johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,914
- 141,866
Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amelia kwa furaha baada ya kushuhudia imani kubwa waliyonayo Watanzania juu yake kupitia wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema.
Mbowe amesema kwa imani hii iliyoonyeshwa na wananchi kamwe hatawaangusha na kuwataka wananchi wasimlilie yeye kutokana na msalaba mzito alioubeba kwani kwake utumishi ni wito.
Source: Tanzania Daima
Maendeleo hayana vyama!
Mbowe amesema kwa imani hii iliyoonyeshwa na wananchi kamwe hatawaangusha na kuwataka wananchi wasimlilie yeye kutokana na msalaba mzito alioubeba kwani kwake utumishi ni wito.
Source: Tanzania Daima
Maendeleo hayana vyama!