Kila nikienda vingunguti kutafta nyama ya mbuzi; huwa nakuta haina matumbo; ukiuliza unaambiwa Wachina wameyanunua kwa oda!
Je, Wachina wanakazi gani spesho na Yale matumbo ya mbuzi?
Maana inavyoelekea yatakuja kuwa adimu kama Mabondo ya samaki huko Mwanza!
Je, Wachina wanakazi gani spesho na Yale matumbo ya mbuzi?
Maana inavyoelekea yatakuja kuwa adimu kama Mabondo ya samaki huko Mwanza!