masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Huko kwa bibi, Malkia wa Uingereza, uchaguzi ndo umeisha na mshindi ni Boris Jonon wa chama cha mabwanyenye.
Jeremy Corbyn wa chama cha wavuja jashi ameshindwa.
Kwa demokrasi kabisa Corbyn atajiuzulu muda wowote kukiongiza chama chake.
SOMO
Mbowe alitakiwa ajiuzulu muda mrefu uliopita, lakini leo hii ni reminder.
Jeremy Corbyn wa chama cha wavuja jashi ameshindwa.
Kwa demokrasi kabisa Corbyn atajiuzulu muda wowote kukiongiza chama chake.
SOMO
Mbowe alitakiwa ajiuzulu muda mrefu uliopita, lakini leo hii ni reminder.