mbuzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TODAYS

    JamiiForums Tanzania TOFAUTI: Mbuzi wa Sherehe na Mbuzi wa Maombolezo

    Ni Kwa vile sisi wenyewe tumeizoea hali hii, lakini Kwa kweli nchi yetu ina mambo mengi ya kushangaza. Fikiria, Kwenye kipindi hiki cha maombolezo, watu wanaweza kukamatwa kwa kukutana na kuchoma mbuzi Kwa kosa la kusherehekea lakini wakawa huru kuagiza mbuzi-choma na bia kwenye baa zilizo wazi...
  2. Mkaruka

    JamiiForums Tanzania Kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai, Mzee mbuzi Fid Q yamkuta 🤣

    Fid Q na mke wake.
  3. V

    JamiiForums Tanzania Mbuzi wa masikini hazai na akizaa ni dume

    Mbuzi wa masikini hazai na akizaa ni dume usemi huu umedhijilika leo. Wiki iliyopita nilibahatika kupata kazi kama revenue officer ofisi za halmashauri ya jiji baada ya kupitia mchakato mrefu na kupata shavu hapo. Na leo ilikuwa ndio tarehe ya kurepoti hapo na kupangiwa kazi ya kunisaidia mimi...
  4. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke ana Watoto wanne kutoka kwa baba wanne tofauti mimi nataka kupewa Uuncle mbuzi. Never, Mjipange Wanawake

    Zaman ilikuwa ngumu sana kukuta mwanadada ana watoto wawil, watatu wana baba tofaut tofaut. Mimi sikuwa nikikutana sana na matukio ya hivi. Naumwa toka last week. Sometimes nakuwa fresh then nakuta kichwa kinawaka moto mpaka kizunguzungu. Ninepima Typhoid, Malaria, UTI, Pressure, kiwango cha...
  5. GeoMex

    JamiiForums Tanzania Ukiona Mbuzi yuko juu ya mti....Ujue kapandishwa na mmiliki wake

    .....
  6. A

    JamiiForums Tanzania Biashara ya mbuzi na masoko

    Habarini ndugu zangu, Nataka kufanya biashara ya mbuzi. Ninaomba yeyote mwenye uzoefu na biashara hii anifunulie fursa za masoko na changamoto zake.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia mbuzi anachinjwa huku amezibwa mdomo Usseri Rombo!

    Nimeshuhudia jana mbuzi anachinjwa huku amezibwa mdomo ili asilie. Kwa ushinjaji huu hamu ya nyama ya mbuzi imeniishia kabisa bora kesho nirudi Dar. Happy New Year!
  8. luangalila

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana tuwe makini. Mahusiano ya online ni sawa na kuuziwa mbuzi katika gunia

    Heri ya mwaka wa 2021 Wadau mwaka jana panapo mwezi wa saba rafiki yangu mmoja alifunga pingu za maisha na msichana ambae walianzisha mahusiano kutokea mtandaoni IG, ila walisomana kidogo kama miezi 8 hivi. Sasa jamaa kapatwa na janga ambalo linamchanganya psychological, yule mrembo aliyemuona...
  9. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kuchoma mchomo nyumbani kula na familia, wageni na marafiki

    Mbuzi ni mnyama anaeliwa na madhehebu ya dini nyingi, ni rahisi kununua mbuzi wa kula na familia kuliko ng’ombe, kwanza gharama pili mnaweza kula na kumaliza. Andaa samaki kidogo kwa wasio kula nyama. Andaa bakuli la kachum Acha moto ukolee wote kabla ya kuweka nyama jikoni. Nyama ya mbuzi...
  10. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Amuua mkewe kwa kumkata sikio na kumnyonga akihoji fedha za mauzo ya Mbuzi

    Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia Boshu Kulwa (60) kwa tuhuma za kumuua mke wake, Magdalena Lunguya (45) baada ya kumhoji kuhusu fedha za mauzo ya mbuzi. Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Debora Magiligimba alithibitisha kutokea kwa tukio hilo akisema kuwa amemuagiza mkuu wa polisi...
  11. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Mbuzi avamia mabango ya Aziz Abood na kuyatafuna

    Katika tukio linalofananishwa na lililotokea jijini Dar es Salaam katika jimbo la kawe, kuna mbuzi ameonekana akiharibu mabango ya mgombea wa ubunge wa jimbo la Morogoro Mjini Mh. Abdul-Aziz Abood.
  12. D

    JamiiForums Tanzania Biashara ya mifugo (ng'ombe, mbuzi, kondoo n.k)

    Ndg wana jf hope sote tu wa afya njema baada ya hekaheka za wiki nzima. Naomba mwenye EXPERIENCE ya kutosha na hii biashara ya Mifugo hasahasa Ng'ombe kuwaleta Dar kutoka Mikoani kama inalipa coz nimewahi enda pale PUGU Mnadani wakati wa Christmas angalau nijitafutie Mbuzi wa kumtafuna na...
Back
Top Bottom