mbowe

  1. The Palm Tree

    Kwa Familia ya Freeman Mbowe na CHADEMA: Kinachoitwa "unabii wa Mungu" wa mtu anayejiita "Nabii Mashimo" hautoki kwa Mungu, ni tego hatari kwenu!!

    Akitoa taarifa rasmi za shambulio na kujeruhiwa kwa M/kiti CHADEMA taifa, KUB na Mbunge wa jimbo la Hai - Kilimanjaro Mh. Freeman Aikael Mbowe, katibu Mkuu wa CHADEMA ndugu John Mnyika alitumia fursa hiyo pia kutoa wito kwa jeshi la polisi kumkamata na kumhoji mtu mmoja anayejiita "Nabii"...
  2. J

    Nani anakusanya michango ya kumtibia Mwenyekiti Mbowe?

    Kama Chadema mmeanzisha utaratibu wa kuchanga fedha kwa ajili ya matibabu ya mwenyekiti tunaomba account number tuweze kumchangia mwamba. Siasa siyo uadui. Nawatakia asubuhi njema. Maendeleo hayana vyama!
  3. J

    Silinde: Mbowe ni msanii majirani zake hawakusikia purukushani zozote za yeye kuvamiwa

    Mbunge wa Chadema aliyehamia CCM David Silinde amesema yeye amekulia Chadema na anazijuwa propaganda na mbinu zote za chama hicho kinapotafuta huruma ya wapiga kura. Mbowe ni msanii kama angevamiwa kweli majirani zake wangekuwa mashuhuda amesisitiza Silinde Ndipo akasimama mbunge mwanamama...
  4. Chief Kabikula

    Hivi hiki kiherehere cha Polisi , Wabunge wa CCM kuzungumzia tukio la kushambuliwa Mbowe kina malengo gani?

    Baada ya Mbowe kushambuliwa kumeibuka watu wenye kuelekea tukio lenyewe utagikiri wao ndio wahusika, familia au walikuwepo wakati wa tukio. Kuna wabunge wanatoa maelezo eti walikuwa na Mbowe usiku akiwa kalewa, jibu ni lahidi tu Mbowe hajaanza kunywa pombe jana wala juzi Kuna Ndugai anadai kuna...
  5. J

    Mbunge Sungura: Namtakia Mhe. Mbowe uponyaji wa haraka, nawaomba wabunge wenzangu tuwe watu wa dini tutakiane mema siyo mabaya

    Mbunge wa CHADEMA aliyehamia CUF Mhe. Sabrina Sungura amemtakia Mhe. Mbowe uponyaji wa haraka na kusema hiyo ni mitihani tu na Mungu atamjaalia kuishinda. Sungura amewataka wabunge wenzake wawe washika dini kwa kutakiana mambo ya heri badala ya kuombeana vifo. Amesisitiza kuwa Mungu hapendi...
  6. S

    Nyumba ya KUB Mbowe ina CCTV, zinaweza kutoa ushahidi kama alianguka au alivamiwa

    Ni aibu kwa bunge badala ya kujadili bajeti ya nchi, linatumia siku mbili kujadili tukio la kuvamiwa Mbowe. Cha kusikitisha hawajadili namna ya kumsaidia mbunge mwenzao bali wanapiga majungu. Jana Msukuma kasema Mbowe alikuwa anakunywa Konyagi Kubwa (Faru John) na ndio iliyopelekea kuanguka na...
  7. Allen Kilewella

    Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

    Hili jambo huwa silielewi kabisa. Kweli Mbowe kama binadamu ana madhaifu yake, lakini inakuwaje ni CCM ndiyo wanataka kuweka ukomo wa uenyekiti wa Mbowe CHADEMA? Yaani ni kama Wamarekani waseme ni kwa nini wajerumani wanaendelea kumchagua Angela Merkel kuwa Kansela wao. CCM kuhusu Mwenyekiti wa...
  8. Yericko Nyerere

    Mbowe kaumizwa sana, kufanyiwa oparesheni

    "Leo asubuhi nilikuwa miongoni mwa viongozi na maafisa wa Chama tuliofika kumjulia hali Mh Mwenyekiti Freeman A. Mbowe. Pamoja nami alikuwepo Mh. Godbless Lema Mbunge na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, James Mbowe na Aallan Bujo. Mwenyekiti wetu kaumizwa sana, kaumizwa sana, Tumuombee kama ni...
  9. M

    Lijualikali: Mbowe hakuvamiwa bali kateleza kwa ulevi | Musukuma: Mnaliza ving'ora kumsalimia mlevi kateguka mguu

    Lijualikali akichangia bungeni leo amesema Mbowe hakuvamiwa bali alianguka sababu alikuwa amelewa Maneno hayo yamesindikizwa na makofi mengi ya wabunge kuashiria kuunga mkono hoja yake Pia baada ya maneno hayo Spika amesimama na kusema kuna kitu hakiko sawa ndio maana hawataki kusema akalitaka...
  10. S

    Tundu Lissu: Niliposhambuliwa walisema nimeshambuliwa na waliotumwa na Mbowe sababu ya kugombea madaraka ya chama

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara) Mhe. Tundu Lissu leo Jumatano, Juni 10, 2020, kuanzia saa 5 asubuhi, atazungumza na Watanzania kupitia vyombo vya habari, kwa njia ya kidigitali, kuhusu tukio la kushambuliwa na kujeruhiwa kwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe. Chanzo...
  11. G Sam

