Villanova tito
Member
- Dec 20, 2016
- 98
- 109
Mbuzi wa masikini hazai na akizaa ni dume usemi huu umedhijilika leo.
Wiki iliyopita nilibahatika kupata kazi kama revenue officer ofisi za halmashauri ya jiji baada ya kupitia mchakato mrefu na kupata shavu hapo.
Na leo ilikuwa ndio tarehe ya kurepoti hapo na kupangiwa kazi ya kunisaidia mimi na mke wang na familia ingawa ilikuwa sio ya maslahi makubwa.
Lakini leo asubuhi nimefika ofisi za jiji na kukutana vikundi vidogovidogo vya wafanyakazi.
Wakiteta na wakiwa na majonzi ndipo nilipoenda reception na kupewa taarifa kwamba hata wao kazi hawana.
Na kuambiwa ajira zimeota mbawa nimechoka sana kumbe halmashauri no longer exist.
Mungu nisaidie tu
Wiki iliyopita nilibahatika kupata kazi kama revenue officer ofisi za halmashauri ya jiji baada ya kupitia mchakato mrefu na kupata shavu hapo.
Na leo ilikuwa ndio tarehe ya kurepoti hapo na kupangiwa kazi ya kunisaidia mimi na mke wang na familia ingawa ilikuwa sio ya maslahi makubwa.
Lakini leo asubuhi nimefika ofisi za jiji na kukutana vikundi vidogovidogo vya wafanyakazi.
Wakiteta na wakiwa na majonzi ndipo nilipoenda reception na kupewa taarifa kwamba hata wao kazi hawana.
Na kuambiwa ajira zimeota mbawa nimechoka sana kumbe halmashauri no longer exist.
Mungu nisaidie tu