Tangu mwaka elfu mbili kumi na tano baada ya uchaguzi ndo nikajua akili mbowe maana ccm ilibidi wabadili sheria na namna ya kupambana na ukawa hali ilikuwa mbaya
kwanza kuopiga marufuku mikutano ya siasa mpaka 2020
pili sheria ya mitandaoni ili kujua wanaoshambulia ccm ni akina nani na...