    Spika wa Bunge kusema kuwa kiongozi kama Mbowe alikuwa "mlevi chakariii" kwanza ni kujishushia heshima yeye mwenyewe

    Nimemsoma Spika wa bunge na kugundua kuwa ni mtu anayekurupuka na kujiropokea tu bila hata kufikiri. Hii ni tabia mbaya sana kwa kiongozi wa Umma, ni tabia inayoweza kuibua mgogoro mkubwa bila sababu yoyote ile ya msingi. Kiuhalisia kitendo cha Spika kupokea kijikaratasi chenye ujumbe na ghafla...
  12. J

    Kisiasa Mbowe anaweza kuwa ni rafiki mzuri wa Dkt. Magufuli kuliko Job Ndugai

    Ukifuatilia kwa makini mwenendo wa Freeman Mbowe utagundua kuwa ni mtu anayejua anachokifanya. Tofauti na wanasiasa wengi ambao hutenda mambo kwa kubahatisha, kinafiki na wakati mwingine wakitaka waonekane wanausapoti uongozi wa juu. Ukiangalia utendaji wa Mbowe kama KUB amekuwa upande wa...
  13. VUTA-NKUVUTE

    Shambulio dhidi ya Mbowe: Kamanda Giles Muroto (RPC Dodoma), umewaona wa kuwakamata? Nakutajia...

    Kuna habari kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe ameshambuliwa na 'watu wasiojulikana' jijini Dodoma alipokuwa akirejea nyumbani kwake usiku wa kuamkia jana. CHADEMA, kupitia kwa Katibu Mkuu wake John Mnyika, wakatoa taarifa ya awali kwa umma...
  14. N

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ashutumu kushambuliwa kwa Mbowe, ataka uhuru wa siasa

    Msiyemtaka kaja yule naibu waziri wa mambo ya nje wa USA anayeshughulika Africa bwana TiBOR ambaye profesa wa majalalani kipindi fulani alienda kubembeleza na kulilia msaada ka strike again, anataka uhuru wa kufanya kazi za kisiasa jambo amabalo ni gumu kwa CCM mpya maana uwanja ukiwekwa sawa...
  15. Richard

    Walinzi wa Freeman Mbowe walikuwa wapi wakati akishambuliwa na ni kweli alipokewa hospitalini akiwa amelewa chakari?

    Kwanza nitoe pole kwa mheshimiwa Freeman Mbowe kwa kushambuliwa na watu wasojulikana na kisha kuumizwa mguu. Namtakia ahueni na apone haraka kisha kurudi bungeni kuendelea na shughuli za upinzani. Taarifa zinazozagaa kwa kasi mjini Dodoma ni kwamba mheshimiwa Mbowe hakuwa na walinzi alipokuwa...
  16. G Sam

    Ubalozi wa Marekani: Mbowe ameshambuliwa kikatili, wakumbushia pia shambulio la Tundu Lissu huku kukiwa hakuna hatua zilizochukuliwa

    Hatimaye tunaowaita kuwa ni mabeberu wazidi kuunguruma dhidi ya matukio ya kihuni ya kushambuliwa viongozi wa upinzani yanayoshamiri nchini.
  17. Return Of Undertaker

    Umoja wa Ulaya (EU) walaani tukio la kushambuliwa Mbowe jijini Dodoma

    EU WALAANI KUSHAMBULIWA KWA FREEMAN MBOWE Viongozi wa Jumuiya ya Ulaya nchini Tanzania watoa kauli ya Pamoja juu ya shambulio dhidi ya Freeman Mbowe "Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa upinzani katika Bunge la Tanzania Freeman Aikaeli Mbowe, ======= Joint Statement by the European Union...
  18. G Sam

    Balozi wa Uingereza nchini Tanzania bi Sarah Cooke asikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, atoa wito kwa Serikali

    Bi Sarah Cooke anaeleza kusikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, aidha anavitaka vyombo vya usalama kuhakikisha kuwa wanasiasa wanatoa maoni yao kwa uhuru kuelekea uchaguzi mkuu. ''I am deeply concerned by the attack on Chadema Chairman Freeman Mbowe. All politicians in Tanzania must be...
  19. Chief Kabikula

    Hivi haya mashambulizi ya Viongozi wa Upinzani, baada ya Lissu na Mbowe nani atafuatia?

    Hill ni swali fikirishi, kuweza kuona mwelekro was matukio haya. Nini chanzo, walengwa kina nani? Sababu Nini? Wahusika kina Nani? Adui wa Mbowe na Lissu nani? Kwanini matukio yote tatokee Dodoma? Tena eneo lilelile? Ulinzi vipi ulienda wapi? Maswali Ni mengi kwa kweli.
  20. N

    Ukweli mchungu; Kuanzia Agosti tutarajie ya kutisha, tukio la Mbowe ni kiashiria. Maadui wa nje watatutesa

    KUB anashambuliwa leo unasikia maneno ya kebehi kwamba alikuwa amelewa lakini dunia inajua kinachoendelea na picha ya JPM kwenye vyombo vya kimataifa ni kwamba ni lijitu katili Ila what if tukio limefanywa hata na maadui wa nchi? Yes why not? Nchi hii sasa hivi haina umoja anayetarajiwa...
Back
Top Bottom