media

  1. M

    Tanzania: Court Orders Influencer to Surrender Social Media Accounts Despite Lack of Evidence

    DAR ES SALAAM – In a ruling handed down yesterday, the District Court of Temeke has ordered social media influencer Clemence Kenan Mwandambo to surrender all his social media accounts and report to the police monthly for a year, despite prosecutors admitting they possess insufficient evidence to...
  2. Mkalukungone Mwamba

    Tujikumbushe Makonda alipokataa kuwaomba radhi Clouds Media

    Huyu jamaa watu tumeamua kufukua makaburi yake yote ya nyuma! Leo acha tuanze na hili tukio ambalo binafsi liliniacha mdomo wazi baada ya Makonda alipokata kuomba msamaha kwa Clouds baada ya tukio la kuvamia Media hiyo! Tena alikataa mbele ya Marehemu Ruge Hii ilikuwa ni Aug 9, 2017 katika...
  3. Raia Fulani

    Vyombo vya habari kuweni makini. Msipokuwa makini hii mamlaka itawazika

    Mamlaka yenyewe mnaijua. Inadhibiti maudhui yenu kwa kila hali. Inawaongoza cha kuandika na kusema. Leo hii mimi nilikuwa sio wa kuacha kutazama taarifa ya habari saa 2 usiku kwenye ile independent tv, lakini sasa napotezea tu. Natazama aljazeera muda huu. Wa aina yangu tuko wengi sana. Soon tv...
  4. S

    Natafuta kazi za kwenye idara ya procurement, lakini pia nina ujuzi kwenye ulimwengu wa social media na naongea kiingereza vizuri

    Habari wakuu Nimekuja kwenu kuomba yeyote mwenye kazi au connection ya kazi anisaidie. Sifa zangu Jinsia: Me Umri: 28 Eneo: Dar es salaam Elimu: Bachelor’s Degree in Procurement and Logistics Management Naonngea kiingereza vizuri sana Kazi ninazoweza kufanya kutokana na taaluma yangu ni idara...
  5. Fbn

    Vijana haya mambo ya kutafuta wachumba mitandaoni na kwenye media mnatuzalilisha wakubwa zenu

    Vijana wa sasa sijajua au ndio kizazi chenu cha wakati. Ila sisi wakubwa wenu mnavyo jionesha kuwa mnashindwa kutafutana mtaani mpaka kwenda kwenye media yani niliona kijana mmoja kuna kipindi kimoja mpaka nika jisikia vibaya sana. Umfahamu wala hakufahamu mnaenda kuokotana kama madanguro...
  6. Fbn

    Kuna Media inakumbushia yaliyowahi tokea Zanzibar. Ina maana gani?

    Kuna mada hapa niliweka Moderator unaweza kurudisha kichwa cha habari kina sema inawezekana ni kulipa kisasi. Kuna media hipo Facebook inakazania matukio yaliyotokea Zanzibar mfano la kupinduliwa na wale waliohukumiwa kifo mbele ya wananchi. Maandamano ya kupinga uchaguzi kipindi cha mkapa...
  7. srinavas

    DOKEZO Redio zilitangaza umbeya muda mwingi kulenga Wanawake walio nyumbani, sasa hivi ni Mpira tu, je Wanaume ndio wapo nyumbani au hawana kazi?

    Habari za muda huu wadau, Leo nilikuwa na safari fulani hivyo ikanibidi kupanda daladala kwa umbali mrefu kidogo, Kutoka tegeta mpaka Mbagala. Baada ya kupanda daladala nikiri kwamba nimeshuhudia na kujifunza mambo mengi sana, Kwanzia msongamano, Kugombania na pia kukutana na watu mbalimbali...
  8. funaku

    Serikali ifanye uhakiki kwenye Shule za English medium huko ndio jiko la kuwavua uzalendo vijana

    Inawezekana tunajiuliza vijana wetu wametoa wapi hulka za ajabu ajabu? Jibu ni kuwa tumeiuwa taasisi ya familia kupitia ratiba mbovu za shule hususani english media. Watoto wanakesha shule lakini wengi wa walimu wametoka nje ya nchi wamekuja kutufundishia mambo ya ajabu kwa watoto wetu. Wizara...
  9. stakehigh

    Ile movement ya ku unfollow wasanii na media imeishia wapi?

    Kulikuwa na movement za kichonganishi za ku unfollow wasanii na media, nguvu imekata au?
  10. marcoveratti

    Media za Magharibi zinatumika kuharibu amani yetu

    Sijawahi kuwaona CNN ,DW wala BBC wakiwa karibu na nchi yetu kiasi hiki Tume kuwa tukifanya mazuri mengi hata mabaya vyombo hivi havijawahi kuonekana kujikita na taarifa za nchi yetu ila wakati huu wamekuwa mstari wa mbele sana kurepoti vya kweli na visivyo vya kweli kwa ukaribu na userious...
  11. Its Tesha

    PostGE2025 Media zetu ni TAKATAKA unatoaje hii taarifa bila kupost hiyo makala?

