya Mex Cortez kwa Rick Media na kwa kweli ni best interview wasanii wajifunze
Kuna utofauti mkubwa ukilinganisha na interview nyingi za kawaida. Mazungumzo yameonekana natural, yenye mafunzo, na yameonyesha upande mwingine wa maisha/experience zake.
Sometimes interview...
Hivi karibuni mwanzoni mwa mwezi ujao nitazindua kampuni yangu Mpya ya Uchwara Media Group...tutaanza na Online Digital Tv na Radio.
Uchwara Media Group itakuwa ni platform kwa watangazaji wote wanaojitafuta kuweza kuandaa na kurusha contents zao na kwenda viral kwenye mitandao ya jamii ikiwemo...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu, katika gazeti la Mwananchi la leo, nikizungumzia maisha ya kisasa, na mambo ya kisasa, pesa ndio kila kitu!, siku hizi hakuna cha bure!, kwanini mpaka leo habari ni bure?!, je umefika wakati habari nazo zilipiwe?, bila pesa hakuna habari!, media zilipwe, waandishi...
Uongozi ni busara na hekima, ni kupanga na kuongoza, uongozi ni ulezi (guiding) uongozi ni taswira ya sehemu unayoiongoza. Uongozi ni ku-control hisia, uongozi ni utulivu wa mwili na akili, uongozi ni kuongea kidogo vitendo vingi.
Nchini Kuna taasisi kibao zimepoteza direction sababu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.