johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,589
- 141,391
Kiukweli uchaguzi mkuu wa Chadema kwa sasa unakwenda kimya kimya na hii ni kutokana na vikao vya kihistoria vya CCM vinavyofanyika jijini Mwanza.
Habari kuu katika media zote imekuwa ni vikao vya CCM, na hata uchaguzi wa Bavicha na Bawacha umejulikana zaidi kwa wana Ufipa wenyewe. Na hii ni fursa nzuri kwa Mwenyekiti anayemaliza muda wake kurejea madarakani bila kelele za hapa na pale za media.
Nawatakia sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!
Habari kuu katika media zote imekuwa ni vikao vya CCM, na hata uchaguzi wa Bavicha na Bawacha umejulikana zaidi kwa wana Ufipa wenyewe. Na hii ni fursa nzuri kwa Mwenyekiti anayemaliza muda wake kurejea madarakani bila kelele za hapa na pale za media.
Nawatakia sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!