    Long way to GO Many miles to GO!! tunahitaji uhuru wa vyombo vya habari nchi hii.
  12. T

    Wanaandaa wahaini walioachiwa waje kumshukuru mbele ya camera

    Mnanahangaika sana Hili nalo litaongeza hasira zaidi kwa wananchi, mmewapiga na kuwazalilisha vijana wa watu leo mnataka kuwaweka mbela ya camera kumshukuru na kumpaka mafuta mhaini kwa kuwatoa ndani .?
  13. Koffi Annan

    Media uchwara za bongo

    Tusiwaseme sana, hao ni watanzania ndugu zetu tunaishi nao, huyo millard angekua kaka yako ungemshauri vipi? Hii ni kazi yetu sote, hao watu maarufu na media ni wachache kuliko sisi, kila mtu angepaza sauti hapo nyuma tusingefika huku, Tatizo ni kwamba wote tumenyamazishwa midomo na wachache...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiAfrica (Tanzania), IMS (Denmark) na Splice Media (Singapore) waja na “The Good Commons”

    Good Commons imejitolea kukusanya euro milioni 1.5 kusaidia jamii mbalimbali duniani ambazo zinaunda upya namna teknolojia inavyohudumia umma. Tofauti na kampuni kubwa za teknolojia na mifumo mikubwa ya akili bandia (AI) inayojengwa kwa misingi ya ufuatiliaji wa watumiaji na faida, jamii hizi...
  15. Tajiri Tanzanite

    Hivi ndio vizazi vya intaneti, mitandao ya kijamii na dijitali

    Hapo vip! Kuna kizazi hiki kinaitwa Generation- millennia (Y),hiki ni kizazi kilicho zaliwa 1981-1996,wanasema wameitwa hivyo kwasababu ni kizazibkilichozaliwa katika nyakati za internet,technology,social media na digital. wanasema hichi kizazi hakiwezi kuishi nje ya haya mambo. Kizazi kingine...
  16. W

    Balile alipanick Media za Tanzania kupewa taswira ya toilet paper kabla ya uchaguzi. Mbona sasa hivi yuko kimya?

    Mwezi Julai 2025, aliyekuwa mtangazaji wa Clouds FM na kipindi cha Power BreakFast, Masoud Kipanya, alichora Cartoon ambayo mtu yupo chooni alafu Toilet paper imeandikwa MEDIA, akiwa na maana kuwa Media zinatumika vibaya kwa maslahi ya wachache na si kwa maslahi ya jamii nzima kutokana na...
  17. figganigga

    Hatimaye Polisi waliokuwa wanalinda Wasafi Media wameondoka

    Wananchi walipanga kuvamia Ofisi na Studio za Wasafi maeneo ya Mbezi Beach, lakini walishindw sababu ya Ulinzi ambao Uliwekwa pale. Wengi waliishia kanisa la Katoliki na Maeneo ya Shoppers... Ndo maana Diamond hakiweza kusema chochote kuhusu Maandamano.. Alishindwa awe uoande gani. Upande wa...
  18. President of China

    The revolution planned by Mr. PAKA, with the support of four European countries during the elections in Tanzania using Kenyan media outlets

    The revolution planned by Mr. PAKA, with the support of four European countries during the elections in Tanzania using Kenyan media outlets and activists to tarnish Tanzania’s image failed Either Kenyans are being used knowingly or unknowingly. The Kenyan media is being used to spread a plan...
  19. The introvert

    Wakazi: Media zinatakiwa kuonewa huruma na sio kubezwa. Mnaozilaumu media mlijinunulia vyakula mkajifungia ndani, hamkuandamana!

    Anaandika rapa Wakazi kupitia ukurasa wake wa Instagram: Kauli ya Katibu Mkuu wa UN (Antonio Gutierres) “WHEN JOURNALISTS ARE SILENCED, WE ALL LOSE OUR VOICES” tafsiri yake ni kwamba “Wana Habari wakinyamazishwa, sote tunapoteza Sauti” Tunawalaumu wao kwa sisi kupoteza sauti zetu, ila...
  20. BigTall

    GE2025 Media za Tanzania zilivyoripoti matukio ya Uchaguzi Mkuu 2025; Je, tatizo ni uwezo wa Wanahabari au uhuru umesiginwa?

    Wakati Uchaguzi Mkuu wa Tanzania ulipofanyika tarehe 29 Oktoba 2025, huku Huduma za Mtandao wa Intaneti zikiwa zimezimwa, Vyombo vya Habari vikuu (Mainstream Media) kama televisheni na redio, pamoja na Vyombo vya Habari vya Mtandaoni, vilitarajiwa kutoa taarifa sahihi na zenye uwiano kuhusu yale...
Back
Top Bottom